Mh.Freeman Mbowe wa CDM ndiye huyu ?

Mh.Freeman Mbowe wa CDM ndiye huyu ?

Mbowe kajipanga anataka kugombea urais mwaka 2015 alimuachia Dr Slaa, mwaka 2010 akashindwa anataka naye ajaribu tena.
Kweli. Lakini Slaa atakubali, si atasema yeye (Slaa) ndo kamtengenezea njia? Nayakumbuka maneno ya Wassira
 
Free kama anavyojulikana Moshi,ni mwanasiasa wangu,Ni hero wangu na nazidi kujifunza mengi kupitia kwake,naamini ndie mwanasiasa wa Chadema anayekubalika na kuheshimika na watu wote wakiwemo na viongozi wote wa vyama vya siasa nchini....Hata Rais anamheshimu sana...
 
hao ndio watu wanaojua kuheshimu nini afanye na nini asifanye na kwa wakati gani afanye wakati gani asifanye ni watu wachache sana wenye uwezo huo big up MH MBOWE !
 
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu

mimi natamani mbowe awe rais 2015 kwa sababu ni wa nyumbani na anakijua chama toka zamani na mkwe wake anamwamini sana.
 
Kiukweli tukiacha ushabiki Mbowe ni kiongozi hasa, nakumbuka ile juzi wakiwa pale Serena kuchangisha hela za M4C, aliporekebisha kauli ya Kamanda Lema alivyosema lines zote za mitandao watazitupa chooni kama wakihujumiwa, Mbowe akaja baadae akasema wanaamini kuwa ni matatizo tu ya mitandao hivyo wananchi waendelee kujaribu. Ukweli jamaa namkubali hasa, namna tu anavyojinyenyekeza huwezi amini kama ni mtu aliyekulia kwenye utajiri toka utotoni, tumwombee afya njema na asije akakutana na peop mbaya, kwani wakati mwingine wanansiasas huwa hawatabiriki
He is humble and a down to earth person.He is a true leader.Hana dharau na amejitolea kulikomboa Taifa.

Uanaharakati kaanza kitambo sana.Nakumbuka nikiwa mtoto mdogo kabisa nilikwenda kwenye mkutano wake.Nilivutiwa sana na ujengaji wake wa hoja.Alikuwa hajali ni watu wangapi wanamsikiliza.Nilishangazwa sana na harakati zake given that ametokea kwenye familia ya kitajiri,na kwamba angeweza kuendelea na shughuli zake na kutumbua raha ama kula bata kwa raha zake.Lakini kumbe alikuwa na vision na ndiyo iliyoifikisha chadema hapo ilipo.Ameifanya chadema kuwa chama cha upinzani kinachopendwa Tanzania nzima.

He is a natural born leader and a politician...

Longlive kamanda Mbowe.
 
Afazali mpiga disco lakini je Mh mmja aliye ingia mikataba na dini moja maarufu hapa nchini kwamba wapigie kampeni akiwa Rais atawauwa wakristo wote hapa tz na kuwapendelea waamini wa dini yake na tukampiga chini .
unaona faida ya kutokwenda shule?
 
Mbowe anaonekana anauchungu na nchi yake,Slaa anaoneka ana uchu wa madaraka. Slaa yuko radhi watanzania wauwane ilimradi apate urais, Mbowe na Zitto ni model moja, Slaa na Lema ni model moja. Huko mbeleni haya makundi mawili yatashindwana. Hivi sasa tunaona kuna wanaopigania CDM yenyewe(mbowe na Zitto) na kundi la pili linapigania M4C(Slaa na Lema).
 
....acha kumsifia DJ wewe anachumia tumbo lake, kauzia chama magari mabovu tena kwa bei kubwa,tz sio madagascar

Umedandia gari kwa mbele maana swala la kuuzia chama magari limejadiliwa sana hapa jamvini na walioelewa ukweli wote wako kimya. Sifa hutolewa kwa yeyote ilimradi kuna la msingi kufanya hivyo, kuchumia tumboni huo ni mtazamo wako kwa miaka kadhaa cdm kimeendeshwa kwa ufadhili wa watu wachache pasipo ruzuku akiwepo mh Mbowe.

Kumbuka kuwa wapinzani wa cdm hasa ccm wangependa mchumia tumbo ili wamshibishe fasta lakini kwa Mbowe wamekwama maana sio mwenye njaa. Tafuta staili ingine mzee...
 
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa

Huyu mpiga disco wetu na wale walioficha mabilioni majuu nani bora? Vipi hawa wa chama cha mabwepande ndo bora zaidi au hawa wa EPA na yeye nani bora zaidi?

 
Sitaki kuamini mkurugenzi upeo wako ndo umeishia kufikiria huu utumbo.All in all ni kiongozi ambaye hata Mimi namkubali.

Mimi nadhani wengi hamjamwelewa Molemo, anasema ingekuwa amri yake, Chadema ingekuwa ni mali yake, Chadema ingekuwa ni kampuni yake, angefanya hivyo. Hajasema iwe hivyo kwa chadema na wala hajapendekeza hivyo kwa Chadema hii. Ni matakwa yake kama ingekuwa kitu kingene ambacho yeye ana mamlaka kwa 100%. Sivyo ilivyo kwa Chadema, hana mamlaka hayo na wala hajapendekeza wala kushawishi hilo lifanyike. Tatizo liko wapi? Si anaonesha kiwango chake cha kuwakubali Mbowe na Slaa? Si na yeye ana haki ya kutoa maoni yake? Kwa maoni yangu kumshambulia ni kuzuia uhuru wa maoni.
Ni sawa na kigogo mmoja wa ccm alivyonikasirikia jana baada ya kipindi cha malumbano ya hoja, eti nashambulia ccm bila sababu wakati yale yalikuwa ni maoni yangu.
 
uzuri mbowe hana skendo za kupora wake za watu na kuburuzwa na mkewe hivyo anafaa kugombea urais.
 
Madhara ya kuvutia bange juani haya!
mkuu sio juani ni madhara ya kuvuta bangi chooni maana msokoto mzima unamaliza peke yako juani kidogo afadhari unaweza kumpata wa kukugongea na hivyo mtakuwa mnashare makali lakini la chooni noooma yaani msokoto ukiwa kama kombola lazima ulimalize mwenyewe
 
mkuu sio juani ni madhara ya kuvuta bangi chooni maana msokoto mzima unamaliza peke yako juani kidogo afadhari unaweza kumpata wa kukugongea na hivyo mtakuwa mnashare makali lakini la chooni noooma yaani msokoto ukiwa kama kombola lazima ulimalize mwenyewe

Hahahahah tanira1 you made my day lol
 
Last edited by a moderator:
Usiombe mwanadamu akazaliwa na kipaji, akakutana na mzee wa busara, halafu akatulia na kumsikiliza. Lazima atatisha.
 
mkuu sio juani ni madhara ya kuvuta bangi chooni maana msokoto mzima unamaliza peke yako juani kidogo afadhari unaweza kumpata wa kukugongea na hivyo mtakuwa mnashare makali lakini la chooni noooma yaani msokoto ukiwa kama kombola lazima ulimalize mwenyewe

...ambako Makali yake huongezeka maradufu kutokana na Harufu ya KInyesi!
 
Back
Top Bottom