Namkumbuka mwaka 2004 kama nitakuwa nimesahau kidogo, Nilikuwa Mombasa na Nilikuwa town bus za serikali (matatu) AU Kenya bus nyingi zikiwa mpya na 'mfano' wa hizi UDA ndogo ambazo zilikuwa zikizunguka route zilizopangiwa na kila kituo zilisimama na bahati mbaya hazikuwa na abilia labda mmoja mmoja aliyejilipua.
Baada ya kuuliza mbona hizo gari ni mpya na sioni zikiwa na abilia nikajibiwa na Jamaa yangu aliyekuwa anaishi mwinjaka kuwa kuna mgomo baridi "hizo matatu ziko bei juu sana, so kenyani we can't afford to pay hizo fair" nikamuuliza zaidi ndipo akatoa sababu kama zilizotolewa na Jamaa yangu @gambakakobe
Mwisho wa siku leo wanazopanga bila kinyongo na wanalipa nauli ile isitoshe kwa sasa ipo juu zaidi, ambapo tofauti ni kuwa wao wanaheshimu zaidi sheria kuliko sie watz.
Ccm mliichagua wenyewe,mliipenda mnaipenda."hapa kazi tu"
Hili swala la nauli linapitia mchakato halali.Kama ni kweli wamepanga hizo nauli ni kiasi kikubwa serikali inabidi iangalie ili suala kwa umakini mkubwa nchi zote usafiri wa umma unasimamiwa na serikali siyo kikundi cha wafanyabiashara wachache.
Kaka tafakari then elewa barabara imejengwa ili kurahishisha maisha kwa watumiaji.pili tambua huh ni msaada au mkopo uliojenga hii barabara watalipa watanzania je kuweka nauli ya 1200 kutasaidia raia Wa kawaida au wamiliki Wa mabasi. TafakariKwa nini unaiona sh 700 -1400 ni luxury?kwa vigezo vipi hasa?
Kmimi sijawahi kupanda ndege kwa kuwa uwezo wangu ni wa basi....haimaanishi ndege ni anasa!!
Utakuta asilimia zaidi ya 50 wanaoelekea posta hawana shughuli ya maana zaidi ya kwenda kukwapua tu....kama maisha ya bongo yatawashinda acha warudi kimanzichana,kwa msisi na mamseri!!
Unataka iwe sh. Ngapi ili iwasaidie wananchi?Kaka tafakari then elewa barabara imejengwa ili kurahishisha maisha kwa watumiaji.pili tambua huh ni msaada au mkopo uliojenga hii barabara watalipa watanzania je kuweka nauli ya 1200 kutasaidia raia Wa kawaida au wamiliki Wa mabasi. Tafakari
Acha uchocheziMlikataaa madiliko na mh Lowassa mtajijua, Nyumba zenu mnabomolewa na nauli in a panda Mara tatu, na bei ya vyakula nayo tutaongeza, ataeshindwa ahame nchi
Mkuu hujanielewa je nauli iliyopo sasa ina matatizo gani nazungumzia 500.je vipuri vimepanda,je mafuta yamepanda, je miuondombinu ni mibovu ?.kaka chukulia MTU anayefanya kazi ya cleaner, ataweza kumuduUnataka iwe sh. Ngapi ili iwasaidie wananchi?
Naona mnalia tu bila kuwa na hoja ya msingi.
Hela ya kununulia skafu na bendera za chadema mnazo fedha ya nauli ndio inakuwa nongwa!!
Hatuwezi kuwa na nchi iliyozoweshwa bure ambayo ni kwa hisani ya watu wa Marekani au Finland au China....uzuri una gharama tuache vilio visivyo na msingi!
dah ni ww zombie face siamin kumbe sometimes unaandikaga pointsKama ni kweli wamepanga hizo nauli ni kiasi kikubwa serikali inabidi iangalie ili suala kwa umakini mkubwa nchi zote usafiri wa umma unasimamiwa na serikali siyo kikundi cha wafanyabiashara wachache.
Robert Kisena mwenye kampuni inaitwa SIMON GROP,mnyantuzu kada wa CCM aliwahi kumpiga OCD wa Maswa,muulize Idi Simba ndo waliiba nae kuinunua UDAKwani mmiliki wa haya magari kishapatikana???
Tuna serikali inayoweza kusimamia mambo muhimu? Serikali iliyoshindwa kuliweka jiji safi, jiji ambalo Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Baraza la mawaziri, Balozi na Office zote za kimataifa linanuka, limeoza! Unashindwa kusimamia kufagia utaweza kusimamia usafiri?!Kama ni kweli wamepanga hizo nauli ni kiasi kikubwa serikali inabidi iangalie ili suala kwa umakini mkubwa nchi zote usafiri wa umma unasimamiwa na serikali siyo kikundi cha wafanyabiashara wachache.
Wewe punguani kweli unaweza kuniita zombie wakati mama yako mzazi ananiita baby.dah ni ww zombie face siamin kumbe sometimes unaandikaga points
Sasa hivi Jiji la Dar es Salaam lipo chini ya Ukawa jukumu lote wanalo wao Jiji kuwa safi na kuondoa msongamano wa foleni.Tuna serikali inayoweza kusimamia mambo muhimu? Serikali iliyoshindwa kuliweka jiji safi, jiji ambalo Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Baraza la mawaziri, Balozi na Office zote za kimataifa linanuka, limeoza! Unashindwa kusimamia kufagia utaweza kusimamia usafiri?!
Zamani ulikuwa unaamka saa 11 Kimara Mwisho unatumia masaa 3 kuwahi ofisini saa 2. Sasa utaamka saa 1 utatumia saa 1 utawahi ofisini. Na kurudi hivyo. Hizo kero na uchelewefu na mbanano na mijasho huoni kama ilikuwa ni "gharama" pia? Watanzania tujifunze kuangalia matatozo yetu kwavuhalisia wake. Tukiendelea hivihivi mwakani weye wa Kimara Mwisho itabidi walale ofisini ili kuwahi kazini saa 2.Mbona kiongozi wenu mkuu ni rafiki wa walalahoi kama anavyojipambanua ,inakuaje kwa nyie vibaraka kua na kauli hizi ?? Au ni zuga tu machoni pa watu ila moyoni anatekeleza kauli yake ya pigeni mbizi kwani nini bana
Serikali ya CCM ilishindwa kusimamia hayo yote, itawezaje kusimamia usafiri? Wanachoweza ni kusimamia wizi wa kura na kupiga dili tuSasa hivi Jiji la Dar es Salaam lipo chini ya Ukawa jukumu lote wanalo wao Jiji kuwa safi na kuondoa msongamano wa foleni.
Hivi mnaomwita mleta muongo, ukweli wenu upo wapi?Huyo jamaa ni muongo wa kupitiliza ni mchochezi ....soon utaona