Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

Kumbe wanabaguana hawa watu nilisomaga nao ila yale majidai kama ya Charles Kaijage

Sent using Jamii Forums mobile app
Nawafaham in and out
Wanaanza kukubagua mgeni kule kwao wanaita "nyamahanga" wakimaliza wanabaguana wenyewe kwa wenyewe
Yan ni upuuz mtupu
Halmashauri Zao ukienda ni kilugha tu hadi kumebandkwa mabango "zungumza "kiswahili"
ndiona mkoa wao unazidi kuwa masikn mchawi wa maendeleo yao ni wao
FB_IMG_15020060897734219.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimanjaro ndo kwetu kabisa kwenye kitovu cha mama. Ukiangalia watu wengi mashuhuri wametokea Kili. Yaani hawa watu nawashangaa majigambo kumbe wanaishi shimoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaa huwa nawachoraga tu
Mkoa wao kuwa mbali na tz inachangia ushamba wao
Nilikuwa misenyi mwaka Jana mzee mmoja akawa anasema tz nzima Hakuna nyumba Kama yake
Kanyumba kahovyo tu
Kumbe ni ushamba unamsumbua manake kazaliwa kagera kasoma kagera kapata kaz kagera kastaafia kagera hajawahi vuka nje ya mkoa watu wengi kule ndivyo walivyo except akina britanicca
Huwa nawachoraga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahaya wenyewe kwa wenyewe ndio wanajimaliza ktk hizo halmashauri Zao
Wao wamekalia ubishi tuuu n'a kuzungumza kilugha ktk afisi za umma
Alafu wanabaguana wenyewe kwa wenyewe huko ofisini Mara mhaya wa kuziba,Mara wa kamachumu,Mara wa kyaka ndio ajione bora zaidi yaan vituko vitupu nenda misenyi DC utaona

Sent using Jamii Forums mobile app
Ifike mahali wahaya wabadilike, waache kujidai wanajua kila kitu. Sasa vilugha maofisini vya kazi gani kama siyo kuendekeza mambo ya kujuana na kutongozana. shenzy type wahaya watani zangu
 
Ifike mahali wahaya wabadilike, waache kujidai wanajua kila kitu. Sasa vilugha maofisini vya kazi gani kama siyo kuendekeza mambo ya kujuana na kutongozana. shenzy type wahaya watani zangu
Yan huwa nawashangaa kweli sijawahi ona ofisi yoyote ya umma watu wanapiga vilugha kiasi hicho
Ndio maana utendaji kazi ktk halmashauri Zao ni underperformance
Na ushamba ndio unawasumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimaliza wapi wakati hata hawajaanza? Hela za wb mlibishana hadi zikarudi
Mmekalia ubishi huko halmashauri zenu
Nilishangaa nafika misenyi DC,bk, muleba DC nakuta watu wanachapa kihaya ofisini hatari utadhan upo Kijijin
Mnajimaliza wenyewe kwa ubishi wenu na ubaguz
Ofisin mnabagua "wanyamahanga" isitoshe mnabaguana Wenyewe kwa wenyewe Mara mhaya wa kiziba,Mara wa kamachumu,Mara wa kyaka upuuz tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili naomba niwatetee wahaya, kwahio wakiongea kihaya automatically wamejimaliza wenyewe? Nadhani sababu unazozitoa ni za chuki tu dhidi yao.

Hapo Bukoba sababu kubwa ni mabishano ya kisiasa. Siasa zao ni za 'byange nkwite' yani akishinda mtu basi wengine hawampi ushirikiano ili aonekane hafai.
Wakuu wengi wa idara hapo bk mc ni nyie wenyewe kwa wenyewe
Kwahiyo mnajimaliza wenyewe ukienda hapo ktk ofisi za halmashauri utashangaa kihaya mwanzo mwisho utadhan upo Kijijin sijui ni ushamba
Ukienda muleba DC,misenyi DC nako ni kilugha mwanzo mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan huwa nawashangaa kweli sijawahi ona ofisi yoyote ya umma watu wanapiga vilugha kiasi hicho
Ndio maana utendaji kazi ktk halmashauri Zao ni underperformance
Na ushamba ndio unawasumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu kingine wahaya kiswahili kimewapiga chenga sana, ndo maana wanatiririka tu kihaya wakihisi wataelewana kwa urahisi. si bora wasukuma wenyewe wanakandikija humohumo maneno ya kisukuma
 
Kwa hili naomba niwatetee wahaya, kwahio wakiongea kihaya automatically wamejimaliza wenyewe? Nadhani sababu unazozitoa ni za chuki tu dhidi yao.

