MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

MGOMO: Madaktari 319 wafutiwa leseni

Dhaifu yuko kwenye mkutano wa WAZAZI Uingereza!

Kuna haja ya mh. Raisi kuhudhuria mkutano wa uzazi wa mpango hii itasaidia sana kuepuka kuzaa watu wenye akili chafu kama yako. Tunahitaji vizazi makini kwa maendeleo ya taifa hili.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hiki ndio kipindi madaktari wanapaswa kuwa pamoja kuliko wakati wowote ule!
 
Waombe Mungu 2015 ifike watarudi wote na wale waliokimbilia nje miaka ya nyuma kuja kutumikia nchi yao. Hii inaweza kuwa temporary casuality ila yenye manufaa ya muda mrefu kwa hiyo vijana wasife moyo wajue tuko nyuma yao na Mungu ataendelea kuwapigania
 
Si muda wa kuchekea hii serikali ya CCM iliyochoka. Nasubiri tamko la MAT.
 
Greats,

Hongera sana Baraza la madaktari Tanganyika, Huu ni uamuzi mzuri ila umechelewa sana.

Pongezi zenu madaktari kitengo cha MOI kwa kusitisha mgomo.

Uamuzi mzuri na wa kungwa mkono sana.
 
Kuna haja ya mh. Raisi kuhudhuria mkutano wa uzazi wa mpango hii itasaidia sana kuepuka kuzaa watu wenye akili chafu kama yako. Tunahitaji vizazi makini kwa maendeleo ya taifa hili.

Chama
Gongo la mboto DSM

jk, naamini hana tunachoweza kumuheshimia, kwani heshima yetu ni kwa gharama ya dharau yake, halafuuu, kwani salima a.k.a mama mwanaasha si ana ana ana ana anaaa ujaumimba kwa hisani ya watu wa marekani! Atakuwa anahudhuria na kuonyesha kwa mfano bandugu. Heshima ya taifa ilijengwa kwa miaka mingi, sasa nashuhudia ikiporomoshwa kama senema!!!!!!!!!!!!

Kweli sikitiko oh sikitiiko ooh, na machozii yanatutoka mama!
mbona wale wenzetu wanatesekaa mama!
Wako katika makucha ya watu weupe wachacheee mamah!

Witoooooooo, witoooo mama mama, wito,
tanganyika lazima tuikomboe mama! Lazima tuikomboe.
Kwa mitutu na mikuki na mapanga mama! Lazima tuikomboe! -Dar Internatinal-
 
Baraza la Madaktari Tanganyika haliko huru kutoa maamuzi huru. Mwenyekiti wake ni Dr. Donan Mbando Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, alikuwemo kwenye timu ya majadiliano kati ya madaktari na serikali yeye akiwa upande wa serikali. Serikali inapeleka mashitaka ya madaktari kwa mtu ambaye ana interest katika shauri hilo. Nobody can be a judge on his own case.

Ikiwa serikali haiwezi kuliona hata hili dogo sijui umakini wake. Katika macho ya kisheria hukumu hiyo ni batili
 
Mimi nataka hizo leseni wasipewe tena ili iwe fundisho kusiwe na migomo huko mbele.

Kama wanaona hawajatendewa haki waende mahakamani ooops waende UN si ndio wanapokimbilia siku hizi.
 
Kama makaratasi yangekuwa siyo dili basi hata babu wa Loliondo angekuwa daktari bingwa pale Muhimbili.
Halafu hii ni fursa kwa vijana wetu kwenda Trinidad, kiroho safi...
 
Kuna vijana walifanya wabishi hapo UDSM enzi za Nyerere. Wakaanzisha mgomo wa kijinga kama huu wa madaktari. Alichofanya Nyerere ni kuwafungulia mlango wa Ikulu wakaingia pale na akahakikisha wanazomewa njia nzima hadi wanarudi Mlimani na walipofika makazini wakawa wanatengwa hawapandishwi vyeo. Nendeni mkawaulize wajomba zenu na baba zenu waliofikwa na hii zahma watawahadithia ilivyowagharimu.
 
Kama makaratasi yangekuwa siyo dili basi hata babu wa Loliondo angekuwa daktari bingwa pale Muhimbili.
Halafu hii ni fursa kwa vijana wetu kwenda Trinidad, kiroho safi...

Hawawezi kupokelewa huko kirahisi rahisi hadi wawe cleared huku kwetu.
 
Ndio matatizo ya kuwa na Kiongozi DHAIFU na Serikali DHAIFU siku zote haina utaratibu wa kukaa meza moja na wadau mbali mbali ili kutafuta suluhisho la matatizo husika kwa amani wao wanaona ubabe tu wa kutishana na kukomoana ndiyo njia muafaka. Wangekuwa wanatibiwa nchini sidhani kama wangefikia uamuzi wa hovyo kama huu.

Saa hizi serikali ndo imekuwa "haina utaratibu wa kukaa meza moja na wadau mbalimbali?!!
Nyie watu kwa kugeuza maneno, hivi ni serikali ndiyo ilikataa kuongea na madaktari pale Karimjee siyo?
 
Ilichofanya serikali ni sawasawa,hawa watoto hawajui kama serikali ipo! wanafanya watakacho kiholela tu, wacha sasa wasage rumba mtaani mpaka visigino viende upande! wanafata mkumbo tu kazi yenyewe hawajapata, haya sasa! hawajui mgoma u,meathiri watu kiasi gani! watalijua jiji.

si waende kwa Dr slaa akawape hata udiwani wa kuteuliwa jamani.
 
