Mgomo wa madaktari: Huu ni ugaidi

Kungekuwa kuna madaktari wa maana watu wangeenda India?

Ishu sio udaktari wa maana ishu ni miundombinu inayozunguka sekta nzima ya afya na utabibu, Daktari huyo huyo wa muhimbili ukimpeleka India atatibu wagonjwa wanaotoka Tanzania kama hao wa India! Waambie serikali yako waboreshe miundo mbinu mahospitalini sio kuongea utumbo tu kwa usichokijua
 
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.

Nawasilisha.

Look here wewe na wenzako, UKWELI utabaki kuwa UKWELI. Na ukweli ndio huu: SERIKALI MNAYOITUMIKIA NDIYO ILIYO-MESS UP, you are wasting your time kujaribu ku-justify incompetence ya serikali/waliowatuma na kuwalaumu victims. Simply that strategy will no longer work as this is not 1980 or even 2000. If I were you ningerudi kumwambia kikwete ukweli na hali halisi from the ground level perception NA SIO KUMWAMBIA ANACHOPENDA KUSIKIA.

Madaktari wana HAKI ya kugoma, kwa kuwa serikali hii mbovu inashindwa kutatua matatizo yaliyopo ikitegemea yatajitatua yenyewe. Iteni ni ugaidi, mkono wa siasa au vyovyote vile, ila hiyo haitabadilisha ukweli kuwa kuna tatizo na linahitaji kutatuliwa. Mtaanzisha threads humu hata milioni kumi, lakini msahau kuwa wanachi wa kawaida watabadilishwa mtazamo.

GET USED TO THIS FACT THAT TIMES HAVE CHANGED FOREVER! Watanzania walio wengi wameamua kuwa wao si kondoo tena they demand and deserve to be respected- na idadi ya watu wa aina hii inaongezeka kila kukicha. Better go and tell those who are mis-using the trust that they were given this simple and self-evident fact!
 
Look here wewe na wenzako, UKWELI utabaki kuwa UKWELI. Na ukweli ndio huu: SERIKALI MNAYOITUMIKIA NDIYO ILIYO-MESS UP, you are wasting your time kujaribu ku-justify incompetence ya serikali/waliowatuma na kuwalaumu victims. Simply that strategy will no longer work as this is not 1980 or even 2000. If I were you ningerudi kumwambia kikwete ukweli na hali halisi from the ground level perception NA SIO KUMWAMBIA ANACHOPENDA KUSIKIA.

Madaktari wana HAKI ya kugoma, kwa kuwa serikali hii mbovu inashindwa kutatua matatizo yaliyopo ikitegemea yatajitatua yenyewe. Iteni ni ugaidi, mkono wa siasa au vyovyote vile, ila hiyo haitabadilisha ukweli kuwa kuna tatizo na linahitaji kutatuliwa. Mtaanzisha threads humu hata milioni kumi, lakini msahau kuwa wanachi wa kawaida watabadilishwa mtazamo.

GET USED TO THIS FACT THAT TIMES HAVE CHANGED FOREVER! Watanzania walio wengi wameamua kuwa wao si kondoo tena they demand and deserve to be respected- na idadi ya watu wa aina hii inaongezeka kila kukicha. Better go and tell those who are mis-using the trust that they were given this simple and self-evident fact!
Kumbe ni SERIKALI ndio iliyo-MESS UP! Wagonjwa wanyonge wa NCHI hii wanaadhibiwa kwa nini? Haki ya kugoma ya maDaktari kwa sababu ya waziri aachie ngazi? Wale maDaktari waliopasua vichwa badala ya miguu au wale wanaochoropoa vimimba vya wanafunzi walifanywaje vile?
 
Kumbe ni SERIKALI ndio iliyo-MESS UP! Wagonjwa wanyonge wa NCHI hii wanaadhibiwa kwa nini? Haki ya kugoma ya maDaktari kwa sababu ya waziri aachie ngazi? Wale maDaktari waliopasua vichwa badala ya miguu au wale wanaochoropoa vimimba vya wanafunzi walifanywaje vile?

Majibu ya "swali" lako yamejibiwa hata kabla "hujauliza". I know you are trying to preserve your buttered bread, but it won't work here or out there. The fact is WATAGOMA and you (usalama wa taifa, magamba and all the rest) can't do anything about it apart from doing the rational thing. And the rational and only option is to tackle the issue competently. Period!
 
Sikulaumu sana kwa mawazo yako ila napenda uelewe tu kuwa hakuna maendeleo bila mapambano tena si ya vitabuni bali ni yenye kutoa jasho na mpaka damu kwa maana ya vifo.
Unadhani haki inatafutwa kwa njia ya amani?Niambie ni wapi ambapo uliona kuna haki na watu hawakufa wakati wa kuipigania?
Kma ni ugaidi basi nadhani tunaanza kuupotosha na kupoteza maana halisi ya neno lenyewe.