Hapo Bukoba sababu kubwa ni mabishano ya kisiasa. Siasa zao ni za 'byange nkwite' yani akishinda mtu basi wengine hawampi ushirikiano ili aonekane hafai.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyo anaye coment hivyo nadhani humuelewi vizuri. Hebu jaribu kuingia kwenye prof yake alafu uangalie posts zake na coments zake zote tangu aingie JF utajua kampeni yake hapa JF ni nini hasa! Asikupasue kichwa huyo, anatekeleza anachokijua dhidi ya wahaya. Na kila uzi unaohusu wahaya, Kagera, Bukoba huwezi kumkosa na kama hajauanzisha yeye basi amebadilisha upepo mwenyewe uzi mzima anatamba yeye.

So we mpuuze tu. Maana haiingii akilini kichwa cha uzi kinazungumzia waziri mkuu na kutumbua viongozi yeye anajitahidi kuhusisha mada na uhaya. Ukiangalia posts na coments zake hapa JF utaelewa vizuri anachokifanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawafaham in and out
Wanaanza kukubagua mgeni kule kwao wanaita "nyamahanga" wakimaliza wanabaguana wenyewe kwa wenyewe
Yan ni upuuz mtupu
Halmashauri Zao ukienda ni kilugha tu hadi kumebandkwa mabango "zungumza "kiswahili"
ndiona mkoa wao unazidi kuwa masikn mchawi wa maendeleo yao ni waoView attachment 1030686

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naona unazidi kuwaandama wahaya kwa chuki zako. Kurudi nyuma kimaendeleo kwa mkoa wa Kagera kuna factors nyingi na sio kuongea kihaya ofisini au kubagua wanyamahanga eti ndio sababu kuu. Kwani kuongea kihaya ofisini kama wanahudumia wahaya huoni kama wana facilitate communication? Ni sawa na kuongea Kiswahili unless anayehudumiwa hajui Kihaya.

Factors zilizorudisha nyuma Mkoa wa Kagera ni natural factors ambazo kwakweli haziepukiki.
1. 1978 Vita ya Kagera. Wahaya wengi wamekufa na mali zao nyingi kwa kujitolea zimetumika katika vita ya Kagera. Kwa kipindi cha miaka 3 hivi shughuli za maendeleo zilisimama huku Mikoa mingine ikiendelea na kilimo ufugaji n.k.
2. Kuporomoka bei ya Kahawa ktk soko la dunia 1978-1980s. Lilikuwa ni zao kuu la kibiashara Mkoani Kagera. Uchumi wa Mkoa ulikuwa unaenda vizuri sana kutokana na kahawa kuwa na soko zuri. Wahaya hadi leo hawaamini na vyama vya ushirika ambavyo vimesomesha wakina Sir George Kahama n.k havina nguvu tena kama zamani.
3. UKIMWI 1984. Hili janga la UKIMWI limechukua nguvu kazi kubwa ya wahaya. Ugonjwa huu kama ulikuwa hujazaliwa kwa taarifa yako hadi leo makovu yake hayawezi kufutika katika kaya mbalimbali Mkoani hapo.
4. 1994 Mauaji ya Kimbali Rwanda. Ni vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda ambayo ilileta athari Mkoani Kagera. Wanyarwanda wengi walikimbilia Mkoa wa Kagera na baadhi yao walikuja na silaha za kivita na kuanza kuendesha vitendo vya utekaji. Vitendo hivyo viliathiri shughuli za maendeleo kwa kiasi kikubwa sana na kwa muda mrefu kwani shughuli za usafirishaji bidhaa na watu ziliathiriwa. Wahaya wametandikwa viboko wakiwa uchi ktk msitu wa Biharamulo, Kasindaga n.k Wengine wamebakwa. Haikuishia hapo tu, mwaka 1994 ktk S/M Tumaini bomu lililipuka na kuua wanafunzi ambao hatujui labda leo ndio wangekuwa wanasayansi nguli ktk Mkoa huo.
5. 1996 Ajali ya MV Bukoba. Hakika mamia ya watu walipoteza maisha. 'Haitasahaulika' karibu kila kaya Mkoani Kagera iliguswa. Ukiachilia mbali nguvu kazi na mali kupotea, pia ile kasi ya kufanya biashara kati ya Kagera na Mwanza ilipungua sana. MV Victoria ndio hivyo imeharibika muda mrefu sasa, meli zilisaidia sana kuimarisha usafirishaji wa bidhaa pamoja na reli ya kati ambayo leo inasuasua. Wana Kagera na wana kanda ya Ziwa wanamshukuru sana Rais MAGUFULI kwa nia yake thabiti kabisa ya kutengeneza meli kubwa na ya kisasa ktk Ziwa Victoria. Pia wako pamoja naye ktk juhudi za kuimarisha usafiri wa reli kwa kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka DSM hadi Mwanza. Ni ukombozi wa kiuchumi kwa wanakanda ya Ziwa.
6. Mvua za Elnino 1998, hapa sitazungumza sana. Nadhani mnajua kwa namna gani shughuli za kilimo na usafirishaji zilivyoathiriwa. Ilikuwa ni mvua ambayo iliharibu kwa kiasi kikubwa miundombinu ya Mkoa wa Kagera.
7. Ugonjwa mnyauko 2000s. Hakika ni ugonjwa ambao umeathiri sana zao la ndizi. Ndizi ndicho kilikuwa chakula kikuu kwa wahaya na pia likikuwa ni zao la biashara. Wahaya hawakuwa na njaa kama ilivyo sasa. Ugonjwa huu ulitokea nchini Uganda na kwakweli hautasahaulika kwani leo wahaya wamegeukia kula ugali kitu ambacho hakikuwepo.
8. Tetemeko la ardhi, hili la juzi kila mtu analifahamu na athari zake.

