Hoja hujibiwa kwa hoja na si rejea tu. Any way sio kosa lako.
Rais hana matatizo yoyote madaktari wakigoma. Anayo arsenal kubwa ya silaha kutumia dhidi ya madaktari. Tatizo hapa ni kuamua tu jambo ambalo linaweza kuwa satisfactory for every one.
Na wale it seems they have had the good sense kwenda Ukumbi wa Utamaduni wa Russia. Wangekuwa Arnatouglo hall,Rais angepeleka vifaru kuwazingira.
Kumbuka ile Fukoshima Nuclear disaster ya mwaka jana Japan. Radiation ilikuwa imezidi katika reactor,there was even talk of evacuating Tokyo. Lakini Waziri Mkuu akaamuru wale scientists waingie ndani ya zile reactor to stabilize the situation. Na sasa wale watu wanaitwa the 50 Fukoshima heroes. Waliitikia wito wa Waziri Mku in the Kamikaze tradition of Japan. Hata hivyo Waziri Mkuu wa Japan baadaye ilibidi ajiuzulu.
Muhimu hapa ni kwamba madaktari warudi kazini kwa moyo wa Uzalendo,halafu baadaye Ndugu Rais atoe tamko kuhusu hao Mawaziri,anatak wajiuzulu au vipi.
AISEE KAMA KUNA MIJITU MIJINGA WEWE UNAWEZA KUWA KIONGOZI WAO ETI UNAWEKA NA TUMANENO TWA KINGEREZA KWENYE HUU UJI WA MLENDA ULIOWEKA HAPA STUPIDIFIDY STUPIDITY,UNAFIKIRI KILA MTU ANA MAWAZO YA JIKONI KAMA WEWE??
SISI TUNAFANYA KAZI YA KUWAKOMBOA WATANZANIA NA SIO KUDAI HAKI ZETU SISI,NI MIGOMO MINGAPI IMEWAHI KUITISHWA TOKEA UHURU NA IKAKOSA MAFANIKIO??UMEWAHI KUJIULIZA NI KWA NINI?NI JEURI KIASI GANI WALIYONAYO WANASIASA HASA WATAWALA AMBAPO WANAWEZA KUWAAMURU POLISI WAUE WANANCHI NA POLISI WAKAUA BILA HATA KUCHUKULIWA HATUA
IMEFIKA WAKATI SASA TUKIGOMA WATUSIKILIZE NA HII NI RAI YANGU KWA MADAKTARI WOTE,TUENDELEE NA MGOMO HUU MPAKA KIELEWEKE TUSITISHWE NA AMRI ZA MAHAKAMA NA WANASIASA WASIONA HURUMA NA WATAZNANIA WANAOWAONGOZA
RAI YANGU KWA WALIMU,WANAJESHI,MAPOLISI NA MAKUNDI PEMBEZONI YOTE HUU NI WAKATI WA UKOMBOZI ,RASILIMALI ZETU ZINATUMIKA NA FAMILIA CHACHE ZA KISIASA SIO SAWA HII NI NCHI YETU NA SISI NDIO WATANZANIA,TUNA UCHUNGU NA KWA UCHUNGU HUU TUTAGOMA HATA MWAKA MZIMA
RAI YANGU KWA WATANZANIA WOTE WAPENDA MABADILIKO ,HUUU NI WAKATI WA KUUNGANA NA KUUPINGA UDHALIMU NA UKANDAMIZAJI,TUUNGENI MKONO ILI TULIKOMBOE TAIFA LETU,UKOMBOZI WA NCHI HII UTAANZIA KWETU NA KUSAMBAA KOTE NA HILI NI KWA MANUFAA YA WATANZANIA WA LEO NA KIZAZI KIJACHO
umoja ni nguvu tuunge mkono tuongoze na kuleta mabadiliko ya kweli
I disagree with my friend,
Mnatukomboa wananchi kwa lipi ambalo tunahitaji kukombolewa. Kumbe mgomo wa madaktari mnataka kupindua nchi???? Kama lengo lenu ni hilo siwaungi mkono maana najua kuna nguvu nyuma yenu inawasukuma na hiyo nguvu itawatokea puani kwani mjue urais ni taasisi sasa mkimpindua huyo mtakayemweka hatatawala kwa amani na ndio mwisho amani tunayoimba kila siku Tanzania.
kwa wale msioamini naomba mtembelee muhimbili.habari zinasema huu mgomo wa leo umezidi ule wa kwanza.madaktari wote wamerespond,specialist wanaendelea na kikao.
AISEE KAMA KUNA MIJITU MIJINGA WEWE UNAWEZA KUWA KIONGOZI WAO ETI UNAWEKA NA TUMANENO TWA KINGEREZA KWENYE HUU UJI WA MLENDA ULIOWEKA HAPA STUPIDIFIDY STUPIDITY,UNAFIKIRI KILA MTU ANA MAWAZO YA JIKONI KAMA WEWE??
SISI TUNAFANYA KAZI YA KUWAKOMBOA WATANZANIA NA SIO KUDAI HAKI ZETU SISI,NI MIGOMO MINGAPI IMEWAHI KUITISHWA TOKEA UHURU NA IKAKOSA MAFANIKIO??UMEWAHI KUJIULIZA NI KWA NINI?NI JEURI KIASI GANI WALIYONAYO WANASIASA HASA WATAWALA AMBAPO WANAWEZA KUWAAMURU POLISI WAUE WANANCHI NA POLISI WAKAUA BILA HATA KUCHUKULIWA HATUA
IMEFIKA WAKATI SASA TUKIGOMA WATUSIKILIZE NA HII NI RAI YANGU KWA MADAKTARI WOTE,TUENDELEE NA MGOMO HUU MPAKA KIELEWEKE TUSITISHWE NA AMRI ZA MAHAKAMA NA WANASIASA WASIONA HURUMA NA WATAZNANIA WANAOWAONGOZA
RAI YANGU KWA WALIMU,WANAJESHI,MAPOLISI NA MAKUNDI PEMBEZONI YOTE HUU NI WAKATI WA UKOMBOZI ,RASILIMALI ZETU ZINATUMIKA NA FAMILIA CHACHE ZA KISIASA SIO SAWA HII NI NCHI YETU NA SISI NDIO WATANZANIA,TUNA UCHUNGU NA KWA UCHUNGU HUU TUTAGOMA HATA MWAKA MZIMA
RAI YANGU KWA WATANZANIA WOTE WAPENDA MABADILIKO ,HUUU NI WAKATI WA KUUNGANA NA KUUPINGA UDHALIMU NA UKANDAMIZAJI,TUUNGENI MKONO ILI TULIKOMBOE TAIFA LETU,UKOMBOZI WA NCHI HII UTAANZIA KWETU NA KUSAMBAA KOTE NA HILI NI KWA MANUFAA YA WATANZANIA WA LEO NA KIZAZI KIJACHO
umoja ni nguvu tuunge mkono tuongoze na kuleta mabadiliko ya kweli
vifaa,mazingira yakiwekwa mazuri huku wakwamishaji wakiondolea
Mkuu wangu hizi stori za vijiweni usituletee hapa. Hakuna watoto wachanga hapa! Hakuna mtawala/kiongozi ktk dunia ya leo anaweza wazunguka madaktari na vifaru! Hakuna. Hizi ni akili viwango vya kata kama anavyosema mkuu Ritz!Rais hana matatizo yoyote madaktari wakigoma. Anayo arsenal kubwa ya silaha kutumia dhidi ya madaktari. Tatizo hapa ni kuamua tu jambo ambalo linaweza kuwa satisfactory for every one.
Na wale it seems they have had the good sense kwenda Ukumbi wa Utamaduni wa Russia. Wangekuwa Arnatouglo hall,Rais angepeleka vifaru kuwazingira.
Kumbuka ile Fukoshima Nuclear disaster ya mwaka jana Japan. Radiation ilikuwa imezidi katika reactor,there was even talk of evacuating Tokyo. Lakini Waziri Mkuu akaamuru wale scientists waingie ndani ya zile reactor to stabilize the situation. Na sasa wale watu wanaitwa the 50 Fukoshima heroes. Waliitikia wito wa Waziri Mku in the Kamikaze tradition of Japan. Hata hivyo Waziri Mkuu wa Japan baadaye ilibidi ajiuzulu.
Muhimu hapa ni kwamba madaktari warudi kazini kwa moyo wa Uzalendo,halafu baadaye Ndugu Rais atoe tamko kuhusu hao Mawaziri,anatak wajiuzulu au vipi.
Kama hutaki kurudi meza ya mazungumzo hadi waziri ajiuzulu, ina maana unataka mazungumzo bila waziri (common sense ni kwamba waziri hafanyi maamuzi binafsi, kuna kanuni, taratibu na maelezo mengine ambayo inabidi ayafuate wakati anafanya kazi- na hii inaaply kwa mfanyakazi mwingine yeyote). Kwa hiyo basi, Waziri akijiuzulu, au akaondolewa kwenye nafasi hiyo na Rais, basi lazima hiyo nafasi izibwe na waziri mwingine - ambaye atafanya kazi kwa kanuni, taratibu, sheria na maelekezo yale yale ambayo waziri msiyemtaka amekuwa akifanya kazi kwayo. Kumkataa waziri sio suluhisho la matatizo yeni, na hilo mnalijua fika.
Impliation ya madai ya kuondolewa waziri ili mkae meza ya mazungumzo ni kuwa hamtaki kuongozwa, mnataka mjiongoze ili mhakikishe mnapata vifaa, mazingira, posho, mishahara na stahiki zenu kadri mnavyopenda na mnavyoona inawasuit. Ingekuwa vinginevyo mngerudi meza ya mazungumzo (unless matakwa yenu mnayalazimisha kama vile sekta ya afya ndo muhimu kuliko sekta ya elimu, maji, kilimo nk ambao mnadhani wao hawana matakwa kama mliyonayo).
