Mgomo wa madaktari na kiburi cha watawala wetu, nani anaumia?

Tools down from now, nipo call ngoja nipande gari noiende zangu home nikamkumbatie honey wangu vizuri. Haya ya hapa hospital Pinda kashasema amjipanga vema, nafikri atareplace tu nafasi yangu, Good night Jf members
 
ANGALIZO
Ubovu wa serikali usitufanye wajinga kiasi kwamba tuanze kuchekelea watu fulani waanze kuweka afya zetu rehani kupata wanacho kitaka kwasbabu tu wanadhani wao ni watu muhimu kuliko wengine.

Kitendo cha kuanza kuingilia mambo ya siasa na kuweka kando kwanza madai yao ya msingi hakina mantiki kwa wagonjwa wetu watakao poteza maisha eti kwasababu tu watu walio na dhamana ya kuwashughulikia wamegoma kwakuwa rais hajamfukuza kazi waziri na naibu wake, what a shame......
UPUMBAVU MWINGINE HAUVUMILIKI JAMANI, TUAMKE
Wewe! Mpumbavu nani kati ya serikali na Madaktari? Usituuzie chai! Hawa wamewazoea walimu wetu sasa wamekutana na Mainginia wa afya zao na zetu!
 
Madaktari wataojidai kugoma ndio watujuwa Watanzania kuwa hatutaki kuchezewa, tunaenda kuwashughulikia wao kwanza, halafu Serikali itutafutie madaktari kutoka India ituletee, wamejaa tele ni kiasi cha kukodisha ndege 5 zinajazwa madaktari wanakuja.

Within 24 hours huduma bora kuliko za hawa wajivuni.
Wewe ndio kuku kweli!
 
Sasa Mkuu Paulss tumuamkie nani???

Sawa unayoyasema ni kweli, ila ngumu sana kukaa upande wa serikali hasa serikali yenyewe hii...
Mkuu nimependa sana hawa wakuu walivyo comment hapa chini

This is a lose-lose situation: the ruling part and its govt lose, the innocent Tanzanians lose, and unfortunately the doctors lose too! We all lose in one way or another.....sikio la kufa....... God Almighty, utuepushe na hili balaaaaaaaa...


Mkuu niko nawe. I Seriously hate this corrupt and weak gvrnmt that can never be serious for anything, but when it comes to this issue we soon gonna hit the world's record, believe me! Kama ningepewa mandate I would execute both of the parties!

KATIKA ORODHA YA KUNYONGWA NINGEANZA NA MADAKTARI THEN SERIKALI YA MKULU WITHOUT POUSE!
BOTH OF THE TWO ARE GOOD FOR NOTHING!
Imefikia kipindi watu wanadhani DRs wakigoma wanamkomoa JK na serikali yake, hapana watakufa watoto wangu, mke wangu ndugu zangu nk eti kwasababu JK hajamtoa waziri na naibu wake.
Nakubaliana na baadhi ya madai yao ya msingi lakini kuweka kigezo cha kumuondoa waziri ndio msingi mkuu ni kucheza na afya zetu mkuu,
Mawaziri vilaza ni almost wote tu, sasa kwavile hamkuelewana nae ndio watu wafe, siasa ina mambo yake na si rahisi kama DRs wanavyotaka iwe, toa huyu unatoa tu, NOPE
Wa stick kwenye madai yao ya msingi nitasapoti
 
Mawazo mgando sana. Kwani watu wawili waziri na naibu wake wakiachia ngazi tatizo liko wapi? Waambie wao ndio waamke na waache upu.** madaktari hawawataki. Kwa ufupi hawatakiwi na majority ktk wizara ile
Mkuu jiulize pia wasipo achia ngazi tatizo liko wapi? maana matatizo yapo pale pale
Si tetei serikali kamwe lakini pia sikubaliani na DRs kutumia dhamana ya afya zetu kama silaha ya madai yao tena kwa ku command vitu vsivyo na msingi


Wewe! Mpumbavu nani kati ya serikali na Madaktari? Usituuzie chai! Hawa wamewazoea walimu wetu sasa wamekutana na Mainginia wa afya zao na zetu!
Mkuu wote ni wapumbavu tu mkuu,msome huyu mkuu hapa chini
Mkuu niko nawe. I Seriously hate this corrupt and weak gvrnmt that can never be serious for anything, but when it comes to this issue we soon gonna hit the world's record, believe me! Kama ningepewa mandate I would execute both of the parties!