Kwa ujumla athari za nilioyaeleza hapo juu haziwezi kuisha leo au kesho. Ndio maana Serikali kwa kutambua hilo inajitahidi kuja na mikakati ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kununua meli nyingine ktk Ziwa Victoria kujaribu kurudisha hali ya zamani kwa kuimarisha usafiri wa majini, kufufua reli na zao la kahawa kwani tumeona juhudi za makusudi ktk maeneo hayo.
 
Mkuu naona unazidi kuwaandama wahaya kwa chuki zako. Kurudi nyuma kimaendeleo kwa mkoa wa Kagera kuna factors nyingi na sio kuongea kihaya ofisini au kubagua wanyamahanga eti ndio sababu kuu. Kwani kuongea kihaya ofisini kama wanahudumia wahaya huoni kama wana facilitate communication? Ni sawa na kuongea Kiswahili unless anayehudumiwa hajui Kihaya.

Factors zilizorudisha nyuma Mkoa wa Kagera ni natural factors ambazo kwakweli haziepukiki.
1. 1978 Vita ya Kagera. Wahaya wengi wamekufa na mali zao nyingi kwa kujitolea zimetumika katika vita ya Kagera. Kwa kipindi cha miaka 3 hivi shughuli za maendeleo zilisimama huku Mikoa mingine ikiendelea na kilimo ufugaji n.k.
2. Kuporomoka bei ya Kahawa ktk soko la dunia 1978-1980s. Lilikuwa ni zao kuu la kibiashara Mkoani Kagera. Uchumi wa Mkoa ulikuwa unaenda vizuri sana kutokana na kahawa kuwa na soko zuri. Wahaya hadi leo hawaamini na vyama vya ushirika ambavyo vimesomesha wakina Sir George Kahama n.k havina nguvu tena kama zamani.
3. UKIMWI 1984. Hili janga la UKIMWI limechukua nguvu kazi kubwa ya wahaya. Ugonjwa huu kama ulikuwa hujazaliwa kwa taarifa yako hadi leo makovu yake hayawezi kufutika katika kaya mbalimbali Mkoani hapo.
4. 1994 Mauaji ya Kimbali Rwanda. Ni vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda ambayo ilileta athari Mkoani Kagera. Wanyarwanda wengi walikimbilia Mkoa wa Kagera na baadhi yao walikuja na silaha za kivita na kuanza kuendesha vitendo vya utekaji. Vitendo hivyo viliathiri shughuli za maendeleo kwa kiasi kikubwa sana na kwa muda mrefu kwani shughuli za usafirishaji bidhaa na watu ziliathiriwa. Wahaya wametandikwa viboko wakiwa uchi ktk msitu wa Biharamulo, Kasindaga n.k Wengine wamebakwa. Haikuishia hapo tu, mwaka 1994 ktk S/M Tumaini bomu lililipuka na kuua wanafunzi ambao hatujui labda leo ndio wangekuwa wanasayansi nguli ktk Mkoa huo.
5. 1996 Ajali ya MV Bukoba. Hakika mamia ya watu walipoteza maisha. 'Haitasahaulika' karibu kila kaya Mkoani Kagera iliguswa. Ukiachilia mbali nguvu kazi na mali kupotea, pia ile kasi ya kufanya biashara kati ya Kagera na Mwanza ilipungua sana. MV Victoria ndio hivyo imeharibika muda mrefu sasa, meli zilisaidia sana kuimarisha usafirishaji wa bidhaa pamoja na reli ya kati ambayo leo inasuasua. Wana Kagera na wana kanda ya Ziwa wanamshukuru sana Rais MAGUFULI kwa nia yake thabiti kabisa ya kutengeneza meli kubwa na ya kisasa ktk Ziwa Victoria. Pia wako pamoja naye ktk juhudi za kuimarisha usafiri wa reli kwa kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka DSM hadi Mwanza. Ni ukombozi wa kiuchumi kwa wanakanda ya Ziwa.
