Mguu wangu wa kuku

aisee bobuu...hii kitu ni muhimu sana.....hivi mchakato wake unaanzaje....?

yaani kama hiki hapa.....

View attachment 56035

mchakato unaenda duka la silaha (tanganyika arms) unachagua unayoitaka kama ni glock, perreta... unailipia full amaunt then mashine inakuwa reserved, unapewa receipt na fomu unapeleka serikali za mitaa/mjumbe anarecomend then unapeleka polisi wilaya wanakuchunguza/kuhoji na wanarecomend then polisi mkoa nao unawapelekea. ukipitishwa na hao wote unarudisha fomu pale ulipolipia wanakupa mafunzo mafupi then unakabidhiwa mashine.... only that LAKINI polisi wakirecomend usipewe unakuwa refunded full amaunt
 
Mkuu huku nilipo silaha zinauzwa kam Biskuti tu unazikuta Madukani wewe unachotakiwa uonyeshe Kitambulisho chako unauziwa na Risasi pamoja huku mtu akikukorofisha basi unaweza kumtandika mara moja silaha sio kitu kizuri kuuzwa kama juice.

wapi huko mkuu.I think i love respect so nataka nije niishi huko
 
Mkuu Saint Ivuga hiyo kitu ni muhimu sana katika maisha yetu,tatizo ni kuwa watu hawajui umuhimu wake na kila mtu anaiogopa.Wachache wenye uwezo wa kuzipata ndio wanatusumbua mitaani kwa ujambazi.Lakini kwa wenzetu hasa hapa ninapoishi kila mtu anamheshimu mwenzake na hata uache mlango wazi usiku kucha hakuna yeyote atakayeisogelea nyumba yako maana anajua akija ni kujitafutia mauti..
 
Last edited by a moderator:
hivi zinapatikaje hizi maana nnahisi wife atajifungua katoto ka kike hivi karibuni na ninavyo fahamu damu ya wife ilivyo kali lazima katakua copyright..nimeahirisha kufuga mbwa mkali kwani gharama sana kuwalisha ila hii kitu ukiwa nayo hamna gharama yoyote
 
hii kitu ukiwa nayo unakuwa unawashwa washwa tu kumpa mtu kitu
dont try this at home
 
Ukihitaji hii kitu unaweza kuipata. Pitia maduka ya Tanganyika arms, watakupa taarifa zaidi. Mashaka yangu ni kuwa wale jamaa wa kazi wanaweza kukufata ili waichukue wakafanyie kazi
 
kumbe basi ninakidhi vigezo......
na je kama huyo anayenipima ndio hana akili timamu nitajuaje....? inatakiwa tupimane coz kila mtu ana kichaa chake.....
Aithee Preta, njoo nikupime haraka mana kila nikuona hiyo avatar yako kichaa kinainyemelea!
 
Huu ndo mpango mzima, kitu AK 47,

ak-47_type_ii_part_dm-st-89-01131.jpg
 
Duh! Nilisahau ati, nilifikiria tu kuhusu kuwatimua majambazi.

ha ha ha, ingawa watanzania wengi wanamisuse! Mwulize Saint Ivuga akwambie. Mwingine

anakupa lift amekaweka kwenye dash board! Mwingine akifika rose garden anaagiza kalocal beer anakaweka mezani ili

mradi tuu kupeana presha
 
Last edited by a moderator:
mchakato unaenda duka la silaha (tanganyika arms) unachagua unayoitaka kama ni glock, perreta... unailipia full amaunt then mashine inakuwa reserved, unapewa receipt na fomu unapeleka serikali za mitaa/mjumbe anarecomend then unapeleka polisi wilaya wanakuchunguza/kuhoji na wanarecomend then polisi mkoa nao unawapelekea. ukipitishwa na hao wote unarudisha fomu pale ulipolipia wanakupa mafunzo mafupi then unakabidhiwa mashine.... only that LAKINI polisi wakirecomend usipewe unakuwa refunded full amaunt

Hapa ndo kuna tatizo ukishaichukua info zinapelekwa kwa vijana wa kazi halafu wanaweza kuja kuipitia kwako kuwa mlolongo ni mrefu sana.
 
Hapa ndo kuna tatizo ukishaichukua info zinapelekwa kwa vijana wa kazi halafu wanaweza kuja kuipitia kwako kuwa mlolongo ni mrefu sana.
ni bora usiwe nayo ila kuna baadhi ya mikoa hapa nchini lazima uwe na hio kitu..hata kama ..
 
JF haiishi vituko.hii thread ningekuwa nimeianzisha mtu kama mimi ningeshapigwa bann.
 
Nina hamu nayo sana hii kitu,lkn kwa jinsi nilivyo na madereva wa daladala na ninapomkumbuka Marehemu Brother Dito(RIP) naona bora ni'vutevute subira kwanza.
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom