Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,888
- 32,290
Kila siku nasema CCM kumejaa vichwa maji na Serikali yake, yaani madaktari wanaddai haki yao then wanakuja kufutiwa leseni zakoo, hatari kwa kweli na 2015 sio mbali......
Haki yao milioni 7,700,000 kwa mwezi mmeishaambiwa muajiri wako hana uwezo wa kutoa mshahara huo kama mnataka masalahi zaidi ruksa kwenda sehemu ingine wanapolipa vizuri.