SIASA ni mchezo mchafu.....nimeamini.....!
Daktari wale wana vifaa vyote vya operation ikiwemo mikasi na hizo ni miongoni mwa silaha za magaidi so wasipovitumia kuwaponya wagonjwa si utani ni magaidi hawa.
Ugaidi wa Serikali ni nini hapo sasa? Kutomuajibisha Waziri eti kwa sababu BISIMBA na NAMALA wanachuki binafdsi naye? haina maana yoyote.
Daktari wale wana vifaa vyote vya operation ikiwemo mikasi na hizo ni miongoni mwa silaha za magaidi so wasipovitumia kuwaponya wagonjwa si utani ni magaidi hawa.
Ugaidi wa Serikali ni nini hapo sasa? Kutomuajibisha Waziri eti kwa sababu BISIMBA na NAMALA wanachuki binafdsi naye? haina maana yoyote.
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.
Nawasilisha.
Magamba halisi hawakuumizwa na mgomo ule. Mwakyembe, Mwandosya wako Apollo. Chami, Werema, Kombani, Zitto,..., walikuwa India. Hivi tunavyobishana humu, Lowasa yuko Ujerumani. MaDaktari hawa na familia zao, marafiki zao, hawaumizwi na mgomo huu ambao sasa unachukua sura ya KISIASA zaidi.Propaganda za magamba
mgogoro huu ni too high for your brain to analyse and understand utaishia kuchanganyikiwa tu.Tatizo miluzi mingi humchanganya MBWA ndugu yangu unajua mpka sasa mimi sijui anayedai haki ni Daktari, BISIMBA ama ni nani? Serikali nayo itakuwa inajua kuwa inapambana na kundi zaidi ya moja so, uekelezaji lazima uende ngazi kwa ngazi. Kwani hawa LHRC wao wanaona mataktari wa Dar es salaam ndiyo wanaonewa? Mbona kule vijijini hapo? Sijawahi kusikia BISIMBA akiandamana kwa sababu eti ALBINO anauawa kikatili au yeye hana haki?. Tuache taratibu zifuatwe ili wagonjwa wetu wasiteseke tena kama ilivyokuwa awali kwa sababu ya external forces ambazo malengo yake ni ubinafsi na chuki binafsi.
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.
Nawasilisha.
MaDaktari wetu watakuwa kwenye list hiyo milele kama watagoma tena kesho. Ziko namna nyingi na bora zaidi za kuhanikiza mabadiliko bila ya kuathiri mojakwamoja wasiokuwemo na wanyonge kabisa. Udaktari ni moja ya TAALUMA zinzolipa sana NCHI hii.Mandela alikuwa kwny list ya magaidi hadi 2008!
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.
Nawasilisha.
MaDaktari hawa KIUTENDAJI wanaripoti kwa waziri? Dai lao hili ni la KITAALUMA? Dai hili lina MASLAHI kwao na kwa TAIFA hili? WanaJeshi wa nchi hii hawakugoma wala kushinikiza waziri wa ulinzi ajiuzulu kwa mabomu ya Mbagala na Gongo la Mboto. Wanafunzi mashuleni wanakaa chini madarasani na baadhi ya madaktari hawa walisoma katika mazingira haya.kama CCM inajali watu basi ifanye hili imwachishe kazi WAZIRI NA NAIBU WAZIRI ili watu wapone.kwani kuna ugumu gani kwa mawaziri kuachishwa kazi ili kuokoa uhai wa watu?
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.
Nawasilisha.
Hatushangai kwa watu kama wewe kuunga mkono maana hata katiba mpya mliunga mkono hata mambo ambayo hayakuwa ya maana
Sifa moja ya magaidi ni kutishia na ikiwezekana kutoa roho za binadamu wasio na hatia ili kutimiziwa malengo yao. Madaktari kuamua kugoma na roho za watu zipotee ili matakwa yao yatimizwe ni ugaidi. Kwa mfano, Magaidi wanaua mamia ya watu ili mwenzao mmoja atolewe gerezani na madaktari wetu wanataka kufanya hivyo hivyo kupoteza mamia ya maisha ya wagonjwa eti watu wawili tu waondolewe madarakani, hii inaingia akilini kweli? Hao watu wataendelea kuwepo hapo wizarani milele? Kwani wameona hakuna njia nyingine zaidi ya mgomo? Haki inaweza kupiganiwa kwa muda mrefu sio lazima anufaike yule anayedai na kutaka mabadiliko ya papo kwa hapo.
Sasa hivi napata picha kila nikimuona daktari namuona kama gaidi, watadharauliwa na jamii kwani ni wananchi wachache sana ambao hawataathirika kama mgomo kama ukitokea.
Nawasilisha.