hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,545
mmetegwa mkategeka hasira za nini?
Tools down is coming,aluta continua!
Mkuu meningitis, i have the same feeling.. TTD.
mmetegwa mkategeka hasira za nini?
Tools down is coming,aluta continua!
Mkuu meningitis, i have the same feeling.. TTD.
mkuu Ulimboka atakuja soon.mbona huna uvumilivu?fanyia kazi aliyosema!unakumbuka alivyorudi alisemaje?msaliti ni wewe usiyefanyia kazi matamko ya ulimboka.nachukia watu wa aina yako.Msaliti mkubwa ni ulimboka,sikutegemea kama angekua nyanya kiasi hiki,ndio alio sababisha wenzake kuto kuonana kama kiongoz ame ingia mitin unategeme waongozwa wafanye nini?warud kazin tu hamna ujanja istoshe selikal imeona imeshinda wanakazia ushind kwa kuwashinikiza waende media wabadili msimamo wao na wanafatwa mmoja baada ya mwingine.nimemchukia uli sana na mungu atatulipa wa tz inshaallah
Pengine yanayotokea tuliyaandika humu na tuliwaasa kunguni waliojitokeza kuomba msamaha
wakati wa mgomo tuliwaasa sana kama mmeamua muwe makini sana na kama amko pamoja ni bora mkajipange na kabla ya kujipanga anagalieni madhara yake yanayoenda kutokea
Dk Ulimboka aliongea vya kuongea lakini mkono wa serikali mrefu na hapo ndipo walipoamini wakati aliporudi sipendi kusema mlikosea naamini mlifanya mkumbo kukimbilia mgomo sasa basi naomba kama mmeomba msamaha basi nendeni kwenye makaburi ya kinondoni ama ya Dar yote mkaombe mlichofanya na upumbavu wenu kabla ya kusamehewa na serikali
nawaambia hivi kwakuwa wakati watu wanakufa muhimbili mlikuwa mkiwaona sasa basi mkihisi serikali ikiwasemehe imetoka, la hasha mkono wa Mungu ni mrefu kuliko serikali yenu simameni mbele ya watanzania muombe radhi kwa wafiwa wote waliokutwa na upumbavu wenu.
Pengine yanayotokea tuliyaandika humu na tuliwaasa kunguni waliojitokeza kuomba msamaha
wakati wa mgomo tuliwaasa sana kama mmeamua muwe makini sana na kama amko pamoja ni bora mkajipange na kabla ya kujipanga anagalieni
madhara yake yanayoenda kutokea
Dk Ulimboka aliongea vya kuongea lakini mkono wa serikali mrefu na hapo ndipo walipoamini wakati aliporudi sipendi kusema mlikosea naamini mlifanya mkumbo kukimbilia mgomo sasa basi naomba kama mmeomba msamaha basi nendeni kwenye makaburi ya kinondoni ama ya Dar yote mkaombe mlichofanya na upumbavu wenu kabla ya kusamehewa na serikali
nawaambia hivi kwakuwa wakati watu wanakufa muhimbili mlikuwa mkiwaona sasa basi mkihisi serikali ikiwasemehe imetoka, la hasha mkono wa Mungu ni mrefu kuliko serikali yenu simameni mbele ya watanzania muombe radhi kwa wafiwa wote waliokutwa na upumbavu wenu.
Hujakosea, umeandika sahihi kabisa hasa nikikumbuka waliokufa kwa sababu ya huyo mgomo.Pengine yanayotokea tuliyaandika humu na tuliwaasa kunguni waliojitokeza kuomba msamaha
wakati wa mgomo tuliwaasa sana kama mmeamua muwe makini sana na kama amko pamoja ni bora mkajipange na kabla ya kujipanga anagalieni madhara yake yanayoenda kutokea
Dk Ulimboka aliongea vya kuongea lakini mkono wa serikali mrefu na hapo ndipo walipoamini wakati aliporudi sipendi kusema mlikosea naamini mlifanya mkumbo kukimbilia mgomo sasa basi naomba kama mmeomba msamaha basi nendeni kwenye makaburi ya kinondoni ama ya Dar yote mkaombe mlichofanya na upumbavu wenu kabla ya kusamehewa na serikali
nawaambia hivi kwakuwa wakati watu wanakufa muhimbili mlikuwa mkiwaona sasa basi mkihisi serikali ikiwasemehe imetoka, la hasha mkono wa Mungu ni mrefu kuliko serikali yenu simameni mbele ya watanzania muombe radhi kwa wafiwa wote waliokutwa na upumbavu wenu.
labda nikusaidie, mpumbavu ni mtu wa aina ya hao madokta, kuanzia kugoma mpaka kuomba msamaha, kumbuka sio watoto hao, ni mijitu mizima. na kuhusu suala la kuficha ni kwenye magazeti, tv na redio. hapa ni freestyle unafunguka tu mkuu.
Tena ilifaa radhi iombwe kwa watanzania (walalahoi) ambao walipoteza ndugu zao kwa kukosa huduma mahospitalini kwasababu ya huo mgomo. Siku-support hata siku moja huo mgomo, nililaani mno. Mdai yao ilikuwa kutunishiwa mfuko, then walipoona wanahitaji support toka kwa wananchi wakaongeza kisingizio eti "vitendea kazi mahospitalini...."
Pdidy umeandika ujinga hapa! Jifunze kujenga hoja na kuwa subjective
Mimi nina mashaka!huu ni mchezo umechezwa na watu flani ili kuisafisha serikali,si madokta hao!Lazima tufikiri kidogo kabla ya kulaumu kwa jazba!mi binfsi nakataa kwamba hao si madokta hata kidogoMkuu Lukansola, sijaelewa ulichokuwa unamaanisha mkuu wangu, kwamba mpumbavu ni mtu wa aina gani na sababu ipi tena?
Najilazimisha kuhisi kuwa kuna mtu kaiba password ya Pdidy.[/QUOT
Nasikia madokta wa ukweli wamekanusha upuuzi huu uliotengenezwa idarani.
Mambo yeshakuwa mpwito mpwito, afya za watanzania zimewekwa rehani rasmi.
Mimi nawashauri waende huko Rwanda, Botswana na SA.
Si nilisikia walikuwa wengi sana kwenye ubalozi wanaomba VISA kuna shuhuda alisema aliwaona.
teh teh teh