MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,570
- 11,684
Hotuba ya kwanza ya Samia bungeni alipiga Marufuku na alifanya kitisho kujadili any conspiracy yoyote inayohusu kifo cha Magufuli na mjadala wowote unaohusu Mstaafu fulani kuhusika...
Polepole leo amezungumzia jambo hatari kwa maisha yake na future ya Kisiasa na Washirika wa Kikwete na Samia.
Assad alivopinduliwa Waasi walienda kuchoma na kuharibu kaburi la baba yake na Assad, kwa kiasi kikubwa naona hili kwenye andiko la CCM
Polepole leo amezungumzia jambo hatari kwa maisha yake na future ya Kisiasa na Washirika wa Kikwete na Samia.
Assad alivopinduliwa Waasi walienda kuchoma na kuharibu kaburi la baba yake na Assad, kwa kiasi kikubwa naona hili kwenye andiko la CCM