Wajua maana ya uchochezi weye???Acha uchochezi
Kujadiliwa...Hivi mnaomwita mleta muongo, ukweli wenu upo wapi?
Ebu someni kilichoandikwa kwenye Mwananchi leo: Nauli za mabasi ya DART kujadiliwa keshokutwa
Ni kweli UDA-RT wamewakilisha nauli za Tsh. 700, 1,200 na 1,400 kujadiliwa. Ambapo mkurugenzi wa UDA-RT, Sabri Mabruk alidokeza kuwa kuna sababu za msingi kwa kupendekeza nauli hizo. Kwa hiyo kwa mlio Dar na mnaotumia usafiri wa umma, itikieni wito wa mtoa mada.
Koh koh koh hadi nimepaliwa, basi sitahoji tenaRobert Kisena mwenye kampuni inaitwa SIMON GROP,mnyantuzu kada wa CCM aliwahi kumpiga OCD wa Maswa,muulize Idi Simba ndo waliiba nae kuinunua UDA
Hiyo ni nauli ya daladala linaloenda mdogo mdogo na kuchelewa kufika ....nauli pendekezwa ni ya basi linaloenda kwa kasi na kuwa na vituo maalum.Mkuu hujanielewa je nauli iliyopo sasa ina matatizo gani nazungumzia 500.je vipuri vimepanda,je mafuta yamepanda, je miuondombinu ni mibovu ?.kaka chukulia MTU anayefanya kazi ya cleaner, ataweza kumudu
Unakumbuka story ya yule fisadi aliyeanzisha njia tatu?Serikali ya CCM ilishindwa kusimamia hayo yote, itawezaje kusimamia usafiri? Wanachoweza ni kusimamia wizi wa kura na kupiga dili tu
Kwan we makonda?Unakumbuka story ya yule fisadi aliyeanzisha njia tatu?
Alipata idhini ya fisadi mwenzake aliyekuwa bosi wake wakati huo.Unakumbuka story ya yule fisadi aliyeanzisha njia tatu?
Hapa ulitaka kusema nini ndg
Vifurushi vya simu unanunua sh.ngapi na katika watanzania maskini wewe haupo unataka kuingiza watu mkenge na bahati mbaya maskini pia hawapo humu JF ingekuwa poa kama ungetambua hadhira hii ni watu wanamna gani. Kibaya zaidi katika nchi hii ni kutumia watu vibaya. Bei bado haijatangazwa manake kuna bajaj, bodaboda na tax wanapanda. Kibaya zaidi njia hiyo walianza kulipa buku kitambo sana.
Kama unazo ajenda zako simama imara sema watu watakuunga mkono ila sio kutumia watu maskini kwa maslahi yako na hao walio nyuma yako.
Angalizo watu hapa kazi tu, hizi figisu zako wenye mamlaka wa sasa hivi ukiwakanyaga bahati mbaya unapasuka sasa wewe unayetaka kuwakanyaga makusudi unafikiri watawafanya nini.
Kama unaweza kuwa shawishi watu maskini si bora uwaelekeze ktk shughuli za uzalishaji mali au kusafisha mazingira.
haya bana ila wewe na dingi yako hakikishen mnalipia kodi makontena yote mliyoingiza nchini miaka kumi yote iliyopita. Kenge nyinyi!Wewe punguani kweli unaweza kuniita zombie wakati mama yako mzazi ananiita baby.
Vifurushi vya simu unanunua sh.ngapi na katika watanzania maskini wewe haupo unataka kuingiza watu mkenge na bahati mbaya maskini pia hawapo humu JF ingekuwa poa kama ungetambua hadhira hii ni watu wanamna gani. Kibaya zaidi katika nchi hii ni kutumia watu vibaya. Bei bado haijatangazwa manake kuna bajaj, bodaboda na tax wanapanda. Kibaya zaidi njia hiyo walianza kulipa buku kitambo sana.
Kama unazo ajenda zako simama imara sema watu watakuunga mkono ila sio kutumia watu maskini kwa maslahi yako na hao walio nyuma yako.
Angalizo watu hapa kazi tu, hizi figisu zako wenye mamlaka wa sasa hivi ukiwakanyaga bahati mbaya unapasuka sasa wewe unayetaka kuwakanyaga makusudi unafikiri watawafanya nini.
Kama unaweza kuwa shawishi watu maskini si bora uwaelekeze ktk shughuli za uzalishaji mali au kusafisha mazingira.
Si ajabu ulikuwa ukimuunga mkono aliyewaambia watu waogelee...Kama unaona ni ghali tembea kwa mguu!
Boda boda tunapanda wote kwani...sisi masikini ndo tunaotaka nauli ishuke siyo hao wanaopanda bodabodaHiyo mbona ndogo,kwani boda boda unalipa shs. ngapi tena unapigwa na jua,vumbi ama mvua. ipande tu maana hata shs/dollar bado majanga tusije funga biashara bure