6. Mvua za Elnino 1998, hapa sitazungumza sana. Nadhani mnajua kwa namna gani shughuli za kilimo na usafirishaji zilivyoathiriwa. Ilikuwa ni mvua ambayo iliharibu kwa kiasi kikubwa miundombinu ya Mkoa wa Kagera.
7. Ugonjwa mnyauko 2000s. Hakika ni ugonjwa ambao umeathiri sana zao la ndizi. Ndizi ndicho kilikuwa chakula kikuu kwa wahaya na pia likikuwa ni zao la biashara. Wahaya hawakuwa na njaa kama ilivyo sasa. Ugonjwa huu ulitokea nchini Uganda na kwakweli hautasahaulika kwani leo wahaya wamegeukia kula ugali kitu ambacho hakikuwepo.
8. Tetemeko la ardhi, hili la juzi kila mtu analifahamu na athari zake.

Kwa ujumla athari za nilioyaeleza hapo juu haziwezi kuisha leo au kesho. Ndio maana Serikali kwa kutambua hilo inajitahidi kuja na mikakati ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kununua meli nyingine ktk Ziwa Victoria kujaribu aaJakurudisha hali ya zamani kwa AAkuimarisha usafiri wa majini, kufufua reli na zao la kahawa kwani tumeona juhudi za makusudi ktk maeneo hayo.


Umezungumza vyema. Issue sio ukabila , basi wateuzi wa hao wakuu wa Idara wangeshafanya kuwabadili.

Kuanguka kwa bei ya kahawa, kuzuia wasiuze uganda ambako bei iko rafiki.

Issue ya Mnyauko ( chakula kikuu ni ndizi).

Uvivu - kuzoea kufanyisha vibarua. Mhaya na kazi ngumu ni maji na mafuta. Baada ya ardhi kuanza kupoteza rutuba na kuhitaji ukulima wa kutumia nguvu zaidi mf. Kuzindua mashamba mapya, upaliliaji, n.k ilibidi kubadililika kutoka kilimo cha mazoea ya kutifua kidogo tu. Bk mvua nyingi , ila hakuna ukulima mkubwa wa mazao ya vyakula ingawa yanastawi.

Katika hali ya kawaida ilibidi kagera ilishe lake zone yote. Ila uvivu +++.

Kwenye issue ya ujuaji sio kweli- ni inferiority complexes zenu mnapokutana na watu wanaojiamin.
 
Umezungumza vyema. Issue sio ukabila , basi wateuzi wa hao wakuu wa Idara wangeshafanya kuwabadili.

Kuanguka kwa bei ya kahawa, kuzuia wasiuze uganda ambako bei iko rafiki.

Issue ya Mnyauko ( chakula kikuu ni ndizi).

Uvivu - kuzoea kufanyisha vibarua. Mhaya na kazi ngumu ni maji na mafuta. Baada ya ardhi kuanza kupoteza rutuba na kuhitaji ukulima wa kutumia nguvu zaidi mf. Kuzindua mashamba mapya, upaliliaji, n.k ilibidi kubadililika kutoka kilimo cha mazoea ya kutifua kidogo tu. Bk mvua nyingi , ila hakuna ukulima mkubwa wa mazao ya vyakula ingawa yanastawi.

