@Unclebe usichoke...nieleweshe kwa data na facts na sio vilio vya mtaani !Utanichosha bure ,amini unacho amini wacha nibaki na imani /mawazo yangu pia
@ Jingalao ccm, Ikiona kkoo imejaa watu usifkir wote ni wakazi wa dar, weng wa nje ya Jiji la dar watayapanda hayo magarUnawaongelea watanzania au wakazi wa Dar?
Usihamishe mada tetea kwa data na facts....jiulize wanaotakiwa kwenda huko posta ni kina nani ?au ni watu wa kipato kipi hasa hasa ukizingatia kuwahi ???
Hivi wewe huwa nakutafakari ulivyo mbishi na kupinga kila kitu kihusucho ssm sijui unaumwa ugonjwa gani?
Mkuu unamaanisha unatoka Kimara kwenda Posta kufuata huduma ulizotaja?Mifano
1. Hospitali
2. Mawasiliano (simu)
3. Vituo vya mafuta
4. Zima moto
5. Ulinzi
6. Mabenki
7. Redio
Sijaongelea uzalishaji kwa upande wa viwanda ambavyo ndio vitahitaji zaidi huduma za saa 24.
Mkuu tangu itoke ile kauli kwamba mwenye hayo mabasi ajitokeze LA sivyo serikali itayachukua, mwenyewe alishapatikana???Kimsingi nauli ni kubwa, hata ingekuwa 700, bado ni kubwa sana. Inawezekana haya mabasi walengwa .ni maofisa wenye kazi zao huko Posta na hii inaweza kuwa mbinu ya kuhakikisha watu wa hovyo hovyo hawapandi haya mabasi.
Ndugu zangu tuna uzoefu wa mikutano hii kutumika kama muhuri maana watu hawaihudhurii, na wakiudhuria basi ni wachache sana. Na hapa ndipo jamaa hutumia mwanya huo kupitisha bei wanazotaka wao. Tumekuwa tukiona EWURA wakiitisha vikao vya wadau ili kupitisha bei za umeme na mafuta. Wadau wanaohudhuria ni wachache na mwisho wa siku ukilalamika unajibiwa "imepitishwa kwa kushirikisha wadau, mbona hukuja kutoa maoni yako?"
.
Hahahaaaa wewe nawe...Kama ni kweli wamepanga hizo nauli ni kiasi kikubwa serikali inabidi iangalie ili suala kwa umakini mkubwa nchi zote usafiri wa umma unasimamiwa na serikali siyo kikundi cha wafanyabiashara wachache.
Hoja ya nauli inajadilika si tatizo.Mkuu unamaanisha unatoka Kimara kwenda Posta kufuata huduma ulizotaja?
Kama ni kufuata....basi huduma zote hizo zinapatikana maeneo ya pembezoni.
Na kama unaenda kuzitoa basi ni wazi kipato chako kitastahimili vizuri nauli hizo.
Turudi vijijini tukalime tukuze uchumi!Kiukweli kwa hii style wanachi tuliyowengi tujipange kurudi nyumbani kama affordable ya maisha ndo hii watu awezi ishi more than 45year ok niwakati wenu ccm