DASA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 1,031
- 302
Pdidy umeandika ujinga hapa! Jifunze kujenga hoja na kuwa subjective
Ujinga gani we unaona hapo!, mbona ni ukweli mtupu!!. Hao wanaojifanya kuomba msamaha wameonyesha ubinafsi zaidi.
Pdidy umeandika ujinga hapa! Jifunze kujenga hoja na kuwa subjective
Mkuu Pdidy, nakushauri;
1. Jifunze Uandishi, UPYA...Habari au hoja haijengwi namna hiyo hapo juu, kuanzia kichwa cha uzi na yaliyo ndani yake.
2.Unajishushia HESHIMA, wewe na wale "unaotaka kuwawakilisha" kwa lugha yako ya kejeli zisizo na msingi.
3. Jifunze kustahimili HISIA(hasira na chuki), hasa unapotaka kuandika jambo.
Mwisho, kama mmoja wa wale uliowatukana na wewe KUSHAWISHI watu wenye akili zao TIMAMU bora wawe "wapumbavu" ..nakukumbusha kuwa " kutamani UPUMBAVU" kama ulivyosema hapo mwisho ni kujidhalilisha unless hujui MPUMBAVU ni mtu wa aina gani Mkuu.
Mkuu nani kaomba msamaha?
Najilazimisha kuhisi kuwa kuna mtu kaiba password ya Pdidy.
Hii kitu haiwezi kuandikwa na mtu mwenye akili timamu unless awe ametandika mataputapu ya kutosha,huyu ni pdiddy wa Jf au wa Fb?haya ndugu akili za asubuhi zaweza tofautiana na za asubuhi.
mkuu pdidy, nakushauri;
1. Jifunze uandishi, upya...habari au hoja haijengwi namna hiyo hapo juu, kuanzia kichwa cha uzi na yaliyo ndani yake.
2.unajishushia heshima, wewe na wale "unaotaka kuwawakilisha" kwa lugha yako ya kejeli zisizo na msingi.
3. Jifunze kustahimili hisia(hasira na chuki), hasa unapotaka kuandika jambo.
Mwisho, kama mmoja wa wale uliowatukana na wewe kushawishi watu wenye akili zao timamu bora wawe "wapumbavu" ..nakukumbusha kuwa " kutamani upumbavu" kama ulivyosema hapo mwisho ni kujidhalilisha unless hujui mpumbavu ni mtu wa aina gani mkuu.
labda nikusaidie, mpumbavu ni mtu wa aina ya hao madokta, kuanzia kugoma mpaka kuomba msamaha, kumbuka sio watoto hao, ni mijitu mizima. na kuhusu suala la kuficha ni kwenye magazeti, tv na redio. hapa ni freestyle unafunguka tu mkuu.
kama mungu bado ajakulaaani kuchana gamba la tanzania basi naamini umesoma maneno ya magazeti ya leo na kesho ntakuwekea hapa na kama umesoma na bado umeandika haya basi naomba nisimame na kuita udkatari ni kazi moja yapo uya kipumbavu kwanini nasema hivi sikupenda kuita wajinga lakini unapoelekea ntaita hivyo......
Unajua akuna kitu kibaya kama kwenda na condom guest na kuiweka mfukoni alafu baada ya hapo unajuta
mungu wanguuuuuuuuuuuuuuuuuuu nimefanya nini???ni bora uwe na dhamia leo situmii condom lakini unapoingia nayo na kuishiaa kukaa nayo mfukoni alafu unamwomba mungu akusamehe basi sioni tatizo kukuita ibilisi
sasa basi kama awa watu wamefanya mgomo na akuna magazeti yalaioacha kuandika haya na kuomba jamani warudi si hivyo kuonyeshwa maiti kwenye magazeti si kwamba tulipenda na ndio maana kuna kaka yangu kibonde anakosea kama binadamu na siachi kumchamba huku lakini alipokuja na swala la dk nilikuwa nyuma yake na nililaani upuuzi wanaofanya si kwamba nasikitika watu wanaoenda kufa bali upumbavu wao ...unajua bora ukose utajiri kuliko kunyimwa ufahamu wa mungu ...uwezi kuangalia mtu anahangaika na machine ya oxygen ukijua anaitaji dawa alafuleo hii ukamtetea si mmpumbavu ...mkuu samahani kwa hili ila naomba kusimama na jina hili la upumbavu mpaka kesho saa tatu asbh
olysetmlitaka aandike kile mnachokitaka nyie?
Kila mtu yupo huru kutoa maoni yake pasi ya kuingilia uhuru wa mtu mwingine
mkuu pdidy, kwa kuanza ningesema with your quote above i think, we obviously have different definations of "magamba"kulingana na ombi lako uliloniomba mwishoni, ..haina tabu after all am nobody, it's "free country" and you can can whenever you feel like...but back to the topic;
sijaelewa hoja ni ipi hasa hapa na jinsi ulivyoitoa achilia mbali mifano uliyoitoa/kuainisha hapo juu.
Hebu nirekebishe katika hili then tuendelee mkuu.
mkuu hoja ni
kukimbilia kugoma kwa sababu ya upumbavu na kusababisha maelfu ya wananchi kufariki na mwisho kurudi kwenye hayo hayo magazeti mlikuwa mkisimama nayo bila kujua mnawapa biashara na kuomba tenaaaaaa msamahaaa....labada ungenijuza mmeomba msamaha mrudi kazini kwa sababu ya kijiwe ama mmeumia kwa dhambi mlioifanya kwa kupoteza maelfu ya watanzania????ukinijibu hili tuendelee