Katika hali ya kawaida ilibidi kagera ilishe lake zone yote. Ila uvivu +++.

Kwenye issue ya ujuaji sio kweli- ni inferiority complexes zenu mnapokutana na watu wanaojiamin.
Yah umeongea vyema. Umeniongezea kitu kwa hoja nzito. Uvivu upo na yapasa wanaKagera kubadilika.
 
Walimaliza wapi wakati hata hawajaanza? Hela za wb mlibishana hadi zikarudi
Mmekalia ubishi huko halmashauri zenu
Nilishangaa nafika misenyi DC,bk, muleba DC nakuta watu wanachapa kihaya ofisini hatari utadhan upo Kijijin
Mnajimaliza wenyewe kwa ubishi wenu na ubaguz
Ofisin mnabagua "wanyamahanga" isitoshe mnabaguana Wenyewe kwa wenyewe Mara mhaya wa kiziba,Mara wa kamachumu,Mara wa kyaka upuuz tu

Sent using Jamii Forums mobile app
We niliacha wameanza na walikuwa wanaweka floor.pia stendi ilikwama Kwa sababu kulikuwa na kesi ya Ardhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyo anaye coment hivyo nadhani humuelewi vizuri. Hebu jaribu kuingia kwenye prof yake alafu uangalie posts zake na coments zake zote tangu aingie JF utajua kampeni yake hapa JF ni nini hasa! Asikupasue kichwa huyo, anatekeleza anachokijua dhidi ya wahaya. Na kila uzi unaohusu wahaya, Kagera, Bukoba huwezi kumkosa na kama hajauanzisha yeye basi amebadilisha upepo mwenyewe uzi mzima anatamba yeye.

So we mpuuze tu. Maana haiingii akilini kichwa cha uzi kinazungumzia waziri mkuu na kutumbua viongozi yeye anajitahidi kuhusisha mada na uhaya. Ukiangalia posts na coments zake hapa JF utaelewa vizuri anachokifanya

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mkuu tuwe wakweli tu...makabila yote Tanzania yana matatizo yake ila Wahaya wamezidi...mtu ambari hajawahi ishi kagera kwa Wahaya hawezi elewa
 
Ila mkuu tuwe wakweli tu...makabila yote Tanzania yana matatizo yake ila Wahaya wamezidi...mtu ambari hajawahi ishi kagera kwa Wahaya hawezi elewa
Huenda ikawa sawa. Na wala ukisoma nilichoandika sio hiki. Ninachomaanisha ni kwamba hiki mnachotaka kukijadili sio kichwa cha uzi. Hakuna ulazima wa kupindishia kila post inayohusu Kagera kwenye uhaya. Kila uzi una mahudhui yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naona unazidi kuwaandama wahaya kwa chuki zako. Kurudi nyuma kimaendeleo kwa mkoa wa Kagera kuna factors nyingi na sio kuongea kihaya ofisini au kubagua wanyamahanga eti ndio sababu kuu. Kwani kuongea kihaya ofisini kama wanahudumia wahaya huoni kama wana facilitate communication? Ni sawa na kuongea Kiswahili unless anayehudumiwa hajui Kihaya.