KATIKA ORODHA YA KUNYONGWA NINGEANZA NA MADAKTARI THEN SERIKALI YA MKULU WITHOUT POUSE!
BOTH OF THE TWO ARE GOOD FOR NOTHING!
 
Mkuu tatizo la madaktari ni tone la matatizo yote! Lakini kupitia madaktari tunaweza kupata ukombozi wa kifikra kwa viongozi wa zama hizi!
 
Madaktari wataojidai kugoma ndio watujuwa Watanzania kuwa hatutaki kuchezewa, tunaenda kuwashughulikia wao kwanza, halafu Serikali itutafutie madaktari kutoka India ituletee, wamejaa tele ni kiasi cha kukodisha ndege 5 zinajazwa madaktari wanakuja.

Within 24 hours huduma bora kuliko za hawa wajivuni.

wewe kweli 5s ribosome na sio 28s. Hivi unafikiri rahisi kiasi hicho. ukiuliza hazina utaambiwa kuna elfu 10 tu. Ni suala la kuomba Mungu atuepushie mgomo huu.
 
Mtanisamehe wana JF, ila kwa mawazo hawa madaktari wanajaribu tu kuwa difficult bila sababu yeyote ya msingi. Hivi toka wamekubaliana kuingia kwenye meza ya majadiliano na Serikali hao Haji Mponda na Lucy Nkya wameongea kitu gani ambacho kimekua kikwazo kwenye majadiliano yao. Wanachotafuta hao madaktari ni sifa tu ili waonekane wamewaondoa Mawaziri.

Serikali lazima iwe makini kwenye hili na isifanye maamuzi kwa vile tu kundi fulani linataka waziri fulani aondolewe. Kama Mponda na Nkya wataondelewa madarakani kwa vile tu Madaktari wanataka hivyo, then JK ajiandae kwasababu na yeye atakua njiani kuondolewa kwa style hiyo hiyo. Itakuaje leo Walimu nao waseme Waziri wa elimu aondolewe kwa vile wamecheleweshewa kulipwa marupu rupu yao? Itakuaje na mapolisi nao wakitaka waziri wa mambo ya ndani aondolewe kwa vile mishahara yao ni midogo, itakuaje.......

Nchi haiendeshwi hivyo na kuna vyeo serikalini ambavyo unaweza kucheza navyo na kushurutishwa mtu aondolewe madarakani, lakini sio kwenye uwaziri au urais. Hao madaktari kama kweli wanania ya kutatua matatizo yao waendeleze majadiliano na serikali bila kuweka masharti ambayo hayana dira. Tatizo la malipo duni kwa Tanzania sio la Mawaziri wa afya tu, ni la mfumo mzima wa nchi. Inasikitisha sana kuona madaktari wanataka kutumia taaluma zao ambazo ni za muhimu kwa maisha ya binadamu, kuwanyanyasa wananchi wasio na Hatia.
 
Mtanisamehe wana JF, ila kwa mawazo hawa madaktari wanajaribu tu kuwa difficult bila sababu yeyote ya msingi. Hivi toka wamekubaliana kuingia kwenye meza ya majadiliano na Serikali hao Haji Mponda na Lucy Nkya wameongea kitu gani ambacho kimekua kikwazo kwenye majadiliano yao. Wanachotafuta hao madaktari ni sifa tu ili waonekane wamewaondoa Mawaziri.

Serikali lazima iwe makini kwenye hili na isifanye maamuzi kwa vile tu kundi fulani linataka waziri fulani aondolewe. Kama Mponda na Nkya wataondelewa madarakani kwa vile tu Madaktari wanataka hivyo, then JK ajiandae kwasababu na yeye atakua njiani kuondolewa kwa style hiyo hiyo. Itakuaje leo Walimu nao waseme Waziri wa elimu aondolewe kwa vile wamecheleweshewa kulipwa marupu rupu yao? Itakuaje na mapolisi nao wakitaka waziri wa mambo ya ndani aondolewe kwa vile mishahara yao ni midogo, itakuaje.......

