Hongera
Mnamshabikia mpiga Disco kweli nyinyi ni wachovu khaa
Lema alikua anatumia staili ya kulia nyau. hiyo imoMimi alinikonga nyoyo pale dar wakati akichangisha pesa za M4C lema alisema kampuni za simu zikihujumu zoezi la uchangishaji atawashawishi wateja watupe line chooni- Mbowe akainuka na kumsawazisha kijana kwa kuwaomba radhi wachangiaji Kama wanapata wakati mgumu kuchangia kwa simu kwa kuwaambia ni mtandao Uko bize kwani ni mamilioni ya watu wanatuma hela kwa wakati mmoja ndio maana line zinakuwa bize-nawaombeni muwe wavumilivu na mjaribu tena na tena Kama Leo ikikataa jaribu na kesho hujachelewa ni zoezi endelevu na mtuwie radhi kwa usumbufu mtakao upata- la pili alilonikonga moyo wangu ni pale aliposema nikifa Leo msilie wala kusimamisha mapambano ya kudai uhuru kutoka kwa mkoloni mweusi Yani ccm hapana mtawapa maadui advantage ya kujipanga na kujibu mashambulizi nyie wekeni jeneza la Mbowe pembeni na msonge mbele na mashambulizi Mimi sina dhamani ya watz 45million msinililie niwekeni pembeni na msonge mbele makamanda mpo wengi akamalizia kwa kusema peplesssss wakamuitikia powerrrrrrr nusu nivunje tv kwa teke nidadi ilipanda sana- I like the guy he is real comander in chief he is real unique, wise, smart and intelligent much respect camander in chief Mbowe.....
Lema alikua anatumia staili ya kulia nyau. hiyo imo