Mgogoro wa Zanzibar watinga Ikulu ya Marekani

Mgogoro wa Zanzibar watinga Ikulu ya Marekani

Ni vyema ukasahihisha kauli yako.
Siyo Tume ya uchaguzi ZEC iliyofuta uchaguzi, bali ni mtu mmoja anayeitwa Jecha 'alijikurupukia' na kurikodiwa kwenye mkanda ambao ulisomwa ZBC akidai kuufuta uchaguzi huo, akisema ni kutokana na mamlaka aliyonayo, bila kuquote Ibara yoyote ndani ya Katiba ya Zsnzibar ya mwaka 1984 inayompa mamlaka hayo. Vile vile alishindwa kuquote kifungu chochote cha sheria ndani ya Zanzibar Electoral Commission Act, kinachompa mamlaka hayo ya kuufuta uchaguzi huo.
Nimesema siyo ZEC iliyofuta uchaguzi huo kwa kuwa tunapotamka chombo kinachoitwa ZEC tunamaanisha composition ya wajumbe wanaounda Tume hiyo ya uchaguzi ambao ni Mwenyekiti wa Tume na Makamu wake pamoja na wajumbe wengine ambao ni makamishina wa Tume hiyo.
Kutokana na watawala wa Zanzibar kutambua kuwa tamko la Jecha ambalo lilitokana na shinikizo lao kujua ni batili, ndiyo maana tokea atamke tamko lake hilo 'wamemficha' mahali pasipojulikana ili wamwepushe na hasira za wananchi ambao walitumia haki yao ya kidemokrasia ya kumchagua kiongozi wanayemtaka halafu akajitokeza mtu huyo anayeitwa Jecha na kuwapora haki yao hiyo!

I stand corrected. Asante kwa sahihisho lako.

Kwani unafikiri mimi namtetea Jecha? La.

Sasa hivi Maalim, Dr. Shein, maraisi wa zamani (wote CCM) wanakutana au walishakutana chini ya ushauri wa UN, EU, AU, kutatua hili tatizo.

Ningefurahi kama katika hii timu ya usuluhishi kungekuwa na wataalam wachache wa sheria wa CUF (kama wapambe wa Maalim).

Basi tuwe na subira. Tuwape muda tuone kama watakuja na suluhisho. Tusikimbilie ikulu ya Marekani kwanza.
 
I stand corrected. Asante kwa sahihisho lako.

Kwani unafikiri mimi namtetea Jecha? La.

Sasa hivi Maalim, Dr. Shein, maraisi wa zamani (wote CCM) wanakutana au walishakutana chini ya ushauri wa UN, EU, AU, kutatua hili tatizo.

Ningefurahi kama katika hii timu ya usuluhishi kungekuwa na wataalam wachache wa sheria wa CUF (kama wapambe wa Maalim).

Basi tuwe na subira. Tuwape muda tuone kama watakuja na suluhisho. Tusikimbilie ikulu ya Marekani kwanza.
Ninaheshimu sana maoni yako kuwa siyo vyema sana kukimbilia Mataifa ya nje, hususani western countries, kupeleka malalamiko yanayohusu nchi yetu.
Hata hivyo unapotokea mkwamo wa kisiasa kama ulivyo sasa kwa huko Zanzibar, ambapo upande mmoja wa wananchi unasisitiza kuwa Tume ikamilishe 'kiporo' cha kutangaza matokeo yaliyokuwa yamebaki ambayo yalikuwa majimbo kama 18 hivi, wakati tayari walishatangaza matokeo ya majimbo 34 ambayo ni zaidi ya nusu.
Huku upande mwingine ambao ni watawala wa CCM waking'ang'ania msimamo wao kuwa ni lazima uchaguzi urudiwe, ndipo katika mazingira hayo inapolazimu utumie hatua hiyo ya kutafuta upande mwingine wa 3 ambao utaonekana kuwa neutral ili uweze kusuluhisha pande hizi 2 ambazo zimeshindwa kufikia maafikiano.
 
