Mh.Freeman Mbowe wa CDM ndiye huyu ?

Naomba ubunifu wa Prof. Lipumba, Mbatia na JK kama wenyeviti wa vyama vyao.
 
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2:.........
 
Nilianza kumrespect pale alipochaguliwa kuwa m/kiti hakuwa na haraka ya kugombea urais alitake pause ili ajifunze kwanza. Sio wengine wanachaguliwa Agost, September anatangaza nia. Lol amenifanya nichange negative attitude about chaggas. Godbless u guy.
 
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu
Hayo ndio mawazo ya KIMAGAMBA inayofikiri hii nchi wan hati miliki yao .
CDM ni ya wazalendo wote wao ndio wapo kwenye mstari wa mbele wa mapambano .
Utakao fika wakati itabidi wapumzike nguvu mpya iimarishe M4C
 
Na mkubali sana huyu mh yani anapo anza kuongea ni busara tupu mwanzo mwisho! Ni mtu hasiye ogopa ni mtu hasiye kurupuka!
 
Huyu mtu huwa namfananisha na Makongoro Nyerere,yaani wamefanana kwa SURA,utadhani ni NDUGU.
 
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa


Tufafanulie mkuu, huwa anapiga ukumbi upi tukamuunge mkono kwani nauhakika anavyozidi kuimarika kisiasa atakuwa imara zaidi hata ktk hilo disco.


Hivi nilazima kuunga mkono hoja za vibabu vya ccm vyilivyojtenga na jamii hata kama ni za kipuuzi, onesha tofauti, kuwa mkweli kwa nafsi yako, eneza ukweli, watz tumechoka na prpgnda zsizo na tija.
 
Laiti ingelikuwa amri yangu ningependekeza Mbowe awe Mkiti wa kudumu huku Dr Slaa awe Katibu mkuu wa kudumu

Mkuu Molemo unatamani ufalme ndani ya CDM? Kati ya hao nani anafaa kuwa Rais kwa mtazamo wako?
 
Last edited by a moderator:
Hayo ndio mawazo ya KIMAGAMBA inayofikiri hii nchi wan hati miliki yao .
CDM ni ya wazalendo wote wao ndio wapo kwenye mstari wa mbele wa mapambano .
Utakao fika wakati itabidi wapumzike nguvu mpya iimarishe M4C

Duh mkuu naona Molemo ameteleza anatamani ufalme ndani ya chama chake. Hajasema tu kwamba anatamani Zitto awe Naibu Katibu Mkuu wa kudumu na Mnyika awe Mkurugenzi wa mawasiliano wa kudumu!
 
Last edited by a moderator:
kila la kheri ila tuchunge tusiharibu chama. we can't afford that at any time Together we can Ng'oa wavua gamba.
 
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa

Yeye anapiga disco na watanzania. CCM inapiga mdundiko na mafisadi waliolala wakifikiri Tanzania ya leo ni ile ya jana. Wakiamka watamkuta Mbowe ameshawaelimisha watanzania wote na watawafukuza madarakani kwa fimbo na wala sii silaha ya maana kwani nguvu ya umma itaweka mabomu ya machozi na silaha zote za majambazi pembeni.
Naomba uone aibu kwa jinsi tunavyoteseka. Nchi haina shule ya maana. Hospital zimebaki magofu yasiyo na dawa, vifaa, wala madaktari wenye maadili ya kufanya kazi. Oneni wanetu wanavyoketi kwenye mawe huku wakijaribu kumsikiliza mwalimu ambaye hajalipwa kwa miezi. Angalieni barabara zetu zilivyo masikini. Lami kiwango cha mwisho anachoweza kujenga mtoto mdogo. Serikali nzima wizi, ufisadi, udini, udanganyifu, upuuzi, ujinga, you name a few.
Tunamshukuru Mbowe kwa kazi yake. Subirini tu mtaona matunda siku za karibuni. Tumechoshwa sana na serikali DHIFU inayofanya kila kitu hata Tanzania nzima kuonekana DHIFU. Tutasimama na Mbowe, tutashinda, na Tanzania itabadilika kama Rwanda na mataifa mengine jirani na Tanzania.
 
