Mguu wangu wa kuku

masharti yake naona bora nibaki huku.....
avatar40981_3.gif


Hahahahaaaa.. Umenichekesha sana. Uko sahihi sana ingawa kuna wakati hako kajitu kalioko life yangu na ya familia yangu hata ikaripotiwa na vyombo vya habari zamani kidogo. Wakati mwingine kanakuwa na kaumuhimu sana.
 
ivi kama nataka kumiliki mguu wa kuku kibongobongo utaratibu ukoje????
 
hee,better nicmiliki huo mguu wa kuku coz nitaanza na serikali nahasira nayo ww acha tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom