Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
WanaJF,
Hivi Lowasa atatupelekea wapi endapo ataunda serikali kwa kutumia hawa team Lowasa? Ukiwachunguza wote waliomstari wa mbele kwenye team Lowasa ni reject waJK.
Kati ya mawaziri 60 aliofukuza JK, 50 wapo team Lowasa. Kuna wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wataalam toka vitengo mbalimbali waliofukuzwa kipindi cha Kikwete ndoo wapo team Lowasa.
Je, akichaguliwa na kuwateua hawa reject kwenye nafasi mbalimbali, nchi itaenda? Kutakuwa na utendaji tunamsifia yeye kama mtu binafsi kwenye team yake tarajiwa?
Urais ni taasisi sio mtu mmoja. Hivyo kuna umhimu wa kutafakari juu ya hili.
Nawasirisha.
Hivi Lowasa atatupelekea wapi endapo ataunda serikali kwa kutumia hawa team Lowasa? Ukiwachunguza wote waliomstari wa mbele kwenye team Lowasa ni reject waJK.
Kati ya mawaziri 60 aliofukuza JK, 50 wapo team Lowasa. Kuna wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wataalam toka vitengo mbalimbali waliofukuzwa kipindi cha Kikwete ndoo wapo team Lowasa.
Je, akichaguliwa na kuwateua hawa reject kwenye nafasi mbalimbali, nchi itaenda? Kutakuwa na utendaji tunamsifia yeye kama mtu binafsi kwenye team yake tarajiwa?
Urais ni taasisi sio mtu mmoja. Hivyo kuna umhimu wa kutafakari juu ya hili.
Nawasirisha.