akelu kungisi
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 115
- 19
CDM mwandaeni mtu makini kulichukua jimbo la MTERA huyu kijana kavamia siasa.
Mnapoteza muda bure kumjadili kwa kuwa ameonyesha dhahiri kuwa hana makuzi mazuri ya asili ya Watanzania.
Ile mitusi ya chooni ni kipimo tosha kwake!
Chunguzeni kwa makini michango yake awapo bungeni, mtagundua anaongozwa sana na ushabiki na hoja zake si za kuwatetea wananchi wa jimbo lake zaidi ya kusifia serikali na unafiki wa kuponda wapinzani. Huyu hafai na ninadhani hatakuwa na muda katika medani za siasa za hapa Tanzania.
Mnapoteza muda bure kumjadili kwa kuwa ameonyesha dhahiri kuwa hana makuzi mazuri ya asili ya Watanzania.
Ile mitusi ya chooni ni kipimo tosha kwake!
Chunguzeni kwa makini michango yake awapo bungeni, mtagundua anaongozwa sana na ushabiki na hoja zake si za kuwatetea wananchi wa jimbo lake zaidi ya kusifia serikali na unafiki wa kuponda wapinzani. Huyu hafai na ninadhani hatakuwa na muda katika medani za siasa za hapa Tanzania.