Mguu wangu wa kuku

Mguu wangu wa kuku

aisee bobuu...hii kitu ni muhimu sana.....hivi mchakato wake unaanzaje....?

yaani kama hiki hapa.....

View attachment 56035

Preta Preta duuuh!!!!!. Hiyo nadhani ni browning. Lakini kabla hujaamua kuiimiliki lazima uwe na uhakika kama ni muhimu hivyo kuwa nayo. usivutiwe na sura yake tu. La pili kuhusu mchakato wa kupata leseni unaanza baada ya kuinunua. Na maduka yako mawili tu kama unataka mpya. Baada ya kuinunua ndio unaanza utaratibu wa kuimbea leseni nipm nikupe utaratibu wake.
 
Hii profile picture isikudanganye hii.

whatever the case mwaJ, im convinced u must be good in your own way. At least im convinced u

are not plain, u r having a chocolate color and nice potable figure. correct me please. . .
 
Last edited by a moderator:
whatever the case mwaJ, im convinced u must be good in your own way. At least im convinced u

are not plain, u r having a chocolate color and nice potable figure. correct me please. . .

Haaa! There are some truth in what you've just said! Atleast you are about 20% right! haha ha ha haaaa! Mpaka nimeangalia pembeni kulia na kushoto isije kuwa unaniona. Lol!
 
mhhhhhh!!! mh! bora mie mguu wangu wa BATA unafyatua ile mbaya SAINT IVUGA wakwako cha mtoto.Ila ukitaka kua nao pia usijali nijuze nikupatie.
 
Preta Preta duuuh!!!!!. Hiyo nadhani ni browning. Lakini kabla hujaamua kuiimiliki lazima uwe na uhakika kama ni muhimu hivyo kuwa nayo. usivutiwe na sura yake tu. La pili kuhusu mchakato wa kupata leseni unaanza baada ya kuinunua. Na maduka yako mawili tu kama unataka mpya. Baada ya kuinunua ndio unaanza utaratibu wa kuimbea leseni nipm nikupe utaratibu wake.

masharti yake naona bora nibaki huku.....
avatar40981_3.gif

 
Haaa! There are some truth in what you've just said! Atleast you are about 20% right! haha ha ha haaaa! Mpaka nimeangalia pembeni kulia na kushoto isije kuwa unaniona. Lol!


why not 80% or because I didn't say you have nice white teeth with clearly arranged dental formula?
 
:coffee::coffee::whistle:

Hey hey hey! What's going on? What is it with the quotations? Am I missing something even from what I commented myself? Ronn M rudi saidia kutoa maelezo maana Kaizer kanivutia kahawa na anapiga mluzi taratiiibu. Lol! Mguu wa kuku utakuwa wa bata.
 
Last edited by a moderator:
kama sio kusafirisafiri na kumiliki hela
au mali ambazo zinaweza shawishi wezi
hakika huna haja ya kuwa nayo especially TZ!
 
Back
Top Bottom