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa
Afazali mpiga disco lakini je Mh mmja aliye ingia mikataba na dini moja maarufu hapa nchini kwamba wapigie kampeni akiwa Rais atawauwa wakristo wote hapa tz na kuwapendelea waamini wa dini yake na tukampiga chini .
 
Mimi kanikuna zaidi recently kwa namna alivyolizima zimwi fake la harakati za urais ndani ya Chama. Yaani kasababisha nianze kufikiria kumsahau Mwalimu Nyerere. Kanithibitishia kwamba wapo watanzania wenye uwezo wa kukabiri hoja mfu zilizopakwa rangi za samawati kwa hoja badala ya kuzikimbia kama alivyotuzoesha Amiri Jeshi Mkuu, Rais, Alhaji, DR, Kanali na Mwenyekiti Kijana wa Chama cha Mapinduzi.
unataka kumsahau mwalimu kwasababu ya mbowe. unadhani mbowe akitawala hii nchi miaka 23 ataondoka maskini kama nyerere.
 
Huyu mtu huwa namfananisha na Makongoro Nyerere,yaani wamefanana kwa SURA,utadhani ni NDUGU.

hahahha....ninachojua mimi baba yake makongoro alikuwa baba wa roho wa huyo unaemsema wamefanana..na ni baba yake makongoro ndiye aliyempa jina la freeman...upo?...na ni baba yake na huyu freeman ndiye aliyemshonea suti baba yake na makongoro wakati anakwenda UN kuutafuta uhuru.....hii koment yako naona kama ina harufu mbaya sana inayotokea kwa chini
 
Hakika huyu ni kamanda wa anga asiyechoka, amajaaliwa kipaji na uwezo mkubwa sana.
 
Ili tupige hatua tunahitaji mtu mwenye msimamo wa pekee, kujiamini, asiyebabaika na anayesimamia kile anachokiamini. Nchi inaliwa na wajanja wachache, hao ndio waliojipenyeza kila kona ya nchi yenye kuleta senti ktk mfuko wa taifa, wapo TRA, kwenye mikataba ya madini, gas, uzalishaji wa umeme, maliasili, nk.

Watanzania tunahitaji mtu mwenye roho ngumu ambaye atakuwa tayari hata kumpeleka jela mkewe, mtoto, baba, mama au kimada wake kwa kuiba mali au pesa za umma. Nimemfuatilia sana Mhe Mbowe, nikakumbuka alipojaribu bahati yake kutaka kuwa raisi mwaka 2005, alishindwa vibaya, akaona bado hajafika, akarudi na kujipanga kwa kujenga chama, akaona lazima kiwe na mtandao kila mahali kuanzia kijijini mpaka mjini, kuanzia kwa wababa mpaka watoto, vijana mpaka wamama, akajipanga kuwa na nguvu kubwa zaidi ya wabunge, akajipanga kuondoa majungu na fitina ya muonekano wa chama kuwa wa kikristo au kichaga. Huyo ndio Mbowe, anafanana sana na Kagame, mwanajeshi ambaye hana hata degree lakini anaijenga rwanda iwe kwenye kundi la 'Developed conuntries'!!!

Asante Mkuu, nilikiwa najiuliza swali hili la Kagame wakati naanza kusoma mada hii. Umejibu vizuri.
Watanzania tumedanganywa sana na kuaminishwa kuwa uwezo wa Uongozi ni kuwa na Elimu ya juu sana. Hiyo si kweli hata kidogo. Ndiyo maana utaona watu wanakimbilia sana kuitwa ma-Dr. wakati hakuna la maana sana alilofanya likaleta mabadiliko ya kimaendeleo kwa jamii. Mfano mwingine wa Raisi aliyejizolea umaarufu dunia nzima na bila kuwa na Elimu ya kutisha ni aliyekuwa Raisi wa Brazil. Alifanikiwa kuimarisha uchumi wa Brazil na sasa unaheshimika duniani. Lakini niliwahi soma mahali kuwa alikuwa "lathe machine operator".
 
Back
Top Bottom