Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru

Kwa mujibu wa taarifa zilizopo kwenye ofisi ya Bunge zinaonesha alipomaliza darasa la saba alijiunga na ccm college-Ihemi. Huko sijui alisoma nini! Baadae inaonesha aligombea udiwani kawe kupitia cuf, pia zinaonesha alipotoka cuf alijiunga chadema na kurudi ccm. Ccm alipewa ukatibu wilaya ya tarime kabla ya kugombea ubunge jimbo la mtera akiwa ameshikwa mkono na mzee makamba kwenye kura za maoni.
 
Mbigili Primary School Primary Education 1980 1987
CCM College Ihemi Certificate 2007 2008

hiyo ndo education profile yake.
nadhani ina relate na akili yake
source ni web ya bunge
 
Lusinde amejidhalilisha sn na chama chake, sidhani kama akili yake ipo sawa, yeye alidhani anawakomesha CDM kumbe anawaombea kura, USELESS LUSINDE SHAME ON YOU, you will always be a looser Non sense
 
jaman mbona mnamchamba sana HERO wangu:smile-big:?
 
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: text_menu, width: 47%, bgcolor: #b4c6db"][TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #b4c6db, colspan: 5"]EDUCATIONS
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 35%, bgcolor: #b4c6db"]School Name/Location
[/TD]
[TD="width: 27%, bgcolor: #b4c6db"]Course/Degree/Award
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #b4c6db"]Start Date
[/TD]
[TD="width: 13%, bgcolor: #b4c6db"]End Date
[/TD]
[TD="width: 10%, bgcolor: #b4c6db"]Level
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Mbigili Primary School
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Primary Education
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1980
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1987
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]PRIMARY
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]CCM College Ihemi
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Certificate
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2007
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2008
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]CERTIFICATE
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Ministry/Political Party/Location[/TD]
[TD="class: text_menu, width: 31%, bgcolor: #b4c6db"]Position
[/TD]
[TD="class: text_menu, width: 12%, bgcolor: #b4c6db"]From
[/TD]
[TD="class: text_menu, width: 10%, bgcolor: #b4c6db"]To
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Secretary - Tarime District
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2006
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2010
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Assistant Secretary/Accountant
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2006
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]2007
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]CHADEMA
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Member - National Executive Board
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1995
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Civic United Front, CUF
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Secretary - Kawe Constituency
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1992
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]1995
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Chama Cha Mapinduzi, CCM
[/TD]
[TD="bgcolor: #e9f0f0"]Secretary
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Huyu bwana sio kichaa wa kuzaliwa bali ni MJINGA/MPUMBAFU WA KUZALIWA. Namtabilia kukataliwa na wapiga kura wake!
 
Wabunge darasa la saba na form ndani ya CCM wako wengi sana....ni karibu ya nusu,eti hao ndio wanaotunga sheria na kuisimamia serikali wakati ni vilaza...


Mbigili Primary School Primary Education 1980 1987
CCM College Ihemi Certificate 2007 2008

hiyo ndo education profile yake.
nadhani ina relate na akili yake
source ni web ya bunge
 
Miranda You must be joking. Hivi kweli hii ndio CV ya Lusinde. Tumekwisha WATZ!!!!!!
 
huyo kisha jimaliza ndo anaaga hivyo ubunge ole wenu ccm mumsimamishe lusinde 2015 ajiandae kurudi tarime
 
Brazilian: Ndio CV halisi ya msema hovyo, updated kwenye website ya Bunge
 
Mbigili Primary School Primary Education 1980 1987
CCM College Ihemi Certificate 2007 2008

hiyo ndo education profile yake.
nadhani ina relate na akili yake
source ni web ya bunge
Sasa kwa kiwango hicho cha elimu kweli anaweza kuwa mwakilishi wa wananchi wa Mtera bungeni na kushiliki kikamilifu kutunga sheria zitakazoliongoza taifa hili? Si ajabu siku za hivi karibuni kumeibuka mtindo wa ya zomea zomea toka kwa wanabunge wavivu wa kufikiri maana wengi wao wanapata shida kufanya uchambuzi yakinifu wa masuala muhimu ya kitaifa na utungaji wa sheria. Sasa mtu kama huyo utampatia muswada wa katiba mpya kweli auchambue na kutoa mapendekezo ambayo yataishi kwa zaidi ya miaka 100 wakati uwezo wake unaishia kufikiria namna kikao cha siku kitakapoisha na kupata posho yake. Ipo haja kweli kwenye katiba mpya watanzania kuangalia pamoja na uwezo wa kisiasa wa wagombea na uzalendo wao basi elimu kuanzia shahada ya kwanza iwe kigezo muhimu kwa wagombea wa nafasi ya ubunge na urais ili kupata watu makini watakaotuongoza kweli na sio kutuvuruga kama kina Kibajaj.
 
tehetehe kilaza kweli huyu jamaa kwanza nani alimpokea alipokuja pipoz powa hiyo 1995? asije akatuchafulia file letu huyo
 
Kuna mtu anayemfahamu Kwa ukaribu aliniambia huyu jamaa alikuwa Fundi viatu!
Acha masihala bwana, ni ya kweli hayo? kuna mahali nilisoma wengine wanadai alikuwa Houseboy wa John Komba. Hizi kashfa zote amezichokonoa mwenyewe sasa zinamgharimu maana watu sasa wanashauku ya kufahamu wandani wake.
 
Mbigili Primary School Primary Education 1980 1987
CCM College Ihemi Certificate 2007 2008

hiyo ndo education profile yake.
nadhani ina relate na akili yake
source ni web ya bunge

Duh! Ndo maana.....
 
Kwa mujibu wa taarifa zilizopo kwenye ofisi ya Bunge zinaonesha alipomaliza darasa la saba alijiunga na ccm college-Ihemi. Huko sijui alisoma nini! Baadae inaonesha aligombea udiwani kawe kupitia cuf, pia zinaonesha alipotoka cuf alijiunga chadema na kurudi ccm. Ccm alipewa ukatibu wilaya ya tarime kabla ya kugombea ubunge jimbo la mtera akiwa ameshikwa mkono na mzee makamba kwenye kura za maoni.

Apo kwenye red itakuwa matusi/kutusi.
 
Mbigili Primary School Primary Education 1980 1987
CCM College Ihemi Certificate 2007 2008

hiyo ndo education profile yake.
nadhani ina relate na akili yake
source ni web ya bunge

Ina maana huyu jamaha hata elimu ya sekondari hajapata?dah hii hatari sana aisee,kuna mtu mwenye picha yake wakuu aianike hapa?maana hata the way anavyo onekana sijui!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom