Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

Slaa na timu yake wajipange vyema kulidhibiti hili zee mana lazma linampango wa kugeuza matokeo.
 
Kama aliyosema Tendwa si ya kweli achukuliwe hatua mara moja kwa uchochezi,
Kama ni ya kweli hao wazee wakamatwe mara moja na wafunguliwe mashtaka ya kutishia kuua.
Lakini pia natilia mashaka uwezo wa kufikiri wa hao wazee;utamlaumuje mtu eti kwa sababu kazungukwa na watu.
Hivi kuzungukwa na watu huko meru ni kosa kimila?
Aliyezungukwa na waliomzunguka ni nani wa kumlaumu?
Hivi walitaka Lema awatawanye waliomzunguka?
 
Te te te te te eh te! haka kazee kanazeeka vibaya, uku ni kaskazini (benghazi) na sio igunga, alafu na hawa wazee wa washili walitaka kamanda Lema afanye nn baada ya kuzungukwa na kundi la vijana? taabu kweli kweli
Sasa ninachokiona wanazidi kumuongezea umarufu zaidi kamanda Lema, hata wale wasiofuatilia mambo ya siasa watakua na hamu ya kumfahamu huyu Godbless Lema ni nani haswa?
 
Kamata Tendwa fungulia mashtaka mara moja

Tatizo la ICC eti mpaka damu imwagike ndo waanze kutafuta mchawi! Kumbe haka kazee kalitakiwa kapelekwe kwa Ocampo mapema kwa uchochezi! Tumba...f zake huyu mzee, kwanza amekaa ki-Cameron sana nina mashaka naye huyu!
 
Hivi kweli inaingia akilini watu mnakasirika kisa Lema kazungukwa na vijana?huu ni ukoloni uliopindukia..haka kazee tendwa nako kame-expire..huwezi ongea ***** kiasi kile.
 
ni kher uzee wa mwili kuliko akili,tendwa kazeeka vyote wakati mmoja ndo tatizo lake. tuachanen na mganga_njaa,tujenge umoja wetu VIJANA TAIFA LA LEO.
 
Duu huyu mzee tendwa, wassira wakiwa wazee wako unawafungia ndani wasiendelee kuitia aibu familia kwa kulopoka
 
Tendwa unaonekana una busara ndogo,sio kila neno unaloambiwa na wewe unalisema hadharani, ona sasa mzee mzima unaumbuka mchana kweupe.AIBUUU :A S 465::A S 465:
 
Washili wana nafasi ya kutuaminisha kuwa wanastahili kuheshimiwa na jamii ya watanzania, Mbunge kuzungukwa na vijana kugeuza hiyo kuwa ni tuhuma na chukizo kwao ni ukosefu wa busara kwa jamii husika, wasipo kanusha hata hekima itakuwa imejitenga mbali nao, nasubiri kikao chao kitakuja na sarakasi gani kabla sijawadharau wazee wa kimeru narudia tena "wazee"
 
Inanishangaza sana refa kuonyesha dhahiri anashabikia timu fulani
Tendwa hana tofauti na yule Refa wa Man U ! Yule aliyetoa penalt 2 siku na Chelsea.............enhee ! Huyo huyo !
 
Kwenye vitu kama hivi ndio unapojua kuwa hii nchi tuna tatizo kubwa sana zaidi ya hata tunavyofikiria...
Bahati mbaya sana wazee wengi waliokabidhiwa idara nyeti za nchi hii wanaakili kama za Tendwa.
Tutaendelea kuwa nchi ya majanga tu

hawa wazee watapisha lini vijana tuongoze nchi??
 
tujadiri mambo ya msingi na harakati za ushindi wa Arumeru tuachane kabisa na tendwa. Hashakum si matusi ila Tendwa ni kama mwanamke malaya kwa njinsi anavyoongoza taasis yake kishabik
 
Tendwa hana tofauti na yule Refa wa Man U ! Yule aliyetoa penalt 2 siku na Chelsea.............enhee ! Huyo huyo !

Anaitwa Howard Webb,matendo yake na Tendwa sawa sawa,Tendwa alitakiwa awe muingereza tena jamihi ya kina .....
 
Habari nilizonazo wazee wa kishili moja ya kabila la wameru wamepanga kukutana jumatano ya wiki ijayo kuzungumuzia tuhuma walizopewa na msajili wa vyama kuwa wana mpango wa kuua mtu, moja ya azimio litakalojadiliwa ni kumtambua mzee aliyetoa bahari hizo na sababu yake, wanasema hakukuwa na haja ya Tendwa kutangaza kwenye vyombo vya habari mambo ya kimila.

Chanzo ni mzee wangu mmoja wa wajumbe.
 
Madai ya uongo kwa wazee wetu Washili kupanga MAUAJI ni madai mazito sana katika ulimwengu wa sheria na ni madai yasiofutika kirahisi katika historia ya mtolewa maneno hatarishi kama hayo.

Tendwa hana budi kuomba radhi Washili wetu hawa, CHADEMA, umma wa Tanzania pamoja na kufanya hivo kwa Kamanda Lema mwenyewe.
 
Back
Top Bottom