Fisimaji wewe! Hii ndiyo shida ya vijana hamkupita JKT enzi ile. Serikali ya Tanzania haina jeuri ya kuwafuta leseni hata madaktari 10! Na naamini vijana madaktari hawana uwoga wa kijinga kupigania haki zao!msiba wa mwenzio sio wa kuufurahia ninasikitika coz ni vijana wenzangu hawa ambao wamepatwa na huu mkasa wa kupokonywa leseni lakini naomba tupate fundisho moja kuwa muda ambao watu wengu wanakushauri kuacha jambo fulani ni vyema ukaacha then ukajiepusha na matatizo kwani hata sasa tunapozungumza hivi sio wote watakaoweza kwenda kutafuta ajila nje wengine watakuwa wameshaharibu ndoto za maisha yao hatakama najua kuna wengine watasema maisha sio udaktari pekeyake.
but msikate tamaa mungu yupo tuendelee kumuomba may be mtarudishiwa hizo leseni zenu
POLENI SANA KWA YALIYOWAKUTA