be sincere mkuu, 2015 ni mbali ukilinganisha na matatizo tunayopitia. Chukulia mfano kama mtu anateswa kwa staili ya Dr. Ulimboka Stephen kwa interval ya miezi mitatu mitatu itakuwaje!?
Lakini pia maswali ya msingi ya kujiuliza hapa:
1. Inachukua muda gani kumfunza daktari mpaka kufuzu?
2. Ni wanafunzi wangapi (vijana) wako tayari na wana uwezo wa kusomea hii fani?
3. Watatumia muda gani na gharama kufidia hilo pengo la madaktari 319?
Lakini swali zaidi tunaloweza kulitumia kujifunza ni kama serikali ingelitumia strategy hii hii kuwasimamisha/kuwafukuza kazi wabadhirifu serikalini si tungelikuwa tunaizidi China kwa maendeleo!????