hapa nakuunga mkono...Na pia anatakiwa atoe feedback kwa wananchi juu ya matatizo yale. Kama kuna breakdown ya communication inakuwa tatizo
Acha kutoa povu kijana, sasa kama Rita hakufanya basi na Halima asifanye, sasa mabadiliko yalikuwa na umuhimu gani?..
Eh, Yesu wangu! Hizo ahadi za jk zimechakachuliwa au ni mi sikuzijua zote?
Yani kiherehere tu! kwani wewe ndio msemaji wa wanakawe?? Naona una chuki binafsi na Mdee pamoja na chadema, hivi wewe si usubiri kwenye bunge la bajeti 2011/2012 kama hatatetea jimbo lake kwa ku pinpoint hayo matatizo yenu.
zipo 90, hapo rev Masa kaishia njiani tu...
Bado ni mapema mno kuanza kuangalia utendaje wa Mdee kama unafaa au la!
Mkuu endapo kazi ya JIMBO la KAWE imewashinda wataweza kuachiwa dola hawa, hametuaminisha kupitia mtihani mdogo wa JIMBO LA KAWE kuwa kazi hawaiwezi.
AHADI za Mkwe.re - ALIITOA AKIWA WAPI...
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- ......
- .....
kwahiyo mchungaji unataka uniambie Mdee hatekelezi ahad mpaka uliye mtaja hapo juu atekeleze? Mchungaji nadhani umeenda mbali sana kwa jamaa yeye anamuuliza mbunge wake juu ya ahadi hiyo. halafu mchungaji nakujua kabisa wewe uliyemnukuu hapo juu hata angefanya nini humkubali sasa iweje unamlinganisha mpambanaji na mtu usiyemuamini? Mie nilifikiri unamlinganisha na mbunge fulani ktk timu ya wapambanaji. Siasa ni zaidi ya kuongea kwenye majukwaa.Huo ni mfano kuwa hata kama mngepata kuongoza serikali still ingekuwa the same.
Mhhh...kwa uelewa huu,unafanya kazi gani D.C? Au labda ni signature tuu,sorry. Na pia najaribu kujiuliza ulikua unaongea nini na wawekezaji siku hiyo Hilton,au labda ulikua dereva wao?
Wewe huwa unasoma msitari wa kwanza then unakimbilia kujibu.....Mkuu endapo kazi ya JIMBO la KAWE imewashinda wataweza kuachiwa dola hawa, hametuaminisha kupitia mtihani mdogo wa JIMBO LA KAWE kuwa kazi hawaiwezi.
Tuwekee zote tujikumbushe....zipo 90, hapo rev Masa kaishia njiani tu...
Mkuu funds zipo nazikuwa na zimetengwa tayari kwa kazi hizo..tatizo ni ufuatiliaji.
Rita Mlaki alifanya nini? Miaka 5 aliyokaa pale
zipo 90, hapo rev Masa kaishia njiani tu...
Yaani kujitetea kwa namna hii ni kwa kitoto saana. Mbona fulani kafanya hivi??? Ukweli Mdee hana uwezo wa kujenga barabara isipokuwa kuishauri na kuishawishi serikali juu ya umuhimu wa barabara ile.
AHADI za Mkwe.re - ALIITOA AKIWA WAPI...
- Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
- Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
- Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
- Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
- Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
- Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
- Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
- Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
- Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
- Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
- Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
- Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
- Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
- Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
- Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
- Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
- Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
- Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
- Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
- Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
- Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
- Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
- Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
- Kujenga bandari Kasanga Rukwa
- Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
- Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
- Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
- Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
- Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
- Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
- Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
- Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
- Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
- Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
- Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
- Kulinda haki za walemavu - Makete
- Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
- Kujenga barabara Musoma Mto wa Mbu Arusha - Arusha
- Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
- Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma Kaliua,Tabora
- Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
- Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
- Kuwafidia wanakijiji ngombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
- Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
- Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha Arusha mjini
- Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
- Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
- Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti Ngorongoro
- Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
- Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
- Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
- Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
- Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
- Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
- Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
- Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
- Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
- Ahadi kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
- Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
- Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
- Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
- Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
- kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) Ruvuma
- Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania Ruvuma
- Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
- Mtwara kuwa mji wa Viwanda Mtwara
- Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
- Hospitali ya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
- Halmashauri ya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha
Rita Mlaki alifanya nini? Miaka 5 aliyokaa pale
Tuwaunge mkono CHADEMA tuwaondoe hawa Magamba halafu tuhoji vitu kama hivi vinginevyo itakuwa ngumu sana.
-sijui Halima ana madiwa wangapi + wenyeviti wa vitongoji..
-serikali haina pesa huku Arusha wanajeshi wengi hawaendi kazini magari yao hayana mafuta sasa sijui kama serikali inapesa za kujenga barabara wakati hata mishahara ni pesa za kukopa au alisema atajenga kwa pesa yake.