Ninaheshimu sana maoni yako kuwa siyo vyema sana kukimbilia Mataifa ya nje, hususani Mataifa magjaribi kupeleka malalamiko yanayohusu nchi yetu.
Hata hivyo unapotokea mkwamo wa kisiasa kama ulivyo sasa kwa huko Zanzibar, ambapo upande mmoja wa wananchi unasisitiza kuwa Tume ikamilishe 'kiporo' cha kutangaza matokeo yaliyokuwa yamebaki ambayo yalikuwa majimbo kama 18 hivi, wakati tayari walishatangaza matokeo ya msjimbo 34 ambayo ni zaidi ya nusu.
Huku upande mwingine ambao ni watawala wa CCM waking'ang'ania msimamo wao kuwa ni lazima uchaguzi urudiwe, ndipo katika mazingira hayo inapolazimu utafutwe upande mwingine wa tatu ambao unaonekana unaweza kusuluhisha pande hizi 2 ambazo zimeshindwa kufikia maafikiano.


Mkuu, naona tunakaribia makutano.

Watu wenye busara kubwa sana kuliko sisi wanajadili as we discuss here. Huoni ni vema tuwasubiri kwanza waje na tamko lao?

Tukutane tena hapa kwenye mtanange huu kama wakituambia imeshindikana. Sisi ni wamoja mkuu. Tutatue matatizo yetu kifamilia. Ni RAI tu mkuu.
 
Wazanzibari waishio Marekani waliandamana mjini Washington mpaka White House ya MAREKANI, huku wakiwa na ujumbe kuwa kuwaomba Marekani na jumuiya zingine ziingilie kati kutangazwa kwa mshindi wa uchaguzi wa Zanzibar.

Licha ya hayo, pia katika nchi ya OMAN, raia walifurahi sana pale Maalim Seif alipoiomba Tume imtangaze mshindi wa Zanzibar.

Ikumbukwe Maalim Seif ameahidi kama atakuwa Rais wa Zanzibar basi baada ya siku 100 itageuka na kuwa Singapore.

Kama utakumbuka katika kipindi hiki cha miaka mitano akiwa kama MAKAMU WA RAIS aliweza kuinua zao la karafuu kutoka sh 300 hapo awali mpaka sasa ni sh 2500 kwa kilo.

Wakimbizi wa kiuchumi,kuandamana Marekani haisaidii kila nchi ina mambo yake,Tanzania sio Burundi,hao ni vijana wa CUF wengi wao walikimbia wakati wa Mkapa wakijifanya wakimbizi wa kisiasa kumbe ni wakimbizi wa kubeba box,baadaye walishtukiwa.Wanajidai wamechoka wakati kila leo wanaleta container kibao za vyombo mitumba,je kama kungekuwa hakuna uhuru hiyo biashara wanafanyaje?
 
Tanzania is a sovereign state no other country has the right to intervene it's internal matters mi naona wanajisumbua tu walianzia uk sasa marekani mwisho wataenda somali.
 
Mkuu, naona tunakaribia makutano.

Watu wenye busara kubwa sana kuliko sisi wanajadili as we discuss here. Huoni ni vema tuwasubiri kwanza waje na tamko lao?

Tukutane tena hapa kwenye mtanange huu kama wakituambia imeshindikana. Sisi ni wamoja mkuu. Tutatue matatizo yetu kifamilia. Ni RAI tu mkuu.

Hivi CCM wangeshinda hao watu unaosema wana busara kuliko sisi wangekuwa kwenye mkutano wana-discuss? au discussion ni pale upinzani unaposhinda?.......

Hata Lowassa angetangaza matokeo yake Kabla ya NEC yakioonesha yeye kuongoza baada ya kujumlisha kura zake zote yangetokea hayo hayo......

Kwa kifupi tuna demokrasia uchwara....ambapo mpinzani ameshinda lakini inabidi apewe ruhusa ya kuongoza nchi na watu wanaosemekana kuwa na busara kuliko sisi......

Tunaelewa kuwa hii ni mara ya kwanza kutokea, ni kama CCM wameshtushwa hawakujiandaa.....jiulize kwanini hawakujiandaa toka 1992 waliporuhusu huu mfumo? Kama kweli hao watu wana busara kuliko sisi?........

Lakini liwe fundisho kuwa wajiandae na uchaguzi wa Tanzania ili ikitokea ya Zanzibari wasituletee hizo busara za magumashi......
 
Tanzania is a sovereign state no other country has the right to intervene it's internal matters mi naona wanajisumbua tu walianzia uk sasa marekani mwisho wataenda somali.

Tukija kujitegemea kama nchi, hiyo statement yako utaweza kuitoa duniani kwa kujiamini zaidi.....

Sio mda kama huu ambapo kuna MCC, USAID, PEPFAR n.k.....hiyo statement utaisema ukiwa na wasiwasi sana, huku ukijiuliza, vp wakibana tena MCC?.....
 
Wakimbizi wa kiuchumi,kuandamana Marekani haisaidii kila nchi ina mambo yake,Tanzania sio Burundi,hao ni vijana wa CUF wengi wao walikimbia wakati wa Mkapa wakijifanya wakimbizi wa kisiasa kumbe ni wakimbizi wa kubeba box,baadaye walishtukiwa.Wanajidai wamechoka wakati kila leo wanaleta container kibao za vyombo mitumba,je kama kungekuwa hakuna uhuru hiyo biashara wanafanyaje?

Ishu iliyopo hapa ni kwamba mda unaenda na hatuoni chochote kinachotendeka......zaidi ya blah blah tu.....

Kama hao viongozi wako wa CCM wangekuwa na busara na hekima kama tunavyoaminishwa, sa hivi tusingekuwa tunaongelea kwanini Zanzibar hawana wawakilishi na Rais toka uchaguzi ulivyofanyika mwezi mzima uliyopita........
 
Nani kawashikia waZanzibari mtutu kichwani kuwa uchaguzi ukirudiwa leo wasipige kura walivyofanya awali?

Mimi sijui sheria na KATIBA ya Zanzibar lakini nijuavyo mimi ni kuwa tume ya uchaguzi, ZEC, imesema imeona madudu kwenye uchaguzi uliopita na imetaka uchaguzi urudiwe.

Kwa sasa hivi pande zote zenye malalamiko ziko kwenye majadiliano ya usuluhishi. Hili la kuzungumzia majeshi ya kivamizi ya Tanganyika ni upuuzi mtupu. Yaani waZanzibari mnajisikia mpo karibu zaidi na Oman kuliko Tanganyika? - Eti raia wa Oman walifurahi sana!
  • Leo watu wanakwenda ikulu ya Marekani kuandamana ili Marekani iifanye nini Tanzania?
  • Je, mazungumzo ya usuluhishi yameshindikana kutatua hili tatizo?
  • Marekani ni nani katika muundo na Katiba ya serikali ya Zanzibar?
  • Ni kipi tusichoweza kukizungumza na kuelewana katika lugha yetu ya Kiswahili mpaka tuwaite waMarekani?
  • Kwa nini tusiwaite Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Ghana badala ya Marekani na Uingereza?
  • Hiki kiherehere cha kukimbilia nchi za magharibi chanzo chake ni kipi?

Nina maswali mengi najiuliza kwa hili na nakosa majibu. Matatizo tunayo - ndio, lakini hivi hatuwezi kukaa na kupata suluhu sisi wenyewe mpaka tukimbilie kwa "mabwana" zetu huko ulaya? This is pathetic.
we hujui kilichoko ndanindaniayanwazanzibari, mfumo wa muungano huu hawautaki! na sukiongezagezahilihlaikufutwautwa uchaguzi hali mbaya kabisaa! chumvi imetiwa kidondani!!ni
 
Nimeshakwambia kuwepo kwako huko wakati huo hakukupi advantage yeyote ukilinganisha na mtu mwingine hata kama hakuwepo huko as long as huyo mtu aliamua kutumia muda wake kufuatilia uchaguzi huo....