Factors zilizorudisha nyuma Mkoa wa Kagera ni natural factors ambazo kwakweli haziepukiki.
1. 1978 Vita ya Kagera. Wahaya wengi wamekufa na mali zao nyingi kwa kujitolea zimetumika katika vita ya Kagera. Kwa kipindi cha miaka 3 hivi shughuli za maendeleo zilisimama huku Mikoa mingine ikiendelea na kilimo ufugaji n.k.
2. Kuporomoka bei ya Kahawa ktk soko la dunia 1978-1980s. Lilikuwa ni zao kuu la kibiashara Mkoani Kagera. Uchumi wa Mkoa ulikuwa unaenda vizuri sana kutokana na kahawa kuwa na soko zuri. Wahaya hadi leo hawaamini na vyama vya ushirika ambavyo vimesomesha wakina Sir George Kahama n.k havina nguvu tena kama zamani.
3. UKIMWI 1984. Hili janga la UKIMWI limechukua nguvu kazi kubwa ya wahaya. Ugonjwa huu kama ulikuwa hujazaliwa kwa taarifa yako hadi leo makovu yake hayawezi kufutika katika kaya mbalimbali Mkoani hapo.
4. 1994 Mauaji ya Kimbali Rwanda. Ni vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda ambayo ilileta athari Mkoani Kagera. Wanyarwanda wengi walikimbilia Mkoa wa Kagera na baadhi yao walikuja na silaha za kivita na kuanza kuendesha vitendo vya utekaji. Vitendo hivyo viliathiri shughuli za maendeleo kwa kiasi kikubwa sana na kwa muda mrefu kwani shughuli za usafirishaji bidhaa na watu ziliathiriwa. Wahaya wametandikwa viboko wakiwa uchi ktk msitu wa Biharamulo, Kasindaga n.k Wengine wamebakwa. Haikuishia hapo tu, mwaka 1994 ktk S/M Tumaini bomu lililipuka na kuua wanafunzi ambao hatujui labda leo ndio wangekuwa wanasayansi nguli ktk Mkoa huo.
5. 1996 Ajali ya MV Bukoba. Hakika mamia ya watu walipoteza maisha. 'Haitasahaulika' karibu kila kaya Mkoani Kagera iliguswa. Ukiachilia mbali nguvu kazi na mali kupotea, pia ile kasi ya kufanya biashara kati ya Kagera na Mwanza ilipungua sana. MV Victoria ndio hivyo imeharibika muda mrefu sasa, meli zilisaidia sana kuimarisha usafirishaji wa bidhaa pamoja na reli ya kati ambayo leo inasuasua. Wana Kagera na wana kanda ya Ziwa wanamshukuru sana Rais MAGUFULI kwa nia yake thabiti kabisa ya kutengeneza meli kubwa na ya kisasa ktk Ziwa Victoria. Pia wako pamoja naye ktk juhudi za kuimarisha usafiri wa reli kwa kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka DSM hadi Mwanza. Ni ukombozi wa kiuchumi kwa wanakanda ya Ziwa.
6. Mvua za Elnino 1998, hapa sitazungumza sana. Nadhani mnajua kwa namna gani shughuli za kilimo na usafirishaji zilivyoathiriwa. Ilikuwa ni mvua ambayo iliharibu kwa kiasi kikubwa miundombinu ya Mkoa wa Kagera.
7. Ugonjwa mnyauko 2000s. Hakika ni ugonjwa ambao umeathiri sana zao la ndizi. Ndizi ndicho kilikuwa chakula kikuu kwa wahaya na pia likikuwa ni zao la biashara. Wahaya hawakuwa na njaa kama ilivyo sasa. Ugonjwa huu ulitokea nchini Uganda na kwakweli hautasahaulika kwani leo wahaya wamegeukia kula ugali kitu ambacho hakikuwepo.
8. Tetemeko la ardhi, hili la juzi kila mtu analifahamu na athari zake.

Kwa ujumla athari za nilioyaeleza hapo juu haziwezi kuisha leo au kesho. Ndio maana Serikali kwa kutambua hilo inajitahidi kuja na mikakati ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kununua meli nyingine ktk Ziwa Victoria kujaribu kurudisha hali ya zamani kwa kuimarisha usafiri wa majini, kufufua reli na zao la kahawa kwani tumeona juhudi za makusudi ktk maeneo hayo.
Wala msipoteze muda kubishana na huyo pompompo wa kichaga Luambo Makiadi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda ikawa sawa. Na wala ukisoma nilichoandika sio hiki. Ninachomaanisha ni kwamba hiki mnachotaka kukijadili sio kichwa cha uzi. Hakuna ulazima wa kupindishia kila post inayohusu Kagera kwenye uhaya. Kila uzi una mahudhui yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu nimekuelewa...lakini vipi na wewe ni mkazi wa kulekule??
 
Mkuu naona unazidi kuwaandama wahaya kwa chuki zako. Kurudi nyuma kimaendeleo kwa mkoa wa Kagera kuna factors nyingi na sio kuongea kihaya ofisini au kubagua wanyamahanga eti ndio sababu kuu. Kwani kuongea kihaya ofisini kama wanahudumia wahaya huoni kama wana facilitate communication? Ni sawa na kuongea Kiswahili unless anayehudumiwa hajui Kihaya.