Tatizo hapa (UGAIDI) ni kupoteza maisha ya watu wasio na hatia!! Mapungufu yaliyopo ya madawa, vitanda, vifaa tiba na hata hospitali zenyewe kuacha mbali upungufu wa madaktari na kadhalika yanajulikana, kwa matatizo haya tunatakiwa tupiganie namna ya kupunguza vifo sio kuamua kuongeza vifo zaidi kwa makusudi.
 
MaDaktari wetu watakuwa kwenye list hiyo milele kama watagoma tena kesho. Ziko namna nyingi na bora zaidi za kuhanikiza mabadiliko bila ya kuathiri mojakwamoja wasiokuwemo na wanyonge kabisa. Udaktari ni moja ya TAALUMA zinzolipa sana NCHI hii.

wewe unajuawa wanalipwa kiazi gani watu wa TRA,BOT,TANAPA,etc wewe unaufinyu wa mawazo.
 
RAIS GAIDI: HAKIYAMUNGU NAAPA SIWAJUI RICHMOND
PM GAIDI(aliyetimuliwa na bunge); muheshimiwa kila hatua ya kujirichmond nilikujulisha
NGELEJA GAIDI; hakyamungu naapa ikifika december mgao utakuwa historia
SPIKA GAUCHO GAIDI; jamani wabunge ni maskini sana, maisha ya dodoma magumu inatakiwa tupewe vilaki viwili kwa siku! supu 30,000, lunch 50,000, dinner 50,000 malazi 70,000 si mnaona?
PM GAIDI; rais ameruhusu posho
RAIS GAIDI; sijaruhusu nimesema mtumie busara (ovyoooo!)
SPIKA GAIDI; nusu ya wabunge wanataka kujiuzulu!
EPA GAIDI; tuligawana vibilioni 133 maana havikuwa na mwenyewe
RADA GAIDI; bilioni si vijisenti tu?
POLISI GAIDI: arusha tuliua watatu, songea wanne eti wanapinga kuuliwa viwatu vyao 9! mpango wetu na intelijensia yetu, ukichanganaya wale tunaowasingizia majambazi na kale kasumu kapya kanakoshambulia mifupa na kumfanya mtu zeruzeru ni kuua viwatu 100 tu ili utawala wa sheria uheshimike tehetehetehe
MADAKTARI; jamani 10,000 kwa siku haitutoshi
SERIKALI GAIDI;pumbaaafu! naona unataka kuwa kama baba yako

serikali na madaktari nani gaidi?
 
Wanachotaka kurudia kukifanya maDaktari wetu ni zaidi ya UGAIDI. Waliona madhara yaliwakumba akina nani wakati wa mgomo wao ule wa kwanza. Viongozi wakubwa serikalini hawakuumizwa na mgomo ule. Wao madaktari hawakuumizwa na mgomo ule. Wanataka kuurudia tena mgomo ule sio kwa sababu za KITAALUMA au KIMASLAHI kwao wala kwa TAIFA hili bali KISIASA kabisa! Wanatofauti gani na akina Osama waoelekeza mabomu kwa wasio na hatia tena kwa kutumia jina la Mungu?
ooh God why was i born a tanzanian?Hivi hawa watu wenye comment kama hizi ni kwamba uwezo wao wa kufikiri umeishia hapo? au hawafuatilii mambo wanaishia kudandia tu vitu wasivyovijua?au ndo beneficiaries wa mfumo uliopo?au wametumwa?duh watz wengine bana!
 
Kumbe ni SERIKALI ndio iliyo-MESS UP! Wagonjwa wanyonge wa NCHI hii wanaadhibiwa kwa nini? Haki ya kugoma ya maDaktari kwa sababu ya waziri aachie ngazi? Wale maDaktari waliopasua vichwa badala ya miguu au wale wanaochoropoa vimimba vya wanafunzi walifanywaje vile?
mkuu vipi? nadhani kama ungetoka ndani ya box ungeona ni serikali ndiyo inayoadhibu na kuua wananchi wake kwa kushindwa kuboresha karibu mambo yote yanayohusu huduma za afya tanzania...na ukiangalia vizuri utaona vifo vingi sana vya kizembe vimetokea na vinaendelea kutokea siyo kwa sababu madaktari hawajui kazi zao bali ni kwa ukosefu wa vifaa/dawa tena vingine vya bei rahisi tu...mambo ya kuchoropoa mimba nadhani ni bora ungerudi chanzo chake...!
 