Labda nikuulize swali....ulikuwepo Florida kulikokuwa na matatizo au ulikuwepo kwenye jimbo lingine ? Hata kama ulikuwa Florida ulikuwepo kwenye kila eneo lililokuwa na matatizo na ulihoji kila mhusika wewe binafsi? Si na wewe ulikuwa unafuatilia vyombo vya habari kupata habari za uchaguzi ? Sasa vyombo gani vya habari ulivyokuwa unavifuatilia ambavyo wengine hatuna access navyo ?!

Issues zilizokuwa zinatokea zilikuwa zinarepotiwa, CNN, Fox News, Abc News, Aljazeera, BBC News na vyombo vingine vingi. Channels zote hizo pamoja na websites zao zote si zilikuwa zinapatikana Europe na sehemu nyingine duniani.....

Huwezi kujifanya wewe unajua zaidi, eti kisa ulikuwa Marekani, wakati wote (ikiwa ni pamoja na wewe) tulikuwa tunafuatilia vyombo hivyo hivyo vya habari......unless wewe huko Marekani ulikuwa na waandishi wako binafsi ambao walikuwa maeneo yote na waka-happen kupata habari ambazo waandishi wengine hawakuwa na access nazo !.


jebibay

Mimi sihitaji ku-google, nilikuwepo katika uchaguzi ule wa Gore na Bush. Kura kadhaa za Gore zilitupiliwa mbali kwa ajili ya technicalities zinazohusu zile voting machines za Florida. Hii ilikuwa mbaya zaidi kuliko ya Jecha kusema kulikuwa na irregularities za uchaguzi na kusema urudiwe.

Marekani wana legal system yao na tunajua ni nani hasa anaeamua nani mshindi - sio wananchi. Hayo tuwaachie wao.

Sisi waMatumbi kweli hatuwezi kukaa chini na kutatua haya matizo wenyewe mpaka tukalielie milangoni mwa ikulu za hizi nchi za magharibi?
 
Wakimbizi wa kiuchumi,kuandamana Marekani haisaidii kila nchi ina mambo yake,Tanzania sio Burundi,hao ni vijana wa CUF wengi wao walikimbia wakati wa Mkapa wakijifanya wakimbizi wa kisiasa kumbe ni wakimbizi wa kubeba box,baadaye walishtukiwa.Wanajidai wamechoka wakati kila leo wanaleta container kibao za vyombo mitumba,je kama kungekuwa hakuna uhuru hiyo biashara wanafanyaje?

Wakiwa bongo mzee wako alokuzaa anajigonga gonga.
 
Issue hapa sio kwamba wao wana huruma au kitu gani, ule ulikuwa mfano tu, issue ni kwamba wana interests gani ?!. Moja ya interests zao zinaweza zikawa hizo ulizozisema na mimi sipingi hilo.......ila tunajua vile vile kwamba interest yao nyingine ni kukua kwa demokrasia katika nchi husika na ndio maana nchi ambazo hazina demokrasia mara nyingi huwa hawawapi misaada... Na sisi tunapokwenda kulalamika kwao, tunakwenda na ku-appeal kwenye hiyo hiyo misingi yao na hivyo kuweka pressure kwa hawa CCM ambao hao ni mabwana zao wanaoenda kutembeza bakuli kila uchwao.......Ni kuweka pressure tu ndugu yangu, kitu gani huelewi hapo ?. Kama CCM inaonaa aibu na haitaki kutangazwa vibaya kwa mabwana zake, si wawape wanachi wake haki yao ? Wamemchagua Maalimu Seif, kigugumizi kinatoka wapi, wampe ushindi wake na kama hawako tayari kutoa haki, then wawe tayari kwa pressure kutoka kila upande.......

Statement ya blue hapo chini, inawafaa sana CCM maana wao ndio kila uchwao wanakwenda kutembeza bakuli huko nchi za magharibi mpaka deni limefikia trillion 40 !...

Tatizo lingine ninaloliona kwenye maelezo yako ni hapo nilipopawekea rangi nyekundu (hapo uliposema Na sisi). Unapowanyanyasa wananchi wako wanaomini katika itikadi nyingine na kuonyesha kwamba wewe tu ndio unatakiwa kuwa madarakani, halafu wananchi hao wanapokwenda kukusemea kwa mabwana zako (hao wa magharibi ni mabwana wa CCM sababu wao ndio kila siku wanakwenda kutembeza bakuli huko), then unapojifanya kuzungumzia umoja wetu sote (kama vile sisi ni wamoja) unakuwa unashangaza sana........

Kwa hiyo nyie CCM msiongelee usisi as if tu wamoja na kujifanya kutujumuisha pale mnapobanwa tu, ila pale mnapotunyanyasa wengine hilo la usisi mnaliweka kando........


Yani unadhani haya mataifa ya magharibi yanatusaidia kwa sababu wanatuonea huruma kwa dhiki yetu? Hawa wanafanya hivyo kupata spheres of influence na kutufanya sisi tuwe tegemezi kwao. Na zaidi tunavyojionesha tegemezi ndio wanapotupa masharti mengi zaidi na kupoteza uhuru wetu.

Walifanya hivyo kwa China hizo siku za nyuma lakini China wakaamua kujizatiti wenyewe na kufanya maamuzi yao magumu mpaka sasa wamewapita kiuchumi. Leo hii mataifa ya magharibi wanakwenda kukopa Uchina na wameufyata.

Na sisi ni lazima tuanze kuonesha kuwa tunaweza kujitegemea na kuweza kutoa maamuzi magumu wenyewe. Sasa kama swala la kurudia uchaguzi u tni mpaka tukawalilie Marekani na Uingereza haya kama watu wa vyama tofauti wangechinjana (Mungu apishilie mbali) si ndio tungewaita waje watutawale tena bayana.

Acheni haya mambo jamani.

Tatizo Zanzibar lipo na tunakubali. Lakini naamini tunaweza kulitatua wenyewe.
 
Wakiwa bongo mzee wako alokuzaa anajigonga gonga.
Mimi na Wapemba wapi na wapi wao ndio hujigonga gonga kwangu,kwani wanalia kodi ya nyumba zangu walizopanga niwapunguzie,pia wanalia niwauzie viwanja vyangu ili wajenge nyumba wanadai kwao ni shida tupu ,umasikini umetopea.Mimi naende ughaibuni kutembea na sio kwenda kufanya maandamano,wengi wao tumewaona wakiwa huko ughaibuni na shughuli wanazofanya afadhali waje tu niwape mashamba ya kulima au waje wafufue zao la mwami
 
Mimi na Wapemba wapi na wapi wao ndio hujigonga gonga kwangu,kwani wanalia kodi ya nyumba zangu walizopanga niwapunguzie,pia wanalia niwauzie viwanja vyangu ili wajenge nyumba wanadai kwao ni shida tupu ,umasikini umetopea.Mimi naende ughaibuni kutembea na sio kwenda kufanya maandamano,wengi wao tumewaona wakiwa huko ughaibuni na shughuli wanazofanya afadhali waje tu niwape mashamba ya kulima au waje wafufue zao la mwami

ungaliwaambia hao watoto wa viongozi wa CCM kwani ndio wa kwanza kupelekwa ulaya , Marekani na Canada eti wanakimbia dhuluma za CCM wao ni CUF au tukuwekee hapa majina yao ???
 
I stand corrected. Asante kwa sahihisho lako.

Kwani unafikiri mimi namtetea Jecha? La.

Sasa hivi Maalim, Dr. Shein, maraisi wa zamani (wote CCM) wanakutana au walishakutana chini ya ushauri wa UN, EU, AU, kutatua hili tatizo.

Ningefurahi kama katika hii timu ya usuluhishi kungekuwa na wataalam wachache wa sheria wa CUF (kama wapambe wa Maalim).

Basi tuwe na subira. Tuwape muda tuone kama watakuja na suluhisho. Tusikimbilie ikulu ya Marekani kwanza.


 
Last edited by a moderator:
Marekani walikuwa na mgogoro wao mkubwa sana wa kiuchaguzi (Al Gore vs. George W. Bush) mwaka 1999/2000.

Hivi waMarekani waishio Tanzania waliandamana mpaka Magogoni kwa Mkapa kushinikiza Al Gore apewe ushindi?

Mbona tunauendeleza huu utumwa jamani?

Mara tumekimbilia ikulu ya Marekani, mara ikulu ya Uingereza? Si afadhali haya maandamano yangekwenda Umoja wa Mataifa New York au Geneva ningeelewa? Tumekuwa kama watot o jamani. Ukisukumwa kidogo unakimbia kwa mama kulia na kulalamika.

Ya Rabbi, tutakuja jitawala lini sisi waMatumbi?
Chini ya CCM daima hatuwezi jitawala.Kujitawala kwatakiwa kujiamini na kujiamini kwatakiwa kujitegemea.% kadhaa ya bajeti ya nchi hii yategemea wahisani na wafadhili, huku serikali ya CCM ikiwekeza raslimali zetu kwa masharti nafuu, matokeo yake twabaki kuwaomba haohao misaada. What d'you expect?Ubinafsi umetutawala.Hayo masharti nafuu ya uwekezaji ni kwa ajili ya kupata 10% halafu twalalamika.Kwa ajili hiyo ushindi kwa CCM ni lazima vinginevyo hizo 10% hazitakuwepo.Na maarifa ya kushinda tunayo hata ikibidi kwa goli la mkono,pia hatuwezi kabidhi nchi kwa makaratasi.
 
Nimeshakwambia kuwepo kwako huko wakati huo hakukupi advantage yeyote ukilinganisha na mtu mwingine hata kama hakuwepo huko as long as huyo mtu aliamua kutumia muda wake kufuatilia uchaguzi huo....

Labda nikuulize swali....ulikuwepo Florida kulikokuwa na matatizo au ulikuwepo kwenye jimbo lingine ? Hata kama ulikuwa Florida ulikuwepo kwenye kila eneo lililokuwa na matatizo na ulihoji kila mhusika wewe binafsi? Si na wewe ulikuwa unafuatilia vyombo vya habari kupata habari za uchaguzi ? Sasa vyombo gani vya habari ulivyokuwa unavifuatilia ambavyo wengine hatuna access navyo ?!

Issues zilizokuwa zinatokea zilikuwa zinarepotiwa, CNN, Fox News, Abc News, Aljazeera, BBC News na vyombo vingine vingi. Channels zote hizo pamoja na websites zao zote si zilikuwa zinapatikana Europe na sehemu nyingine duniani.....

Huwezi kujifanya wewe unajua zaidi, eti kisa ulikuwa Marekani, wakati wote (ikiwa ni pamoja na wewe) tulikuwa tunafuatilia vyombo hivyo hivyo vya habari......unless wewe huko Marekani ulikuwa na waandishi wako binafsi ambao walikuwa maeneo yote na waka-happen kupata habari ambazo waandishi wengine hawakuwa na access nazo !.

Sasa mkuu mbona tunarukia udadavuzi wa siasa za Wamarekani? Waache wajadili yao na sisi tugange yetu.

Tuna zigo kubwa liko mbele yetu tulitatue hilo kwanza. Hili ndio linalotuhusu - tuelekeze nguvu zetu huko.

Ukitaka kuniingiza kwenye maswala ya marekani utapwelea kwani mimi sitegemei habari kutoka hivi vyombo vinavyoitwa "main-stream media" kama CNN, FOX, BBC, nk. Eti FOX News? Wewe unachekesha sana. Kama ndiko unakoaminia kutapa taarifa zako basi wala usinisumbue. Huniwezi.
 