Factors zilizorudisha nyuma Mkoa wa Kagera ni natural factors ambazo kwakweli haziepukiki.
1. 1978 Vita ya Kagera. Wahaya wengi wamekufa na mali zao nyingi kwa kujitolea zimetumika katika vita ya Kagera. Kwa kipindi cha miaka 3 hivi shughuli za maendeleo zilisimama huku Mikoa mingine ikiendelea na kilimo ufugaji n.k.
2. Kuporomoka bei ya Kahawa ktk soko la dunia 1978-1980s. Lilikuwa ni zao kuu la kibiashara Mkoani Kagera. Uchumi wa Mkoa ulikuwa unaenda vizuri sana kutokana na kahawa kuwa na soko zuri. Wahaya hadi leo hawaamini na vyama vya ushirika ambavyo vimesomesha wakina Sir George Kahama n.k havina nguvu tena kama zamani.
3. UKIMWI 1984. Hili janga la UKIMWI limechukua nguvu kazi kubwa ya wahaya. Ugonjwa huu kama ulikuwa hujazaliwa kwa taarifa yako hadi leo makovu yake hayawezi kufutika katika kaya mbalimbali Mkoani hapo.
4. 1994 Mauaji ya Kimbali Rwanda. Ni vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda ambayo ilileta athari Mkoani Kagera. Wanyarwanda wengi walikimbilia Mkoa wa Kagera na baadhi yao walikuja na silaha za kivita na kuanza kuendesha vitendo vya utekaji. Vitendo hivyo viliathiri shughuli za maendeleo kwa kiasi kikubwa sana na kwa muda mrefu kwani shughuli za usafirishaji bidhaa na watu ziliathiriwa. Wahaya wametandikwa viboko wakiwa uchi ktk msitu wa Biharamulo, Kasindaga n.k Wengine wamebakwa. Haikuishia hapo tu, mwaka 1994 ktk S/M Tumaini bomu lililipuka na kuua wanafunzi ambao hatujui labda leo ndio wangekuwa wanasayansi nguli ktk Mkoa huo.
5. 1996 Ajali ya MV Bukoba. Hakika mamia ya watu walipoteza maisha. 'Haitasahaulika' karibu kila kaya Mkoani Kagera iliguswa. Ukiachilia mbali nguvu kazi na mali kupotea, pia ile kasi ya kufanya biashara kati ya Kagera na Mwanza ilipungua sana. MV Victoria ndio hivyo imeharibika muda mrefu sasa, meli zilisaidia sana kuimarisha usafirishaji wa bidhaa pamoja na reli ya kati ambayo leo inasuasua. Wana Kagera na wana kanda ya Ziwa wanamshukuru sana Rais MAGUFULI kwa nia yake thabiti kabisa ya kutengeneza meli kubwa na ya kisasa ktk Ziwa Victoria. Pia wako pamoja naye ktk juhudi za kuimarisha usafiri wa reli kwa kuanza ujenzi wa reli ya kisasa kutoka DSM hadi Mwanza. Ni ukombozi wa kiuchumi kwa wanakanda ya Ziwa.
6. Mvua za Elnino 1998, hapa sitazungumza sana. Nadhani mnajua kwa namna gani shughuli za kilimo na usafirishaji zilivyoathiriwa. Ilikuwa ni mvua ambayo iliharibu kwa kiasi kikubwa miundombinu ya Mkoa wa Kagera.
7. Ugonjwa mnyauko 2000s. Hakika ni ugonjwa ambao umeathiri sana zao la ndizi. Ndizi ndicho kilikuwa chakula kikuu kwa wahaya na pia likikuwa ni zao la biashara. Wahaya hawakuwa na njaa kama ilivyo sasa. Ugonjwa huu ulitokea nchini Uganda na kwakweli hautasahaulika kwani leo wahaya wamegeukia kula ugali kitu ambacho hakikuwepo.
8. Tetemeko la ardhi, hili la juzi kila mtu analifahamu na athari zake.

Kwa ujumla athari za nilioyaeleza hapo juu haziwezi kuisha leo au kesho. Ndio maana Serikali kwa kutambua hilo inajitahidi kuja na mikakati ya kusaidia ikiwa ni pamoja na kununua meli nyingine ktk Ziwa Victoria kujaribu kurudisha hali ya zamani kwa kuimarisha usafiri wa majini, kufufua reli na zao la kahawa kwani tumeona juhudi za makusudi ktk maeneo hayo.
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom