Kimsingi madai ya ubora wa mazingira ya kazi kwa madokta yalikuwa ni yenye tija japo yalisukumwa na "upepo"wa madai ya nyongeza za posho kwa Wabunge.
Madaktari walifanya mazungumzo na pinda na "wakafika mwafaka"ambao uliitaji kupewa muda kwa serikari kushughulikia madai..SASA huu mgomo "siasa"wa kushinikiza waziri ajiuzulu "on the expense" ya wagonjwa sijaipenda hii style.
Sababu yangu ya msingi ni hii,kila mfuatilia siasa za tanzania anajua udhaifu wa serikari ya jk linapokuja suala la "kuwajibishana" halijaanza jana wala juzi na ni tatizo la kimfumo linalohitaji mageuzi ya "chama na kikatiba" ambayo tunayasubili 2015.
Hivyo basi wenzetu madokta kama ilivyo kwa wafanyakazi wengine na wananchi wote tuliochoshwa na "sanaa za jk na mawaziri wake" tuwe wenye subira na tusimnyang'anye mtu"wagonjwa" haki ktk kudai haki"madai ya madaktari" kwani tutaharibu mchakato mzima wa kupata Tanzania tunayoitaka yenye uongozi makina na amani bila kuwa na matabaka wala chuki.
Madaktari walifanya mazungumzo na pinda na "wakafika mwafaka"ambao uliitaji kupewa muda kwa serikari kushughulikia madai..SASA huu mgomo "siasa"wa kushinikiza waziri ajiuzulu "on the expense" ya wagonjwa sijaipenda hii style.
Sababu yangu ya msingi ni hii,kila mfuatilia siasa za tanzania anajua udhaifu wa serikari ya jk linapokuja suala la "kuwajibishana" halijaanza jana wala juzi na ni tatizo la kimfumo linalohitaji mageuzi ya "chama na kikatiba" ambayo tunayasubili 2015.
Hivyo basi wenzetu madokta kama ilivyo kwa wafanyakazi wengine na wananchi wote tuliochoshwa na "sanaa za jk na mawaziri wake" tuwe wenye subira na tusimnyang'anye mtu"wagonjwa" haki ktk kudai haki"madai ya madaktari" kwani tutaharibu mchakato mzima wa kupata Tanzania tunayoitaka yenye uongozi makina na amani bila kuwa na matabaka wala chuki.