huna akili wewe. unaambiwa mdee wewe unamuongelea kikwete; Pambaf..ungekaa kimya na copy and paste yako hiyo
Sawa. Na ****** je? Ataanza lini kutekeleza za kwake?
huna akili wewe. unaambiwa mdee wewe unamuongelea kikwete; Pambaf..ungekaa kimya na copy and paste yako hiyo
Tuwekee zote tujikumbushe....
huna akili wewe. unaambiwa mdee wewe unamuongelea kikwete; Pambaf..ungekaa kimya na copy and paste yako hiyo
AHADI za Mkwe.re - ALIITOA AKIWA WAPI...
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
- Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
- Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
- Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
- Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
- Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
- Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
- Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
- Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
- Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
- Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
- Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
- Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
- Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
- Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
- Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
- Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
- Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
- Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
- Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
- Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
- Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
- Kujenga bandari Kasanga Rukwa
- Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
- Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
- Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
- Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
- Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
- Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
- Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
- Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
- Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
- Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
- Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
- Kulinda haki za walemavu - Makete
- Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
- Kujenga barabara Musoma Mto wa Mbu Arusha - Arusha
- Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
- Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma Kaliua,Tabora
- Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
- Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
- Kuwafidia wanakijiji ngombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
- Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
- Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha Arusha mjini
- Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
- Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
- Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti Ngorongoro
- Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
- Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
- Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
- Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
- Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
- Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
- Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
- Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
- Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
- Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
- Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
- Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
- Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
- Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
- kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) Ruvuma
- Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania Ruvuma
- Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
- Mtwara kuwa mji wa Viwanda Mtwara
- Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
- Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
- Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
Tunasikitishwa sana na style ya uongozi ya Mh. Mdee ( Mbunge wa kawe). Wakati anaomba kura alikuwa mnyenyekevu ila baada ya kupata ubunge amekuwa sasa malkia kwa wananchi wake badala ya kuwatumikia kama alivyo ahidi. Nakumbuka moja ya ahadi zake wakati wa kampeni ni kutengeneza barabara ya msasani ambayo ina anzia hapa Tanesco na kuzunguka eneo la msasani kwa mamwinyi ndani ya miezi mine. Ila mpaka sasa hakuna lolote na barabara ile inazidi kuharibika. Sasa Mh. Mdee mbona umeahidi kitu ambacho hukiwezi ? sie tulikuchagua ututumikie sisi au ufanye u sista duu wako ?. Tafadhali acha huo utoto wako na tekeleza ahadi zako, hatukuelewi badala ya kushughulikia kero zetu wewe kila siku uko kwenye maandamano ya cdm
78. Watoto wataenda kufanya elimu ya Mazoezi ya masomo ya sayansi Mwezini --- Cholesamvula
80. Polisi watakuwa wakitumia Helicopter ili kupunguza foleni -----Kikwete alitoa ahadi hii kule Msoga, Chalinze
na unazikoboa kwa wingi sana hizo pumba zakodawa ya pumba ni pumba tuu.........haaa haaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kamanda Aksante sana kwa changamoto. Si kwamba natetea uzembe .Mkuu Zing heshima mbele,
Kwa bahati nzuri huwa mimi si mtu wa kuacha mambo juu juu, japo nilikuwa Dar es Salaam kwa siku chache niliweza kufuatilia issue hii na niliambiwa funds za kutengeneza barabara za msasani, ile ya pembeni ya Tanesco, nyuma ya ofisi za Zantel hadi maandazi road pamoja na mitaa ya osterbay na masaki etc zilikuwepo na tatizo lilkuwa utekelezaji tuu, niliuliza sababu nikajibiwa kuwa wanaanza kwanza na mitaa ya Mwananyamala etc.
Kwa kifupi ndiyo hayo nayoweza sema.
Tunahitaji mtu atakayefuatilia kero za wananchi, kazi ya ubunge ni full time job kwa mtu makini na mwenye kujali maslahi ya Taifa lake.
Mdee choka mbaya ukija suala la utekelezaji wa ahadi;
1. Anasumbuliwa na kesi ilifunguliwa na Mbatia, hana unakika wa kutopoteza jimbo
2. Muda mwingi anatumia kuzunguka majimbo mengine ya uchaguzi; mara Arusha Mjini mara leo yuko Nyamongo!
3. Anatumia muda mwingi kufikiri namna ya kuandaa na kutelekeleza mradi wa CDM wa maandamano
4. Hahudhurii vikao vya baraza la madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ambako mipango huanzia
5. Hatoi ushirikiano kwa Mkurugenzi wa Manispaa na DC wa Kinondoni.
Sie wananchi wa Mzimuni ni mashahidi wa jinsi asivyokuwa na utu kwani KIPINDI CHA MAJOZI ULIOTOKANA NA MACHAFUKO YA KUGOMBEA ARDHI hakutia mguu eneo la Madale.
Week iliyopita nilipata fursa ya kwenda katika hotel ya HILTON HOTELMasaki Dar es Salaam kwenye kikao cha ku-promote uwekezaji Tanzania na baadhi ya wawekezaji katika sekta ya nishati na madini.
Barabara ya kutoka chole road kuingia HILTON HOTEL ni mbaya sana, nadhani ni barabara mbovu kuliko zote katika jiji la Dar es Salaam, ilikuwa ni aibu kubwa kwa wawekezaji tuliowaleta nchini ilikuangalia nafasi ya kuwekeza, Masaki ipo Kawe, Huyu dada asirudi tena 2015, CDM wameshindwa kazi, na Kawe naweza kusema ni wilaya ngumu sana kwa mbunge muelewa, siyo wilaya ya kuikimbilia, nilibahatika kupita maeneo ya msasani barabara ya shoppers malls kulikuwa na mto kama siyo bahari ya maji machafu ya mvua.
Wananchi wa Jimbo la Kawe inabidi mfanye maandamano ya kushinikiza kuondoka kwa Mbunge wenu.
huyu rita yeye alifanya nini? Kwa miaka yote aliyokaa kawe? Iweje miezi minne umlaumu dada mdee? Acha ujinga subiri miaka mitano iishe alafu uulize amefanya nini