TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,815
- Thread starter
-
- #41
Swali Zuri Kabisa, Mimi sina Chama, Chama Chochote Kikisimamia Uhuru na Haki, Rais wa Chama Chochote akichaguliwa Kihalali, akaongoza kwa haki, akajali sheria, akasimamia katiba bila kupinda akajali utawala wa sheria na asiwe na hila, Sitajali ni Mmasai au Myamwezi, Mmakonde au Mgogo, Mwislamu au Mkristo Ukawa au CCM Mzawa au Mhindi au Mwarabu, Nitamheshimu nitamuunga Mkono na Nikisema lolote dhidi yake Mungu anilaani. Ila Kinyume na hapo hata Akiwa Baba yangu Mzazi au Kaka yangu baba mmoja baba mmoja, Nitampinga! I hate Injustice with all my Veins, na Injustice hata Ukimfanyia ambaye unadhani anastahili kibinadamu bado ni uovu!Kwani aliyeleta mada ni Mtu wa Chadema?, how do you know that?
Sisi tunatetea haki ya kila mtu bila kujali chama cha muhusika.Wanafiki katika ubora wao
hahaha eti leo wanauchungu na Kinana!!
Hoja kwisha
chezea magu!!
Awamu hii mtakimbia mpaka Vivuli vyenu
Ninachofahamu ni kuwa wengi wanataka kujua ukweli wa uvumi unaoendelea kuwa jamaa flani yuko kizuizini baada ya kutoa kauli tata juu ya mwenye yote, na mwenye yote akamjibu kuwa hapangiwi na mtu kwani fomu alichukua mwenyewe.Hahaaaa....hakika sasa nimeamini hapa Tanzania hakuna vyama vya upinzani.
Watu wote ni wanaCCM na baadhi yao ni wanaCCM bila hata kujijua!
Ndo maana wanajali yanayojiri ndani ya CCM [yawe ya kweli au ya kizushi].
Akitembelewa na kupiga picha na hao waliomtembelea, sioni tatizo.
Akitembelewa na asipige picha na hao waliomtembelea, sioni tatizo.
Asipotembelewa na yeyote yule pia sioni tatizo.
Pia, anaweza akawa keshatembelewa lakini yeye mwenyewe [Kinana] na/au familia yake hawakuona haja ya kutangaza kuwa katembelewa.
Inawezekana wameona maelezo ya H. Polepole yanatosha.
Kwanza masuala ya ugonjwa ni mambo binafsi ya mtu. Ni uamuzi wa mtu kama anataka kuyatangaza au la.
Kwa ufupi, nyie wote mnaoshikia bango hili suala la Kinana hamna hoja yoyote ile ya maana.
Kwani sasa hivi hamuwezi kusema hiyo 'get well soon' hadi muone picha ya/za waliomtembelea?
Si mshaambiwa yupo anapumzika baada ya kupata matibabu. Kigumu kuelewa hapo ni nini?
What is so silly is you and people like you wanting to see photos of well wishers paying him a visit.
That is silly, petty, and downright sophomoric!
Ninachofahamu ni kuwa wengi wanataka kujua ukweli wa uvumi unaoendelea kuwa jamaa flani yuko kizuizini baada ya kutoa kauli tata juu ya mwenye yote, na mwenye yote akamjibu kuwa hapangiwi na mtu kwani fomu alichukua mwenyewe.
So hizi chokochoko zote ni watu kuutaka ukweli.
Unafikiri huyo jamaa haelewi kinachoendelea?Ninachofahamu ni kuwa wengi wanataka kujua ukweli wa uvumi unaoendelea kuwa jamaa flani yuko kizuizini baada ya kutoa kauli tata juu ya mwenye yote, na mwenye yote akamjibu kuwa hapangiwi na mtu kwani fomu alichukua mwenyewe.
So hizi chokochoko zote ni watu kuutaka ukweli.
Mkuu yuko jela ya uraiani kisa kamkosoa ShilawaDU.
Mpaka atubu ,maana atakayemgusa bashite tu atakiona
Bila shaka unaona hapo watu wanachokoza ili kuujua ukweliNdiye amerithi nyumba ya mzee wetu Marehemu Abood Jumbe kule Kigamboni.
Thank you! Huyu Nyani haelewi, jambo ambalo Hata Masokwe wangenielewa Kirahisi oops Labda ni kwa kuwa Masokwe hawana Mikia! I heard that developed species lose their tails so that the need will not arise to grab the tail of the one in the front and follow him blindly!Ninachofahamu ni kuwa wengi wanataka kujua ukweli wa uvumi unaoendelea kuwa jamaa flani yuko kizuizini baada ya kutoa kauli tata juu ya mwenye yote, na mwenye yote akamjibu kuwa hapangiwi na mtu kwani fomu alichukua mwenyewe.
So hizi chokochoko zote ni watu kuutaka ukweli.
Bila shaka unaona hapo watu wanachokoza ili kuujua ukweli
Kwa mujibu wa ITV Kinana atahudhuria msiba wa wanafunzi na walimu wa Lucky Vicent Arusha siku ya kesho j3Pengo akiwa Muhimbili alitembelewa
Akatembelewa Pia Nyumbani Wake
Sumaye naye alitembelewa
Bi Simba alitembelewa
Ndugai alitembelewa hadi nyumbani
Na wengine Wengi, who knows hata Faru Fausta anatembelewa.
sasa huyuMh. Kinana aliyetumwa India Kutibiwa kwa siku 14 na kuoewa likizo baada ya Kurudi, mbona hatuoni akitembelewa na Yeyote hata kama Mh Rais Yule busy, hata Mama Samia! Au hudu Dogo mchonga mdomo Polepole? Au anatembelewa Kisiri kama mtu aliyetupwa Evil Forest kwa Mila za Wayoruba?
Siku hizi unakula marage ya wapi we ngabu... Umekua kama kile kimama kickokonini sijui... Leo ngoja nikwambie hivi... P.. Mbav Nyani NgabuNi upuuzi tu.
Hata Mwamunyange ilikuwa hivihivi....
Siku hizi unakula marage ya wapi we ngabu... Umekua kama kile kimama kickokonini sijui... Leo ngoja nikwambie hivi... P.. Mbav Nyani Ngabu
Sasa Polepole anasema Kinana ni mgonjwa sana amepewa likizo afya imezorota.Kwa mujibu wa ITV Kinana atahudhuria msiba wa wanafunzi na walimu wa Lucky Vicent Arusha siku ya kesho j3
Tayari ITV katika habari ya usiku huu wametangaza kuwa atakuwa Arusha keshoAs long as umeshahoji, kesho utaanza kupata taarifa za huyo bwana kutembelewa, i know the politics of this Tanzania!
Tayari ITV katika habari ya usiku huu wametangaza kuwa atakuwa Arusha kesho
Sawa, Mwamunyange hakuna Mtu aliyesimama na Kusema amemtuma India kwa Matibabu kwa siku 14 as if ni Doktari anayejua matibabu yatahitaji siku ngapiNi upuuzi tu.
Hata Mwamunyange ilikuwa hivihivi....
Unapoteza Muda na Mada ya "Kipuuzi"Mtafurahi mkimwona hiyo kesho?
Utaujuaje ukweli usipohoji?Ni upuuzi tu.
Hata Mwamunyange ilikuwa hivihivi....