HAKI bin AMANI
Senior Member
- Sep 5, 2011
- 156
- 34
Wanachotaka kurudia kukifanya maDaktari wetu ni zaidi ya UGAIDI. Waliona madhara yaliwakumba akina nani wakati wa mgomo wao ule wa kwanza. Viongozi wakubwa serikalini hawakuumizwa na mgomo ule. Wao madaktari hawakuumizwa na mgomo ule. Wanataka kuurudia tena mgomo ule sio kwa sababu za KITAALUMA au KIMASLAHI kwao wala kwa TAIFA hili bali KISIASA kabisa! Wanatofauti gani na akina Osama waoelekeza mabomu kwa wasio na hatia tena kwa kutumia jina la Mungu?
Tumia kichwa kujibu swali kwenye 1 kwa mujiubu wa maelezo maelezo yako:
1. Kwa nini viongozi wa serikali hawakuumizwa na mgomo ule?
2. Hapo kwenye red naona umechanganyikiwa kama si tatizo la darasa. Ukipewa au kuahidiwa mshiko na wanaokutuma, usikurupuke hata kama kuna sharti la kutolipwa kwa sababu ya 'kuchelewa' kuingiza threads/coments zako, jipange angalau kiuongo uongo ili ionekane umefikiri kwa kutumia kichwa.
3. Kama hautakubali kwamba mgomo wa madaktari una maslahi kwa taifa katika ulimwengu huu (Tanzania ya leo) basi utakubali katika ulimwengu ujao (Tanzania ya kesho). Mambo haya wamefunuliwa kuyajua wenye hekima tu.