bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
I cant wait kumsikia Mgaya anasemaje juu ya madai kwamba
....eti walichosaini ni tofauti na wanachokuja kutuambia (wanatudanganya)
.....eti alimuomba Kapuya atangaze viwango tofauti na makubaliano ya kikao chao
....eti kuna maslahi yake binafsi
abovu all tujue kesho nini hatima ya mpango mzima wa mgomo??
....eti walichosaini ni tofauti na wanachokuja kutuambia (wanatudanganya)
.....eti alimuomba Kapuya atangaze viwango tofauti na makubaliano ya kikao chao
....eti kuna maslahi yake binafsi
abovu all tujue kesho nini hatima ya mpango mzima wa mgomo??