Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

[emoji16][emoji16][emoji16] wazoee tu hao ... Itabidi mwaka huu mwishoni niwapele Moshi tupite Kibololoni tule kiti moto, kisha tuende Marangu tunywe mbege mpaka ushikwe mkojo kila dakika.

Nakumbuka nilikujaga na mdada mmoja tuliosoma naye yeye anatokea Singida yaani alipapenda kweli kweli yaani alikuwa ananiambia maji yapo, barabara ya lami, umeme mpaka mgombani yaani alipatukana kwao ila nikapaelewa Singida kuna Punda wengi kuliko baiskeli. Huku shule zipo nyingi kweli kweli ni wewe tu kuamua na kuchagua

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu Hawa jamaa huwa Ni wabishi wanaweza bishana hata na mbuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hahaha ungefaa uipoge picha kabisa. Nakumbuka nimezaliwa Kilimanjaro yaani nilikuwa sijawahi ona nyumba ya msonge. Sijawahi kuchota maji mbali. Yaani Moshi raha sana ndo maana ukienda Kibosho Umbwe wale jamaa wakajichanga Dar wakajenga lami ya kuwapeleka kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Niliishia tu kucheka,nikijua kinachomsumbua mzee ni ushamba wa kutokutembea nje ya mkoa wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We niliacha wameanza na walikuwa wanaweka floor.pia stendi ilikwama Kwa sababu kulikuwa na kesi ya Ardhi

Sent using Jamii Forums mobile app
Na zile hela zilizorudi baada ya kuleta ubishani wenu zilikuwaje
afu nawashangaa mnapeleka kesi kukwamisha stand wakati itakuwa na manufaa kwenu wenyewe wahaya mnapendaga vikesi kesi vya hovyo Sana
Mtu anasaga soli kortini eti kushtaki kaibiwa jogoo la elfu 5 hahaha niliona kule nyamilanda muleba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na zile hela zilizorudi baada ya kuleta ubishani wenu zilikuwaje
afu nawashangaa mnapeleka kesi kukwamisha stand wakati itakuwa na manufaa kwenu wenyewe wahaya mnapendaga vikesi kesi vya hovyo Sana
Mtu anasaga soli kortini eti kushtaki kaibiwa jogoo la elfu 5 hahaha niliona kule nyamilanda muleba

Sent using Jamii Forums mobile app
Sakata la stendi we liache Tu lilivyo.lina mambo mengi mengi mpaka kikwete alishindwa kulitatua ? Siasa ziachie Tu wanasiasa.

Ilimradi mtu unasafiri unakwenda Bukoba .Uliposhukia waachie Tu wao

Wakiamua kujenga na kumaliza watajenga hao wanasiasa lakini sio kuwaatack wahaya kiujumla

Pia kilichorudisha nyuma mkoa wa kagera umeishaelezwa ni Natural factors ambazo haziepukiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shule majibu tayari yanafahamika na yamewekwa na yanafahamika.

Haya sasa Serikali ina orodha ya sifa za hiyo 100% ya umasikini kwamba mkoa ukifikia hatua hii ndo unakuwa umefikia kwenye 100% ya umasikini?
Unajua maana ya comperative?
Manake Ni kwamba mkoa fulan Ni maskini kuliko huu,ule,ule
Ndio maana pia Kuna list ya nchi maskini dunian je hizo nchi maskini zina umaskini 100%?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiropoke tu bila ushaidi. Kuna uhusiano gani wa lugha na maendeleo!?
Pumbavu zako huwezi kuniambia mini neno kuropoka ni kwanini mnapenda kuongea kilugha kwenye taasisi za umma na ubaguzi mbaya zaidi huwa ni nyinyi kwa nyinyi laana ya ubaguzi inawatafuna mtakalia kuendeleza mikoa ya wengine ila kwenu ziro
 
Pumbavu zako huwezi kuniambia mini neno kuropoka ni kwanini mnapenda kuongea kilugha kwenye taasisi za umma na ubaguzi mbaya zaidi huwa ni nyinyi kwa nyinyi laana ya ubaguzi inawatafuna mtakalia kuendeleza mikoa ya wengine ila kwenu ziro
Acha kuropoka na nyinyi someni, unadhani utaongea kilugha wakati ofisini upo mwenyewe. Mnakuwa na wivu wa kipumbavu kwa kuwa hamjasoma na kuwa wengi maofisini
 
Back
Top Bottom