Daktari wale wana vifaa vyote vya operation ikiwemo mikasi na hizo ni miongoni mwa silaha za magaidi so wasipovitumia kuwaponya wagonjwa si utani ni magaidi hawa.
Ugaidi wa Serikali ni nini hapo sasa? Kutomuajibisha Waziri eti kwa sababu BISIMBA na NAMALA wanachuki binafdsi naye? haina maana yoyote.

Kama kweli ni chuki binafsi za Bisimba na Namala dhidi ya Mponda hakuna cha kuhofia maana atagoma Namala peke yake!!Hofu yako ni nini?
 
Km madaktari wanatambua kuwa wanapogoma wanaoathirika ni wananchi walalahoi wasio na mbele wala nyuma, na kama wanafahamu kuwa viongozi wa serikali ambao ndio mahasimu wao wana uwezo wa kutibiwa nje ya nchi ama hospitali binafsi wao na familia zaom Basi ni dhahiri kuwa madaktari wanaogoma wanalenga kumkomoa mlalahoi ambaye hana uwezo, na kwa hiyo ni adui wa walalahoi na ni zaidi ya magaidi! Itafika mahali wanaweza kusakwa kama panzi kiasi cha kuwafanya wasusie hata kujitambulisha kwa magwanda yao meupe..ipo siku tutaona mengi.
 
Wazazi kudai chao Ma -doctor kwanjia za ngomo ni sawa kabisa maana wanasiasa nchi hii wanakula kama viwavi wanafikiri sijui sisi vipofu mtu mzima JK ndo anajirusha mwanzo mwisho ; ila one issue sikubaliani nao ni kutaka mtu fulani atoke office hii ni fitna tackle the issue not the person wao wadai chao maana waziri hawezi kuto pesa mfukoni akawalipa.................mabadilikoo ndo hayo wazazi amani haiji ila kwa ncha ya upanga
 
ooh God why was i born a tanzanian?Hivi hawa watu wenye comment kama hizi ni kwamba uwezo wao wa kufikiri umeishia hapo? au hawafuatilii mambo wanaishia kudandia tu vitu wasivyovijua?au ndo beneficiaries wa mfumo uliopo?au wametumwa?duh watz wengine bana!

Jibu ni hapo kwenye RED. Wananufaika na uozo unaofanyika sasa hivi, usidhani mapovu yanayowatoka ni ya bure. Unga unatishiwa kuingia mchanga! Madaktari kazeni buti, msisikilize u.p.u.pu wao hawa vikaragosi!
 
mwisho wa siku katika nchi legelege kama Tz kunahitajika magaidi waiwajibishe serikali
 
mbona umetupeleka kwenye mada tofautii na uhalisia mtu asiye juwa hii issue ataweza kufikiri ni kweli kama hujatoka usingizini utafikiri kweli ,,,mbona hukuhusisha mada yako na prime minister maana na yeye ndio muhusika mkuu wa huu mgomo aliahidi yeye mambo husika....
nasikitika sana umeandika kishabiki mno bila hata kuchambuwa ni wangapi wanakufa kwa kukosa dawa nchi nzima.....unakumbuka dawa zilikuwepo msd za billions zika isha muda wake lakini wagonjwa hawana dawa ...acha ushabiki wa
 
Wanachotaka kurudia kukifanya maDaktari wetu ni zaidi ya UGAIDI. Waliona madhara yaliwakumba akina nani wakati wa mgomo wao ule wa kwanza. Viongozi wakubwa serikalini hawakuumizwa na mgomo ule. Wao madaktari hawakuumizwa na mgomo ule. Wanataka kuurudia tena mgomo ule sio kwa sababu za KITAALUMA au KIMASLAHI kwao wala kwa TAIFA hili bali KISIASA kabisa! Wanatofauti gani na akina Osama waoelekeza mabomu kwa wasio na hatia tena kwa kutumia jina la Mungu?

Tumia kichwa kujibu swali kwenye 1 kwa mujiubu wa maelezo maelezo yako:
1. Kwa nini viongozi wa serikali hawakuumizwa na mgomo ule?
2. Hapo kwenye red naona umechanganyikiwa kama si tatizo la darasa. Ukipewa au kuahidiwa mshiko na wanaokutuma, usikurupuke hata kama kuna sharti la kutolipwa kwa sababu ya 'kuchelewa' kuingiza threads/coments zako, jipange angalau kiuongo uongo ili ionekane umefikiri kwa kutumia kichwa
.
3. Kama hautakubali kwamba mgomo wa madaktari una maslahi kwa taifa katika ulimwengu huu (Tanzania ya leo) basi utakubali katika ulimwengu ujao (Tanzania ya kesho). Mambo haya wamefunuliwa kuyajua wenye hekima tu.

 
Huu ni wakati mwafaka kwa rais kuonyesha uongozi kwa vitendo. Hii hali ya sintofahamu ni bora ikapatiwa ufumbuzi wa kudumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom