MPAMBANAJI.COM
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 712
- 331
Ni kitambo toka afahamike kama mtu machachari na anayejiamini na msimamo endelevu kwa manufaa ya wengi
Hakika ni wachache wenye ujasiri huu, au kuishi ndani ya siasa bila kuchuja kwa muda mrefu kama alivyo kamanda huyu.
Mh. huyu kwa sasa ameanza kugusa wengi hususani wazee na vikongwe ambo awali walikua waogopa upinzani hususani baada ya kujiimarisha katika kutoa hoja na kuzitetea kwa kujieleza kwa umahiri mkuu.
Kaka Mbowe kwa sasa anaonekana kuwa ameiva katika kufikisha ujumbe kwa makundi mbalimbali...hu ndio uongozi kaka yangu.
Nimekufuatilia toka january mwaka huu hadi sasa...kwa kweli umenikosha kwa staili yako nzuri ya siasa na uwezo wakuteka mass... heko kwa hili
Lamsingi hapa tunamwomba Mh. awaelekeze baadhi ya makamanda wa juu yuu ya umuhimu wa siasa zipendwazo ambazo kwa kweli hapa CHADEMA wanasimama kama wanaharakati wa Taifa hili changa ila lililozeeka kwa ukosefu wa ubunifu wa maendeleo ya kweli.
Kuna aliyevuliwa ubunge kule kaskazini, anaonekana kuwa bado na siasa zenye madoa kidogo lamsingi hapa awateke vijana au sijui ni kwamba ni nia ya Chama kujaribu kuteka watu wa kada mbalimbali kwa wasifu mbalimbali.
Je hapo alipo pametosha au tusubiri mengi mazuri toka kwake ktk elimu ya M4C?
Bravo HQ Leaders.......peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss''''sssssssssssssssssssss'
Hakika ni wachache wenye ujasiri huu, au kuishi ndani ya siasa bila kuchuja kwa muda mrefu kama alivyo kamanda huyu.
Mh. huyu kwa sasa ameanza kugusa wengi hususani wazee na vikongwe ambo awali walikua waogopa upinzani hususani baada ya kujiimarisha katika kutoa hoja na kuzitetea kwa kujieleza kwa umahiri mkuu.
Kaka Mbowe kwa sasa anaonekana kuwa ameiva katika kufikisha ujumbe kwa makundi mbalimbali...hu ndio uongozi kaka yangu.
Nimekufuatilia toka january mwaka huu hadi sasa...kwa kweli umenikosha kwa staili yako nzuri ya siasa na uwezo wakuteka mass... heko kwa hili
Lamsingi hapa tunamwomba Mh. awaelekeze baadhi ya makamanda wa juu yuu ya umuhimu wa siasa zipendwazo ambazo kwa kweli hapa CHADEMA wanasimama kama wanaharakati wa Taifa hili changa ila lililozeeka kwa ukosefu wa ubunifu wa maendeleo ya kweli.
Kuna aliyevuliwa ubunge kule kaskazini, anaonekana kuwa bado na siasa zenye madoa kidogo lamsingi hapa awateke vijana au sijui ni kwamba ni nia ya Chama kujaribu kuteka watu wa kada mbalimbali kwa wasifu mbalimbali.
Je hapo alipo pametosha au tusubiri mengi mazuri toka kwake ktk elimu ya M4C?
Bravo HQ Leaders.......peoplesssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss''''sssssssssssssssssssss'