Wananchi malimbukeni kama mimi tunaona haina haja ya kuwa na madaktari wanaotaka kuua kwa maslahi yao binafsi badala ya kufa wao kwa ajili ya maslahi ya wengi. Mnastahili kuwajibishwa na nadhani mwenye mamlaka anachelewa sana kuwawajibisha.
Mkuu Riwa......siku zote naheshimu sana maandiko yako........are you really serious.........hebu chukua mawazo yako hayo yaweke katika picha iliyo kubwa kidogo......toka nje ya madaktari kidogo...........please
Labda hapo ndio kwenye tatizo na watu tunaojiita 'Great Thinkers' tunabaki tukibishana kwa siku kadhaa juu ya kitu ambacho kiko straight forward....pande zote hapa zinajitahidi kuwa selfish...si madaktari, si serikali, si wananchi/wagonjwa...tunatofautiana degree na lengo la ya u-selfish tu!
Sisi kama madaktari, bila kuwa selfish serikali haitaboresha maslahi yetu na utoaji huduma bora katika hospitali za umma, kwa sababu serikali ni selfish kushinda hata sisi, lakini uselfish wa maDaktari una component ya kuboresha utoaji wa huduma bora za afya kwa jamii!
Serikali nayo ni selfish, lakini u-selfish wake haumsaidii Daktari wala mwananchi! Wananchi nao kwa upande wao ni selfish, wanajali afya zao tu, bila kujali madai ya msingi ya maDaktari wala serikali inafanya nini kuyatatua.
Sasa huu u-selfish wa pande zote ndio utakaodetermine urefu wa huu mgomo...serikali ikiamua kutokuwa selfish huu mgomo unaisha in a day...maDaktari wakiamua wasiwe selfish, huu mgomo unaisha in a day, lakini utaendelezwa na mgomo-baridi kutokana na frustration kitu ambach si kizuri kwa wagonjwa, na pia idadi kubwa ya maDaktari watakatishwa tamaa na kufanya kazi hospitalini au nchini, hivyo tutawapoteza...wananchi hawawezi acha kuwa selfish kwani kila mtu lazima ajali afya yake kwanza, lakini wanaweza kuutumia u-selfish wao kuishinikiza serikali kutatua huu mgogoro haraka, sababu wakiwaacha maDaktari wawe watatuzi wa huu mgogoro bado wananchi watatathirika na mgomo-baridi au kuondokewa na idadi kubwa ya maDaktari tabibu!
Siku mgomo wa kwanza ulipoisha maDkatari wakati wanatoa kauli ya kurudi kazini waliweka wazi kinachofuata...waliweka wazi kuwa watendaji waliobaki wa Wizara ya Afya (Waziri na Naibu wake) wajiuzulu au kutimuliwa, jukumu ambalo WM Pinda alimtwisha Rais...Madaktari waliweka wazi kuwa tarehe 3 march watakutana kujadili progress ya mchakato utakaojumuisha madai yaliyokuwa pending. Tarehe 3 March maDaktari walikutana na wakatoa tamko kuwa wanaelewa kuwa serikali iko katika mchakato wa kuangalia jinsi ya kuboresha maslahi ya watunishi wa afya na mazingira ya kazi, ila kuna jambo ambalo halihitaji mchakato....Mawaziri kujiuzulu! Na walitoa tamko nini kitakachofuatia iwapo hawatajiuzulu!
Badala yake Mawaziri hawakujiuzulu na serikali kutangaza ubabe na kuwakingia kifua....NANI ANATAKA SIFA HAPO?
Let me tell you...with or without public support, we reached the point of no return! Kurudi kazini ni iwapo tu Mawaziri watajiuzulu kupisha watu wengine tutakaowaamini kuwa wana nia ya dhati ya kuboresha maslahi na ubora wa huduma za afya, then tutarudi mezani...hata kama will take years, atleast tuwe kwenye mchakato na watu tunaojiaminisha wana nia ya dhati!
Tatizo letu ni mnapogoma 'eti kwa vile waziri na naibu wake hawajajiuzulu' .... mtarudi mezani baada ya waziri na naibu mpya kuteuliwa au mnataka hiyo wizara muindendeshe wenyewe?
Kiasi cha kusema with or without public support mko kwenye point of no return, ni kiburi, jeuri ukatili na uasaliti kwa wananchi. We better live without dr than kuwa na madrs wa kaliba yenu, wauaji.
JK alipokutana na viongozi wa madaktari leo ikulu.....
MICHUZI: JK AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA MADAKTARI IKULU LEO
anewei ngoja tusikie tamko baada ya kuonana na jk......Safi sana,hao ndio madoctor wetu bana,siyo Pinda msema ovyo!
Hii kali, itabidi lile tangazo lakukataza mabango ya waganga wakienyeji libadolishwe wakati huu ili tuende kwao tukapate matibabu hadi Kaka NAZI atakapomalizana na hawa madaktari .Jana nilikwambia kuwa safari hii mtakoma....mgomo uko pale pale
Umenena haswa.Kondolewa -siyo kusimamishwa -kwa Mponda na Nkya ndio jambo la kwanza la kufanya madaktari warudi kazini. Siyo ahadi au "mchakato".