Ubabe wa serikali utawaumiza zaidi wananchi wanaotegemea hospitali za serikali, siyo hawa madaktari waliofutiwa leseni kwani bado wana ubongo wao. Leseni ni karatasi tu, kulifuta hakuondoi knowledge ambayo madaktari hawa wameshajisheenza vichwani mwao. Time will tell!! Miaka kadhaa iliyopita, Mwinyi mdogo aliwafukuza madakatri Tanzania kutokana na mgomo kama huu; baada ya muda kidogo nikakutana na dakatri mmoja aliyefukuzwa Tanzania akiwa anaendelea na taaluma yake huko Trinidadi tena kwa heshima kubwa sana....
Mwalimu,
Kila Fani au tasnia ina sheria na muongozo,msilaumu tu serikali kwa hatua waliyoichukua ktk kufuata sheria iliyopo kupitia vyombo husika na sheria kufuata mkondo wake.

Kwanza naweza kusema wamekuwa wavumilivu sana na wengine mkauita UDHAIFU,ni uamuzi mgumu kwa serikali kuuchukuwa DHIDI ya watu wake ,Lakini was the right thing to do........................,sasa wafuate sheria kuomba tena hizo leseni nafikiri milango haijafungwa kabisa.

Na hata wakiamua kwenda kufanya kazi nchi nyingine bado wataomba leseni kwa kufuata sheria za nchi husika na hawa itabidi waombe kufanya Intern ,kwani hawakumaliza intern sasa sijui wapi watakuajiri hata hujamaliza Intern!
 
It is a government body, working under the ministry of health.. the chairperson of the council is the chief medical officer who is the presidential appointee. Na miongoni ya maorodhesho yaliyotolewa na madaktari na kuchukuliwa na kamati ya bunge ni kuhusu ku'review structure na function ya baraza lenyewe.... Sishangai uamuzi huu, nashauri madaktari wasife moyo wajipange upya kuna uozo mwingi sana unaoendelea

Poleni madaktari. University grants you the power to read and write and all that apertains my degree then out of blue comes damn political appointee and says thou shall not practice. Where is the justice?
 
Mimi nadhani uamuzi wa kuwafutia lesseni ni hasara kwa serikali yenyewe, imetumia muda na gharama kuwasomesha,bado tunaupungufu mkubwa wa madaktari na hilo pengo la madaktari 319 pengo lao ki-uhalisia haliwezi kuzibika kwa muda mfupi. Ndiyo tunasema wapo 700 wanaomaliza mwezi ujao lakini bado uwepo wao ulikuwa hauwaondowi hao 319 kazini bali ilikuwa inapunguza uhaba mkubwa wa madaktari Tanzania.

Ni vyema uamuzi huu ukaangaliwa kwa njia pana zaidi ili kuepuka maamuzi ya kukomoana, mgomo umeisha wapewe onyo la waruhusiwe kuendelea na kazi. Katika hali ya kawaida ni kwa vile tu hana tabia ya kufanya tathmini ya maamuzi yetu, kufukuza madk 319 kunaathiri pia uchumi wa nchi kwa namna moja au nyingine.

Tuseme walipokuwa wanaajiriwa hawakujua kama watalipwa "kiduchu". Kwa sababu sasa wanajua, na mwajiri anasisitiza kutoweza kuwalipa kwa matakwa yao, zaidi anawashauri watafute mwajiri mwenye uwezo. Hapo tena mgogoro wa nini. Mbona wanakuwa kama wanataka na hawataki? Tuumize vichwa kupunguza tofauti ya vipato na mfumuko wa bei. Kuzidi kuwaongezea pesa madaktari kutaongeza matatizo yote mawili...
 
Hili suala ni kwa muda tu! Watapewa tu reguistration! Ingawaje sometimes inabidi ufanye maamuzi magumu
 
Ubabe wa serikali utawaumiza zaidi wananchi wanaotegemea hospitali za serikali, siyo hawa madaktari waliofutiwa leseni kwani bado wana ubongo wao. Leseni ni karatasi tu, kulifuta hakuondoi knowledge ambayo madaktari hawa wameshajisheenza vichwani mwao. .

Kaka umekosea kuelewa kuwa bila wao kupata hiyo leseni watakuwa hawaruhusiwi kuajirika katika hospital yoyote. akifanya kazi atafanya kama kishoka kiasi kwamba serikali ikigundua hata huyo mwajiri wake atakuwa hatarini. sasa kwanini ajihatarishie kazi kwa kumchukua mtu ambaye sifa zake hazijakamilika? Hili kaka ni tatizo labda sisi kama taifa tutumie wazee wenye busara wamfate rais kumueleza kuwa kwa hili, hilo baraza limetumia hasira kubwa zaidi. Tukirudi nyuma ivi hawa madaktari hawakuzijua hizi sheria za chama chao?
 
halafu bado tunaongelea utawala bora tanzania wakati hata utatuzi wa migogoro ya kiwango hiki tu ubabe unatumika....kwanini sasa kupoteza pesa na muda kujiunga na vyombo kama african peer review mechanism ilhali tunafahamu kabisa kuwa tunasoma sifuri katika governancemeter?
 
Back
Top Bottom