Nchi haiendeshwi hivyo na kuna vyeo serikalini ambavyo unaweza kucheza navyo na kushurutishwa mtu aondolewe madarakani, lakini sio kwenye uwaziri au urais. Hao madaktari kama kweli wanania ya kutatua matatizo yao waendeleze majadiliano na serikali bila kuweka masharti ambayo hayana dira. Tatizo la malipo duni kwa Tanzania sio la Mawaziri wa afya tu, ni la mfumo mzima wa nchi. Inasikitisha sana kuona madaktari wanataka kutumia taaluma zao ambazo ni za muhimu kwa maisha ya binadamu, kuwanyanyasa wananchi wasio na Hatia.
 
Madaktari wataojidai kugoma ndio watujuwa Watanzania kuwa hatutaki kuchezewa, tunaenda kuwashughulikia wao kwanza, halafu Serikali itutafutie madaktari kutoka India ituletee, wamejaa tele ni kiasi cha kukodisha ndege 5 zinajazwa madaktari wanakuja.

Within 24 hours huduma bora kuliko za hawa wajivuni.

madaktari watoke India?:lol:
u must b a fool
 
Imezoeleka kwamba kila challenge inayoenda kwa serikali wanasema siasa imo ndani yake.CHADEMA wamekuwa wahanga na watuhumiwa namba moja katika hili.Serikali na CCM yake wanakimbia matatizo kwa ku justify kwamba ni uchochezi wa siasa za wapinzani.Serikali imekuwa na watu wavivu wasiooweza kutafakari Subject Matter ya Challenge(Kwa sasa mgomo wa madaktari)-Pinda alikaa na madaktari wakakubaliana na kuweka timeline ya utekelezaji,Serikali haijatekeleza according to timeline.Madaktari wana haki ya kusimamia msimamo wao kadri ya makubaliano ya awali.WATANZANIA,Ili kuwa na mabaduiliko ya kweli kuna gharama,kuna gharama kubwa na hata watu kupoteza maisha ili kuwa na ukombozi wa kweli,kwa woga wetu watanzania hatutaweza kwenda mbele,hatutaweza kusimamia serikali zaidi hatutaweza kusimamia rasilimali zetu.

Tunakubaliana kwamba serikali imeoza,NANI ATUTETEE? Sio wakati wa kuwalaumu madaktari,jiulize umefanya nini wewe binafsi kama unakereka na serikali hii.Tuwe watu wa kuthubutu na kuchukua hatua,tuwe watu wa kusimamia tunayoyaamua,tuwe watu wa kutetea tunachoamini,tuwe watu wa kutetea haki zetu.THIS IS THE TIME,TOMORROW WILL NEVER COME.
 
In principle nakubaliana na madai ya madaktari juu ya maslahi yao.
Hata hivyo wamejiingiza katika mtego wa kisiasa, kwa kutaka kushinikiza kujiuzulu wanasiasa.
Thats dangerous.
Mwanasiasa anaishi kwa kupiga domo, na juhudi zozote za kumuondoa kwa domo ni lazima zitapata upinzani mkubwa sana.
Mbaya zaidi ni precedence ambayo madaktari wanataka kuiweka.
Nawashauri waachane na wanasiasa na waendelee kudai maslahi yao.

hayo madai yao wayadai kutoka kwa mapadiri/wachungaji au mashehe?
 
Kuwaita wanaodai stahiki zao WAPUMBAVU is not so high either - with due respect!!!!
Naaam sasa umekuja kujadili...............Mind that MPUMBAVU sio tusi ni sifa ya mtu,
Stahiki inakwenda na wajibu,
Nakubaliana na madai yao ya msingi ya awali, na natambua serikali ilifanya uzembe kama kawaida yake
Lakini sikubaliani pia na utaratibu wa kuweka rehani afya yangu, ya yule, na yako kwa stahiki zisizo na msingi mkuu

Sasa kwakuwa serikali imefanya upumbavu na DRs nao wafanye upumbavu kwa kigezo cha "wakifa watu tusilaumiane"
Hata imani yangu inakataa eti watu wafe kwasabubu JK hajamfukuza waziri na naibu wake, sheria yenyewe haimbani JK kufanya hivo, wao waangalie madai yao ya awali na waachane na mambo ya siasa vinginevyo nawao watakuwa wapumbavu kama serikali yenyewe
 
Hawa madaktari wapuuzi na wanajiona wao ni watu muhimu nchini waache wagoma bibi zao, mama zao, dada zao, kaka zao ndio watakiona cha moto. Nilishawahi kusema nyuma siwaungi mkono na sitawaunga mkono na madai yao yaliochochewa na hulka za ufisadi na tamaa.

