Mh Freeman Mbowe, jiuzulu uwenyekiti wa chama

Amanikwenu, mbona hujawahi kumshauri Shalif Hamad aachiwe umwenyekiti wa CUF kwa mchango wake mkubwa kukujenga chama chao???????? Je, uliona umuhimu wa Shalif ukipungua kwa kutokuwa mwenyekiti wa CUF. Kwanza Katibu mkuu ndio mtendaji mkuu wa chama, na mwenyekiti na katibu mkuu lazima wafanye kazi kwa karibu sana kwa mafanikio yoyote ya chama.

Naamini bado Dr. Slaa ana nafasi na ataendela kuwa na nafasi kubwa na muhimu katika chama cha CHADEMA.
 
Mwenyekiti kawaida sio mtendaji kwa hiyo Dr Slaa yuko kwenye nafai nzuri ya kujenga chama kama Katibu

Kwa kuongezea mwenyekiti si mwajiriwa (full time employed by CHADEMA) wakati katibu ni mwajiriwa kwa kudumu; hii ina maana unataka Dr. Slaa asiwe na mshahara kabisa wakati kina Mbowe na mshahara wa Ubunge
 
we unazani elimu ndio kigezo cha mtu???
Ila napenda kujb sulual ulilouliza mimi nina elimu ya kunitosha kuishi vizuri hapa mjini bila shida

PAS amemaliza darasa la saba akajiunga na vyuo vya tenchical amemaliza vyema fundi rangi tusimlaumu ni best angu, CHalii uangalie unachoaandika
 
PAS amemaliza darasa la saba akajiunga na vyuo vya tenchical amemaliza vyema fundi rangi tusimlaumu ni best angu, CHalii uangalie unachoaandika
umejuaje????
nshakukumbukaaa..... wewe ndo ulikua unafagia iyo road ya ilemela , ivi ile kampuni iliyokuajiri ili uishi mjini vp ipo??
ila nazani ipo mana hadi watumia intanet!!!!!

 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

Umeanza kuiga staili za ki- CCM CCM. Kwani lazima wote wafuate mfumo wa CCM?? NO, hapo narudia NO.
 
Wewe PAS, haufai kuchangia hii Forum maana ni pumba tu unachangia, ningependa kujua helimu yako, isije ikawa kama Elimu za wajumbe wa CCM.

Hata wewe pia tungependa kujua HELIMU yako
 
umejuaje????
nshakukumbukaaa..... wewe ndo ulikua unafagia iyo road ya ilemela , ivi ile kampuni iliyokuajiri ili uishi mjini vp ipo??
ila nazani ipo mana hadi watumia intanet!!!!!


Kumbw PAS ni Laurent Masha.... Duh kaz kwelikweli
 
Kumbw PAS ni Laurent Masha.... Duh kaz kwelikweli
mmmh ILO JINA KAMA NLISHAWAI KULISKIA CJUI WAPI.....
AJAKUFA MWENYE IYO NEM???

omba razi kwangu na jf nzima kwa kunizaririsha sna, kunionea sna, nkafazaika sna..
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.
Watu wengine hamjui tofauti ya kazi ya Mwenyekiti na Katibu.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

a) Je Kukijenga Chama lazima uwe mwenyekiti? kumbuka DR. Slaa ni Katibu mkuu wa CHADEMA na Mjumbe wa Kamati kuu.
b) Heshima ipi ambayo DR. Slaa kaikosa ila ataipata endapo atakapokuwa mwenyekiti wa CHADEMA?

Tunataka maelezo kutetea hoja yako otherwise Mzee hoja yako haina uzito wowote hence trashed.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

no way unaweza kuwashauri great thinkers, rudi kamalizie dozi..
 
Hivi muliambiwa kuwa ni nafasi ya cheo inayojenga chama au ni ushawishi wa mtu mbele ya jamii?
Usianze kuvuruga chama we mamluki!..consult with your Digestive system before coming here!

rudi shuleni kasome historia ya nchi yako Tanzania,, mwalimu nyerere aliokotwa na akina ABDUL SYKES na akina DOSSA AZZIZ lakini kutokana na uwezo mkubwa wa ushawishi na kujenga hoja( kama alivyo SLAA) waasisi waliamua kumuachia chama na kumsaidia kwa hali na mali mpaka ikafika mahali NYERERE ndio kila kitu katika chama.akaiunganisha nchi na kuiandaa kuchukua dola kutoka mikononi mwa wakoloni kwa kukifanya chama kuwa na taswira ya kitaifa.
Ni SLAA peke yake mwenye uwezo wa kukifanya CHADEMA kuwa na taswira ya kitaifa na sio ya taswira ya KI-MANGI kama ilivyo sasa. ZITTO KABWE alijaribu lakini kila mtu anajua nini kilitokea.Tukishindwa kukubali kuwa uwezo wa MBOWE ni mdogo kuliko ukubwa wa CHADEMA(hivi sasa),na kujaribu kufunika kombe ili mwanaharamu apite ni dalili ya anguko hata kabla ya kufikia kilele
 
Huyu alizoeshwa na hao mabwana kuwa mgombea ni lazima uwe Mwenyekiti,bado yuko kwenye zidumu fikra za mwenyekiti.Chunguza vizuri ndio uje na hoja uliyoanzisha ya M/kiti kumwachia Dr.

Mimi nimetokea kupenda sera za CHADEMA na ninataka kuwa mwanachama,ninawezaje kujiandikisha na kupewa kadi?Maana nimejaaribu kutuma kwenye mtandao kama inavyolekezwa kwenye website ya Chadema ila sijaona response yoyote.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

Sijui kama una takwimu na umefanya uchambuzi wowote ule. nadhani "literacy" yako ipo chini. unawezaje kutenganisha mafanikio ya chama na mwenyekiti wake!!!!!! ungefanya uchambuzi wa kina usingeandika haka ka-thread kako uchwara. Mbowe ni jiwe la kona la mafanikio ya chadema. habari ndiyo hiyo.
 
rudi shuleni kasome historia ya nchi yako Tanzania,, mwalimu nyerere aliokotwa na akina ABDUL SYKES na akina DOSSA AZZIZ lakini kutokana na uwezo mkubwa wa ushawishi na kujenga hoja( kama alivyo SLAA) waasisi waliamua kumuachia chama na kumsaidia kwa hali na mali mpaka ikafika mahali NYERERE ndio kila kitu katika chama.akaiunganisha nchi na kuiandaa kuchukua dola kutoka mikononi mwa wakoloni kwa kukifanya chama kuwa na taswira ya kitaifa.
Ni SLAA peke yake mwenye uwezo wa kukifanya CHADEMA kuwa na taswira ya kitaifa na sio ya taswira ya KI-MANGI kama ilivyo sasa. ZITTO KABWE alijaribu lakini kila mtu anajua nini kilitokea.Tukishindwa kukubali kuwa uwezo wa MBOWE ni mdogo kuliko ukubwa wa CHADEMA(hivi sasa),na kujaribu kufunika kombe ili mwanaharamu apite ni dalili ya anguko hata kabla ya kufikia kilele

Nipo pamoja nawe, ni ushauri mzuri na makini. Acheni jazba na jengeni hoja.
 
Back
Top Bottom