Mgomo na Maandamano Dar, Tarehe 5/01/2016

Mgomo na Maandamano Dar, Tarehe 5/01/2016

nyie komaeni na kulipa, wale wananchi wa vijijini ndio waliipigia kura nying sisiem, achane waiaome namba
 
Hiyo ni nauli ya daladala linaloenda mdogo mdogo na kuchelewa kufika ....nauli pendekezwa ni ya basi linaloenda kwa kasi na kuwa na vituo maalum.
usichoelewa ni kipi?[/ sawa ila ndugu zako watalipa tu
 
w
Mleta mada ni muoga,dhaifu na mchochezi.
Sumatra huwa hawakurupuki kupandisha nauli,na kunakuwa na vikao si chini ya vitatu hadi nauli ipande.na watu wanajulishwa kwanza ili wajitayarishe.
Sioni hekima kwa mtoa mada kushawishi watu wafanye vurugu badala ya kushawishi wadau wajitokeze kuja kupinga nauli kwa data.je kikao kikihamia sehemu nyingine na wakapitisha nauli itakuaje?
Huu ni wakati wa kazi kwa juhudi maarifa na kufuata sheria sio kila jambo ni maandamano
watu waende kwenye kikao wakapinge kwa nguvu
 
Sasa hivi Jiji la Dar es Salaam lipo chini ya Ukawa jukumu lote wanalo wao Jiji kuwa safi na kuondoa msongamano wa foleni.
...hivi kumbe uchaguzi wa kutafuta mameya ulishafanyika.!!
mara ya mwisho niliskia mmeleta viti maalumu wenu toka znz waje kuwasaidia kuongeza kura.!!!
 
Unawaongelea watanzania au wakazi wa Dar?
Usihamishe mada tetea kwa data na facts....jiulize wanaotakiwa kwenda huko posta ni kina nani ?au ni watu wa kipato kipi hasa hasa ukizingatia kuwahi ???
CCM kwa nini hua mnajitoa ufaham mapema sana..??
Wanaokwenda posta ni wakina nani.? Unaulizaje swali kama hili wakati unajua fika ya kuwa asilimia zaid ya 90 ya serikali nzima ( wizara, makao makuu ya kila shirika la umma nk ) ipo posta.?

Sometimes hua napata wasi wasi juu ya utu wako na uraia wako
 
Kwa hiyo Magu wakati anatoa lile tamko alikuwa hajamjua???

Hivi wewe kweli unaamini Rais anaweza kuwa hajui kitu...Rais Ni taasisi.....Rais ana nguvu kuliko yeyote nchini...

Rais hashindwi kujua kitu

Sisi wenyewe makapuku tunajua mmiliki ni Mmiliki wa UDAHH.....

Wewe weka pause utafakari utajua kuwa nchi hii ni nchi ya kusadidkika...Full comedy
 
Hivi wewe kweli unaamini Rais anaweza kuwa hajui kitu...Rais Ni taasisi.....Rais ana nguvu kuliko yeyote nchini...

Rais hashindwi kujua kitu

Sisi wenyewe makapuku tunajua mmiliki ni Mmiliki wa UDAHH.....

Wewe weka pause utafakari utajua kuwa nchi hii ni nchi ya kusadidkika...Full comedy
Ha ha ha ha tutaishi hiv mpaka lini mkuu, comedy ndo zinazidi kuongezeka kila leo
 
Ha ha ha ha tutaishi hiv mpaka lini mkuu, comedy ndo zinazidi kuongezeka kila leo


Na bado....hadi pale watakapojigundua kuwa its a reality na sio maigizo tena

Pale watakapogundua sasa wanatakiwa ku deliver sio porojo tena na "Kubaini"

Watakapotambua kuwa mashindano yao na uongozi uliopita hausaidii wananchi zaidi ya Ku ji expose na ku set bad precedence

Na hapo itauwa too late..Kwa sababu expectation za wananchi ni kubwa sana....Ambazo i assure you CCM hawawezi kuzifikia asilani.

@habari ya hapa wewe twende pamoja...tuangalie huu mchezo...tafuta Popcorn....njoo tukae tutazame
 
Na bado....hadi pale watakapojigundua kuwa its a reality na sio maigizo tena

Pale watakapogundua sasa wanatakiwa ku deliver sio porojo tena na "Kubaini"

Watakapotambua kuwa mashindano yao na uongozi uliopita hausaidii wananchi zaidi ya Ku ji expose na ku set bad precedence

Na hapo itauwa too late..Kwa sababu expectation za wananchi ni kubwa sana....Ambazo i assure you CCM hawawezi kuzifikia asilani.

@habari ya hapa wewe twende pamoja...tuangalie huu mchezo...tafuta Popcorn....njoo tukae tutazame
Freeland hii nchi inachosha sana aiseee wacha niishie hapa misuseme sana
 
Nawavimbe wapasukeeee wameipenda wenyeweeee wacha waisome nambaeeeee ccm mbele kwa mbeleeee
 
Freeland hii nchi inachosha sana aiseee wacha niishie hapa misuseme sana


Kanuni ni moja

Usijipe streesss

Hii ni zaidi ya Tamthiliya ya Isidingo.....Tangu umezaliwa hadi sasa hope umeikuta Isidingo na Utaiacha

Kaa chini...kula popcorn.....mi nawaangalia tu

Eti leo wanadai wanaleta mabadiliko...Mabadiliko ya kweli Tanzania ni Katiba Mpya..ambayo haiwezi kuletwa na CCM kAMWEEEEE
 
kwa Tanzania ilivyo vitapita tu...WATANZANIA ni almost mazezeta

Huu ni mjadala wa wazi kati ya wasafiri yaani mimi,wewe na yule na wasafirishaji na kila upande unatoa hoja ya kiwango inachofaa. Viwango vilivyotajwa kwenye matangazo ni vya wasafirishaji lakin ni lazma wavitetee pale ukumbini kwa mchanganuo na hoja zilizosimama hakuna blabla. Mjadala huu ndo husaidia kupata bei ya mwisho.
 
Back
Top Bottom