Mgomo TBL DSM

naona mambo ya kinywaji yametajwa watu mmekuwa wakali kama pilpili haya bana
 
Kwa taarifa ni kwamba mgomo umeairisha kwa siku kumi ili mazungumzo yaweze kufanyika kati management na wafanyakazi, kabla mazungumzo yalishafanyika ila management ilikua inapiga danadana kwa wingi.
 
Afadhali mgomo umeahirishwa maana nilikuwa nawaza hata ningeamua kuweka stock nyumbani, bado nisinge pata za baridi maana ngeleja bado hajatulia!
 
Yaani wauzaji mafuta wamegoma na wauza bia tena wagome sie tutaishi kweli!! maana kama gari limeisha mfuta unapark bar, una do the nid full tu na caslte lite bariiiiiidi!
Bora wamehairisha mgomo wao!
 
Aseee asavali wamesitisha mgomo wangetuua wengine walah! Na tungehamia kwenye konyagi mwitu naapa khaaaa
 
workers of the world unite...you have everuthing to gain and nothing to lose! charity should stary at home. kama faida kubwa ya kampuni haionekani kwa wafanyakazi wake ambao maisha yanazidi kuwawia magumu, wanapaswa kabisa kugoma, pindi madai yao yashindwapo kutimizwa...naunga mkono hoja yao...!
 
Where is the reason for starting the thread? TBL matters are nowdays solved in JF?
We lazima utakuwa mmoja wa viongozi wa TBL Dar.......... Are we always posting matters in JF only for solution..?? Sometimes ni taarifa tu ili tujiandaye na kreti mia ndani za kunywa mwaka mzima endapo mgomo utachukuwa muda huo.............. Utajisikiaje ukifika sehemu na huna taarifa kuwa sehemu hiyo kuna mgomo....??? ACHA UTOTO
 
Mgomo wa wafanyakazi kiwanda cha bia dsm(tbl) umeanza leo hii asubuhi. issue kubwa ni kwamba wafanyakazi wanaushinikiza uongozi kuboresha hari yao ya kiamaisha katoka nyanja zote.wanadai wafanyakazi wanaishi katika hali ngumu huku kampuni ikipata faida kubwa kila mwaka. wanasema kinachoonekana nje ya kampuni hakiashirii hari halisi ndani ya kampuni. more to fall.

Ni vizuri kama wanatetea maslahi yao ila CHONDECHONDE WASITUATHIRI SISI WATEJA WAO.........Maana mgema akigoma siye yale maji ya rangi ya dhahabu tutapata wapi yarabi!!!!!
 
Kweli TBL si nzuri kihivyo tunavyoona wanavyodhamini Mpira Wa miguu na Miss Tanzania. Labour turnover ni kubwa sana kwa young graduates hasa kwenye fani za marketing, finance na engineering. Vijana wana pita pale tu kuboresha CV then wakilinganisha wanachopata wenzao kwenye banking na communication industry wanaondoka.

Ni waswahili wachache tu wenye mishahara ya kueleweka pale kama akina Mzee Lasway lakini wengine wanapata mshahara mbuzi tu. Kwa hiyo madai yao ni halali, mpaka kieleweke wasikubali kwa kuwa TBL ina mapato makubwa mno
 
Mi kwa mara ya 1 naingia tbl nilishangaa,wafanyakaz wana hali mbaya, haswa wale wa packaging dept. Wanapigika ile mbaya harafu mshahara kiduchu! Weng wanaishia kula bia za bure pub!, mshahara mzur kwao ni lak7!!, wakat wanadhamin mambo chungu mzima huko nje! Kuna kaburu aitwaye trevor gray*tech. Director,hana maana zaid ya kuwanyonya technical staff kwa tricky job offers. Kweli niliwaeleza, 2yrs after my exit now yanatokea niliyomwambia hr wao!,pale tbl waswahili ndo wanabaniana,hr wao anajpendekeza sana kwa kaburus ili aonekane bora!
 
Mi kwa mara ya 1 naingia tbl nilishangaa,wafanyakaz wana hali mbaya, haswa wale wa packaging dept. Wanapigika ile mbaya harafu mshahara kiduchu! Weng wanaishia kula bia za bure pub!, mshahara mzur kwao ni lak7!!, wakat wanadhamin mambo chungu mzima huko nje! Kuna kaburu aitwaye trevor gray*tech. Director,hana maana zaid ya kuwanyonya technical staff kwa tricky job offers. Kweli niliwaeleza, 2yrs after my exit now yanatokea niliyomwambia hr wao!,pale tbl waswahili ndo wanabaniana,hr wao anajpendekeza sana kwa kaburus ili aonekane bora!

Huu ugonjwa wa maHR wazawa kuwabania waswahili wenzao ni tatizo la kitaifa.

Kuna HR manager(sasa amestafu) wa kampuni moja ya fenicha iko maeneo ya mikocheni aliwahi kuniambia kwamba kazi ya kwanza na ya muhimu wanayotakiwa kuifanya ni kuwabana waswahili kadri inavyowezekana.

Wachache wajanja nao hunufaika na ukandamizaji huo lakini wengine ambao ni mabwege huishia kutumika pasipo kufaidi chochote.

Kwa kweli watanzania ni wabinafsi sana na hatupendani kabisa kwenye masuala ya kazi hasa ikija issue ya maslahi kwa wazawa.

Ukimgusa mgeni unaambiwa mkataba wake umesainiwa huko huko sauzi, uingereza ama uholanzi kwahiyo sisi tunamlipa tu.
 
du! Bora wagome wasifanye kazi kwa mang'uniko,wataleta kisicho bora sokoni, c unajua tena safar ikikosewa! Wazee chondechonde, mlioko kwenye washer m/c osheni chupa vizr, mzee wa EBI,hakikisha inspection ya side wals,neck,na base iko makin, vijana wa filler, jazen kwa viwango bila kuwasahau pastarizer,labbeller,packer operators,bado tunahitaji kilicho bora huku mtaan kwetu machame kimbushi! Maslah yenu tutayadai sis wateja kama hawataki kuwapa kilicho bora..
 
Back
Top Bottom