Huu ndo wakati wa kurejesha/kuanzisha upya harakati za kudai maslahi bora,lakini inavyojionyesha ni kwamba wameridhishwa na hiki kiduchu kilichoongezwa kinyemela.Shime wafanyakazi wa Tanganyika simameni kudai haki zenu,wakati ni huu!
Dr. Slaa, Chadema mkipata nafasi ya kuunda serikali, kima cha chini kitaanzia kiasi gani na mtatoa wapi fedha za kulipia hilo?