Serikali ijitoe kuwalipa mishahara isipokuwa mainterns waende wakajiajiri kama walivyo madaktari nchi za magharibi huko watakutana na joto la jiwe na jinsi gani maisha yalivyo. Mheshimiwa Pinda kwa hili nakuunga mkono asilimia 100%%% hawana tofauti na wabunge wanaojilipa 200,000 kila kikao ni ufisadi tu.
 
Mtanisamehe wana JF, ila kwa mawazo hawa madaktari wanajaribu tu kuwa difficult bila sababu yeyote ya msingi. Hivi toka wamekubaliana kuingia kwenye meza ya majadiliano na Serikali hao Haji Mponda na Lucy Nkya wameongea kitu gani ambacho kimekua kikwazo kwenye majadiliano yao. Wanachotafuta hao madaktari ni sifa tu ili waonekane wamewaondoa Mawaziri.

Serikali lazima iwe makini kwenye hili na isifanye maamuzi kwa vile tu kundi fulani linataka waziri fulani aondolewe. Kama Mponda na Nkya wataondelewa madarakani kwa vile tu Madaktari wanataka hivyo, then JK ajiandae kwasababu na yeye atakua njiani kuondolewa kwa style hiyo hiyo. Itakuaje leo Walimu nao waseme Waziri wa elimu aondolewe kwa vile wamecheleweshewa kulipwa marupu rupu yao? Itakuaje na mapolisi nao wakitaka waziri wa mambo ya ndani aondolewe kwa vile mishahara yao ni midogo, itakuaje.......

Nchi haiendeshwi hivyo na kuna vyeo serikalini ambavyo unaweza kucheza navyo na kushurutishwa mtu aondolewe madarakani, lakini sio kwenye uwaziri au urais. Hao madaktari kama kweli wanania ya kutatua matatizo yao waendeleze majadiliano na serikali bila kuweka masharti ambayo hayana dira. Tatizo la malipo duni kwa Tanzania sio la Mawaziri wa afya tu, ni la mfumo mzima wa nchi. Inasikitisha sana kuona madaktari wanataka kutumia taaluma zao ambazo ni za muhimu kwa maisha ya binadamu, kuwanyanyasa wananchi wasio na Hatia.

ndugu una akili timamu kweli wewe? Usiniambie hata mafisadi wanaoendelea kupeta ktk ofisi za serikali hao pia unaona uwepo wao bado ni sawia kabisa! Duuuuuuu, duniani kuna vitimbi kweli, yaani mtu kashindwa kazi unataka nchi iendelee kuingia hasara kwa kuendelea kumkumbatia mhusika. Nna wasiwasi kama una even little brain to help you in thinking critically.
 
Tuseme kuwa WAPUMBAVU hao wameshakubaliana na sasa mgomo umeshaanza.

Wewe kama wewe utawafanya nini hao Wapumbavu? Na wewe UTAGOMA? Maana unadai HUKUBALI maisha yako kuyaweka rehani. Nina imani watu kama wewe mkuu, unaweza kuwa hata Tanzania haupo. Na kama upo, basi watibiwa India.

Kwa zile picha tuliona pale Muhimbili, kuna tofauti gani ya hawa Wapumbavu kufanya kazi au wasifanye?

Mwisho, kama ni Wapumbavu, na wewe unapeleka mwili wako ukatibiwe na Wapumbavu ......... Opppss!!!!
Naaam sasa umekuja kujadili...............Mind that MPUMBAVU sio tusi ni sifa ya mtu,
Stahiki inakwenda na wajibu,
Nakubaliana na madai yao ya msingi ya awali, na natambua serikali ilifanya uzembe kama kawaida yake
Lakini sikubaliani pia na utaratibu wa kuweka rehani afya yangu, ya yule, na yako kwa stahiki zisizo na msingi mkuu

Sasa kwakuwa serikali imefanya upumbavu na DRs nao wafanye upumbavu kwa kigezo cha "wakifa watu tusilaumiane"
Hata imani yangu inakataa eti watu wafe kwasabubu JK hajamfukuza waziri na naibu wake, sheria yenyewe haimbani JK kufanya hivo, wao waangalie madai yao ya awali na waachane na mambo ya siasa vinginevyo nawao watakuwa wapumbavu kama serikali yenyewe
 
Back
Top Bottom