Meking
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 222
- 45
Ok replacement iko wapi? Au anawafukuzatu kwa hasira zake?, asidhani kuwa ni kama kubadili baraza la mawaziri.
Do not personalize the matter aisee, anayewafukuza ni nani hapo?
Kuhusu replacement, sijasikia chuo chochote kufungwa ama kwa dharura madaktari kutoka nchi rafiki, ongeza na wastaafu (the most experienced staff), so dont ask that!!