ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Lowasa is the presedent of united reb of tanzania after dk kikwete
duuu hii ni nchi mpya sijui "reb"
Lowasa is the presedent of united reb of tanzania after dk kikwete
Mkuu Fafanua Waliponzwa Na Kikwete Vipi Yeye NDIO Aliwatuma Wafanye Madudu??? Tupe Ushahidi Sio HISIA ZA Uhusika wa JK.Wewe siyo reject?Wengi waliopatwa na matatizo katika utawala wa Kikwete waliponzwa na Kikwete mwenyewe,kwa hiyo ni haki kuchukizwa na Kikwete na kumwunga mtu mwingine mkono!
Pia itakuwa taabu kweli, kwani barabara zote zitafungwa kuruhusu wale waliokuwa wakienda kumwomba kuchukua fomu watakapoenda kumpongeza chaguo lao!!Nakwambia kumpa Lowasa nchi ni sawa na kuruhusu VVU mwilini mwako.
Huwez ukapona katu!
Tuanze na mawaziri, kati ya mawaziri 60 waliofukuzwa kipindi cha JK, wewe unawakumbuka nani na nani?
presidaa...............................EDWARD LOWASSA
PM......................................ROSTAM
Finance................................CHENGE
kamilisha list
Nishati na makini..........Karamagi
Utalii............. .Msabaha
presidaa...............................EDWARD LOWASSA
PM......................................ROSTAM
Finance................................CHENGE
kamilisha list
Acha Injinia wa manispaa ya temekeAtapata nafasi ya kugombea URAIS kwa vigezo vipi?
moja za sifa za mgombea urais
7. asiwe na hulka ya udikteta ( Engineer manispaa Temeke, alifukuzwa kazi na lowassa hadaharani?)
walifukuzwa kwa sababu gani?sio lazima uwekebandiko la lowasa ili mradi tu uongeejadili hata taifa stars labda upeo wako wa akili utakuwa mzuri huko zaidi
Atapata nafasi ya kugombea URAIS kwa vigezo vipi?
moja za sifa za mgombea urais
7. asiwe na hulka ya udikteta( Engineer manispaa Temeke, alifukuzwa kazi na lowassa hadaharani?)