Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,635
- 8,955
Unataka mimi nitoe kauli gani kuhusu hili swala?
Vincit Omnia Veritas .....
Kwani wamarekani ni nani katika mgogoro wa kisiasa ZNZ?? Hivi waZNZ na wa TZ kwa ujumla hatuwezi kutatua tatizo la ZNZ hadi wamarekani na wengine waingilie kati???
"Truth conquers everything" ndivyo unavyosema. Ukweli ni upi sasa, mi naona utata mtupu. Tusubiri suluhisho JD. Acha sarakasi hizo hazitatufikisha popote.
Nashangaa mkuu.
Kwani wamarekani ni nani katika mgogoro wa kisiasa ZNZ?? Hivi waZNZ na wa TZ kwa ujumla hatuwezi kutatua tatizo la ZNZ hadi wamarekani na wengine waingilie kati???
so you don't have any plan b??do something to rescue the situation please,but i think we have a catholic presdzaa-hopeful this will makematters more complicated.ANYWAY do you have any idea on who is organizing those "matching of the few zanzibaris" abroad?tumevamiwa na kanisa katoliki hivi ni vita vya kidini , si ulimsikia Lukuvi kule kanisani aliongea kitu gani ??
so you don't have any plan b??do something to rescue the situation please,but i think we have a catholic presdzaa-hopeful this will makematters more complicated.ANYWAY do you have any idea on who is organizing those "matching of the few zanzibaris" abroad?
lukuvi ni mbunge kama wabunge wengine tuuHivi hujamsikia Lukuvi alichoongea??
lukuvi ni mbunge kama wabunge wengine tuu
utaharibu hii mada bure,jambo la msingi nawashangaa mnaibiwa kweupe,na wewe ukiwepoile hotuba aliyoitoa kanisani aliongea kama nani pale ?? au hujamsikia
Umeona lakini nilivyoshauri kitu kinachotokea sasa? Complete vindication. Muafaka uliofikiwa visiwani ni kuwa UCHAGUZI UNARUDIWA.
Wewe yero pamoja na Jack Daniel's huwa mna vichwa vigumu sana lakini kama mngekuwa mnasikiliza nasaha zangu mngeona kuwa siku zote niko sahihi. Mnakumbuka sakata letu la uchaguzi wa bara aliloanzisha JD - to his credit?
Muwe mnawasikiliza wazee wenu. Saa nyingine hawa wazee wanajua mengi kwa ajili ya kuona mengi.
Cheers.
Mkuu Kifyatu I had to take a vacay after uchaguzi...LOL!
Kumbe kuna sakata lingine limeanza?!, ngoja nkalivalie bukta...