Issue hapa sio kwamba wao wana huruma au kitu gani, ule ulikuwa mfano tu, issue ni kwamba wana interests gani ?!. Moja ya interests zao zinaweza zikawa hizo ulizozisema na mimi sipingi hilo.......ila tunajua vile vile kwamba interest yao nyingine ni kukua kwa demokrasia katika nchi husika na ndio maana nchi ambazo hazina demokrasia mara nyingi huwa hawawapi misaada... Na sisi tunapokwenda kulalamika kwao, tunakwenda na ku-appeal kwenye hiyo hiyo misingi yao na hivyo kuweka pressure kwa hawa CCM ambao hao ni mabwana zao wanaoenda kutembeza bakuli kila uchwao.......Ni kuweka pressure tu ndugu yangu, kitu gani huelewi hapo ?. Kama CCM inaonaa aibu na haitaki kutangazwa vibaya kwa mabwana zake, si wawape wanachi wake haki yao ? Wamemchagua Maalimu Seif, kigugumizi kinatoka wapi, wampe ushindi wake na kama hawako tayari kutoa haki, then wawe tayari kwa pressure kutoka kila upande.......

Statement ya blue hapo chini, inawafaa sana CCM maana wao ndio kila uchwao wanakwenda kutembeza bakuli huko nchi za magharibi mpaka deni limefikia trillion 40 !...

Tatizo lingine ninaloliona kwenye maelezo yako ni hapo nilipopawekea rangi nyekundu (hapo uliposema Na sisi). Unapowanyanyasa wananchi wako wanaomini katika itikadi nyingine na kuonyesha kwamba wewe tu ndio unatakiwa kuwa madarakani, halafu wananchi hao wanapokwenda kukusemea kwa mabwana zako (hao wa magharibi ni mabwana wa CCM sababu wao ndio kila siku wanakwenda kutembeza bakuli huko), then unapojifanya kuzungumzia umoja wetu sote (kama vile sisi ni wamoja) unakuwa unashangaza sana........

Kwa hiyo nyie CCM msiongelee usisi as if tu wamoja na kujifanya kutujumuisha pale mnapobanwa tu, ila pale mnapotunyanyasa wengine hilo la usisi mnaliweka kando........

Nimekusoma na kukuelewa vizuri sana.


Kutokana na maelezo yako, pamoja na jazba uliokuwa nayo, mimi naona hatuzungumzii tena haya matatizo ya uchaguzi wa mwaka huu bali shida yako kuu ni huu MUUNGANO. Muungano sio ulioleta hii tafrani ya sasa. Ni katiba ya NCHI YA ZANZIBAR ndio inayotutafuna muda huu. Kama umepoteza kitu, ukijaribu kukitafuta anzia chini miguuni pako kwanza. Unaweza kuhangaika kutafuta miwani yako kumbe iko juu ya kichwa chako. Tafakari kama wewe ni mjuvi.


Kitu kingine, sasa sijui huku kuandamana mpaka ikulu ya Marekani kutasaidia kuuvunja huu muungano. Swala la muungano ni la kikatiba. Subiri bunge la katiba likianza urudi tujadili.
 
Marekani walikuwa na mgogoro wao mkubwa sana wa kiuchaguzi (Al Gore vs. George W. Bush) mwaka 1999/2000.

Hivi waMarekani waishio Tanzania waliandamana mpaka Magogoni kwa Mkapa kushinikiza Al Gore apewe ushindi?

Mbona tunauendeleza huu utumwa jamani?

Mara tumekimbilia ikulu ya Marekani, mara ikulu ya Uingereza? Si afadhali haya maandamano yangekwenda Umoja wa Mataifa New York au Geneva ningeelewa? Tumekuwa kama watoto jamani. Ukisukumwa kidogo unakimbia kwa mama kulia na kulalamika.

Ya Rabbi, tutakuja jitawala lini sisi waMatumbi? Dooo!

Ccm itakapokaa benchi
 
Back
Top Bottom