Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
huyu mzee anaweza kusababisha lawama za maujai ya kikongwe..
Rudi kwa Tendwa mjadili vizuri zaidi ndio urudi jamvini
Kusema jimbo litaenda chadema ni maneno ya kuudhi?
Mkuu nimefanikiwa kuongea na baadhi ya wana familia wa Sumari wanashangaa sana haya mambo yanavyo kuzwa wanasema watakapo kutana tarehe 29.02.2012 wataangalia namna ya kumshitaki Tendwa...
Mkuu nimefanikiwa kuongea na baadhi ya wana familia wa Sumari wanashangaa sana haya mambo yanavyo kuzwa wanasema watakapo kutana tarehe 29.02.2012 wataangalia namna ya kumshitaki Tendwa...
Kwa umri wa Tendwa kukurupuka na kuongea mambo ya aibu kama yale ni kituko...!
Sijui kwanini anashindwa kuelewa kuwa anaharibu heshima yake uzeeni.
tukumbushe LEMA aliongea maneno gani yakuwaudhi wazee?Kwa mawazo yangu tusiangalie tu uchaguzi wa Meru, bali busara kwa ujumla wake. Namuomba Mh. Lema kama ni kweli aliongea maneno ya kuudhi msibani na hao wazee wa Meru wakasikia, akawaombe radhi wayamalize. Najua hata kama asipoomba msamaha hakuna litakalotokea, na hao wazee hawawezi kumzuia asifanye kampeni kujiandaa na uchaguzi wa Meru, kwani kila mtu ana uhuru wa kwenda popote Tanzania hii, ila napendekeza busara itumike zaidi. Ni vizuri kujishusha wakati mwingine, pale tunapokosea hata kama tunayo support ya kutosha kutoka kwa wananchi.
Ulitaka uwe wewe? Bora ubakie na kazi yako dhariri ya ukuadi wa ccm maana hiyo inakupa mkate japo ni mkavu!wewe ndio yule sekretari wa Lema nini?
tukumbushe LEMA aliongea maneno gani yakuwaudhi wazee?