Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

Mh Godbless Lema amjibu Tendwa

Tendwa anatafuta umaarufu kwa kuvunja amani!

Lakini mbona Dr. Slaa alishawahi kusema kuwa John Tendwa anakichaa. Hivyo mtu mwenye kichaa siyo wa kumjadili ni wa kupiga mawe tu popote pale atakapo onekana. Tendwa ni mavi kabisa.
 
Kwa mawazo yangu, hata kama ingekua ukweli kwamba hao wazee wa Meru wamesema kwamba wana bifu na Lema au wanataka kumuua, haikua sahihi kwa Tendwa kuongea habari hiyo hadharani, hasa akifahamu fika kwamba ni kauli ya uchonganishi. Lengo la Tendwa sio zuri na anaonekana na mtu mnafki sana na ni wa kukaa naye mbali. Vyama mbadala kuweni makini na mtu huyu
 
Tendwa anatafuta umaarufu kwa kuvunja amani!

Na ule mwanya wake kama wa Mzee Majuto akicheza kwa Wameru atarudi hana hata jino moja! ohoo! anacheza na Wameru! namsikitikia sana:busu amezoea kufanyiwa hivi na CCM huku ni tofauti kabisa
 
Kwa mawazo yangu tusiangalie tu uchaguzi wa Meru, bali busara kwa ujumla wake. Namuomba Mh. Lema kama ni kweli aliongea maneno ya kuudhi msibani na hao wazee wa Meru wakasikia, akawaombe radhi wayamalize.
Najua hata kama asipoomba msamaha hakuna litakalotokea, na hao wazee hawawezi kumzuia asifanye kampeni kujiandaa na uchaguzi wa Meru, kwani kila mtu ana uhuru wa kwenda popote Tanzania hii, ila napendekeza busara itumike zaidi.
Ni vizuri kujishusha wakati mwingine, pale tunapokosea hata kama tunayo support ya kutosha kutoka kwa wananchi.
 
Kwa mawazo yangu tusiangalie tu uchaguzi wa Meru, bali busara kwa ujumla wake. Namuomba Mh. Lema kama ni kweli aliongea maneno ya kuudhi msibani na hao wazee wa Meru wakasikia, akawaombe radhi wayamalize.
Najua hata kama asipoomba msamaha hakuna litakalotokea, na hao wazee hawawezi kumzuia asifanye kampeni kujiandaa na uchaguzi wa Meru, kwani kila mtu ana uhuru wa kwenda popote Tanzania hii, ila napendekeza busara itumike zaidi.
Ni vizuri kujishusha wakati mwingine, pale tunapokosea hata kama tunayo support ya kutosha kutoka kwa wananchi.

Rudi kwa Tendwa mjadili vizuri zaidi ndio urudi jamvini
 
We naona wakati unapost ulikuwa na usingizi jembe haliwezi kuwaomba msamaha wazee wa ccm ambo wanalirudisha taifa letu nyuma
 
Kusema jimbo litaenda chadema ni maneno ya kuudhi?
 
Kusema jimbo litaenda chadema ni maneno ya kuudhi?
Mkuu nimefanikiwa kuongea na baadhi ya wana familia wa Sumari wanashangaa sana haya mambo yanavyo kuzwa wanasema watakapo kutana tarehe 29.02.2012 wataangalia namna ya kumshitaki Tendwa...
 
Kwa mawazo yangu tusiangalie tu uchaguzi wa Meru, bali busara kwa ujumla wake. Namuomba Mh. Lema kama ni kweli aliongea maneno ya kuudhi msibani na hao wazee wa Meru wakasikia, akawaombe radhi wayamalize.
Najua hata kama asipoomba msamaha hakuna litakalotokea, na hao wazee hawawezi kumzuia asifanye kampeni kujiandaa na uchaguzi wa Meru, kwani kila mtu ana uhuru wa kwenda popote Tanzania hii, ila napendekeza busara itumike zaidi.

Ni vizuri kujishusha wakati mwingine, pale tunapokosea hata kama tunayo support ya kutosha kyutoka kwa wananchi.

Everyone you are a no one and no body, mbona mnamfuata fuata huyu Lema? Kama hamna kazi si mnyamaze tu
 
tendwa kawadharau wazee wa kimeru kwa kujidai kuwa msemaji wao!
 
Mkuu nimefanikiwa kuongea na baadhi ya wana familia wa Sumari wanashangaa sana haya mambo yanavyo kuzwa wanasema watakapo kutana tarehe 29.02.2012 wataangalia namna ya kumshitaki Tendwa...
wewe ndio yule sekretari wa Lema nini?
 
kwani Lema wakati anatamka alikuwa amezungukwa na wazee au vijana!? Kama ni vijana, mbona hawalalamiki.
 
Back
Top Bottom