Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 617
napenda nipigie picha tu then niirudishe mshare wangu unanitosha sana so Comrade ivuga nitakuja kuazima nipigie picha risasi utatoa kabisa
napenda nipigie picha tu then niirudishe mshare wangu unanitosha sana so Comrade ivuga nitakuja kuazima nipigie picha risasi utatoa kabisa
Pingu nimezikata Comrade baada ya ukombozi, sasa nahitaji picha nikiwa na mguu wako wa kuku Comradewewe inawezekana ni mtata..mbona una pingu?
Preta ukiwa na M moja tu unavuka vikwazo vyote hivyo unamaliza mambo kimya kimya na baada ya majuma sita unatia ngoma kwapaniumeona eehhh....we Saint Ivuga hebu nieleze mchakato kwanzia mwanzo bana......kupimwa akili najua ni katikati ya mchakato.........
unatumiak kwenye mazoezi ili kuizoea ila sio mambo ya kihalifu
kumbe basi ninakidhi vigezo......
na je kama huyo anayenipima ndio hana akili timamu nitajuaje....? inatakiwa tupimane coz kila mtu ana kichaa chake.....
Mkuu unataka kumuuwa nani tena na hiyo silaha yako? Mkuu. Saint Ivuga Mbona unatutisha namna hiyo?Mwenyekiti wangu Rage anayo kwa nini mimi nisiwe nayo
![]()
Mkuu huku nilipo silaha zinauzwa kam Biskuti tu unazikuta Madukani wewe unachotakiwa uonyeshe Kitambulisho chako unauziwa na Risasi pamoja huku mtu akikukorofisha basi unaweza kumtandika mara moja silaha sio kitu kizuri kuuzwa kama juice.saint ivunga yaani hii kitu sitaki hata kuiona iskie tu rafiki. hiyo inatoa moto arifu na ukipiga kama huna nguvu unaweza kudondoka nayo kwa sababu ya ile firing force yake lol! staki hata kuiona
Mkuu huku nilipo silaha zinauzwa kam Biskuti tu unazikuta Madukani wewe unachotakiwa uonyeshe Kitambulisho chako unauziwa na Risasi pamoja huku mtu akikukorofisha basi unaweza kumtandika mara moja silaha sio kitu kizuri kuuzwa kama juice.
kumbe basi ninakidhi vigezo......
na je kama huyo anayenipima ndio hana akili timamu nitajuaje....? inatakiwa tupimane coz kila mtu ana kichaa chake.....
Mwenyekiti wangu Rage anayo kwa nini mimi nisiwe nayo
![]()
Chamoto aka upaja aka ngoma aka chuma aka ..........
Hiki ndo saizi yako...ukikichoka unapeleka kwa sonaraaisee bobuu...hii kitu ni muhimu sana.....hivi mchakato wake unaanzaje....?
yaani kama hiki hapa.....
View attachment 56035