samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Kungekuwa kuna madaktari wa maana watu wangeenda India?
Ishu sio udaktari wa maana ishu ni miundombinu inayozunguka sekta nzima ya afya na utabibu, Daktari huyo huyo wa muhimbili ukimpeleka India atatibu wagonjwa wanaotoka Tanzania kama hao wa India! Waambie serikali yako waboreshe miundo mbinu mahospitalini sio kuongea utumbo tu kwa usichokijua