Mgogoro wa Zanzibar watinga Ikulu ya Marekani

Mgogoro wa Zanzibar watinga Ikulu ya Marekani

wamefanya hvo kwa sababu marekani ndio muasisi na msimamiz wa siasa za kidemokrasia

Kwa taarifa yako Marekani hawafuati siasa za DEMOCRACY. Waofuata siasa ya PLUTOCRACY.

Ka-google uone tofauti yake.

Marekani ina tafsiri nzuri sana ya siasa ya demokrasia lakini wenyewe hawaifuati.
 
Sasa ni lini tutajitegemea kutatua matatizo yetu wenyewe?

Huu ndio utumwa ninaouzungumza kuwa tu tunajitwika wenyewe.

NA UTUMWA HUU WA CCM UTAUITAJE ??

 
Last edited by a moderator:
Wazanzibari waishio Marekani waliandamana mjini Washington mpaka White House ya MAREKANI, huku wakiwa na ujumbe kuwa kuwaomba Marekani na jumuiya zingine ziingilie kati kutangazwa kwa mshindi wa uchaguzi wa Zanzibar.

Licha ya hayo, pia katika nchi ya OMAN, raia walifurahi sana pale Maalim Seif alipoiomba Tume imtangaze mshindi wa Zanzibar.

Ikumbukwe Maalim Seif ameahidi kama atakuwa Rais wa Zanzibar basi baada ya siku 100 itageuka na kuwa Singapore.

Kama utakumbuka katika kipindi hiki cha miaka mitano akiwa kama MAKAMU WA RAIS aliweza kuinua zao la karafuu kutoka sh 300 hapo awali mpaka sasa ni sh 2500 kwa kilo.


Mbona tayari unaonyesha upande wako
 
Nani kawashikia waZanzibari mtutu kichwani kuwa uchaguzi ukirudiwa leo wasipige kura walivyofanya awali?

Mimi sijui sheria na KATIBA ya Zanzibar lakini nijuavyo mimi ni kuwa tume ya uchaguzi, ZEC, imesema imeona madudu kwenye uchaguzi uliopita na imetaka uchaguzi urudiwe.

Kwa sasa hivi pande zote zenye malalamiko ziko kwenye majadiliano ya usuluhishi. Hili la kuzungumzia majeshi ya kivamizi ya Tanganyika ni upuuzi mtupu. Yaani waZanzibari mnajisikia mpo karibu zaidi na Oman kuliko Tanganyika? - Eti raia wa Oman walifurahi sana!
  • Leo watu wanakwenda ikulu ya Marekani kuandamana ili Marekani iifanye nini Tanzania?
  • Je, mazungumzo ya usuluhishi yameshindikana kutatua hili tatizo?
  • Marekani ni nani katika muundo na Katiba ya serikali ya Zanzibar?
  • Ni kipi tusichoweza kukizungumza na kuelewana katika lugha yetu ya Kiswahili mpaka tuwaite waMarekani?
  • Kwa nini tusiwaite Kenya, Uganda, Afrika Kusini, Ghana badala ya Marekani na Uingereza?
  • Hiki kiherehere cha kukimbilia nchi za magharibi chanzo chake ni kipi?

Nina maswali mengi najiuliza kwa hili na nakosa majibu. Matatizo tunayo - ndio, lakini hivi hatuwezi kukaa na kupata suluhu sisi wenyewe mpaka tukimbilie kwa "mabwana" zetu huko ulaya? This is pathetic.


MOHAMMED SHAMTE WAZIRI MKUU WA KWANZA ZANZIBAR PAMOJA NA MAWAZIRI WENZAKE WAMEWEKWA NDANI NA NYERERE NCHINI TANGANYIKA KABLA YA HATA HUO UNAOUITA MUUNGANO HAUJAANZISHWA 1964

KAMA SIO UVAMIZI UTAITA NDIO MUUNGANO HUO ????

HILO JESHI LILILOMWAGWA ZNZ PAMOJA NA VIFARU VINAFANYA NINI ZAIDI YA KULINDA UVAMIZI ??


Tume imefuta uchaguzi baada ya jeshi la kivamizi la Tanganyika JWTZ kuzingira kituo cha matangazo na kuondoka na mwenyekiti wa tume ambaye record ya video ya kuufuta uchaguzi ilionyeshwa kwenye tv .

Mpaka wakati huu Mwenyekiti wa Tume yuko chini ya ulinzi wa WAVAMIZI kutoa Tanganyika
 
nani kawashikia wazanzibari mtutu kichwani kuwa uchaguzi ukirudiwa leo wasipige kura walivyofanya awali?

Mimi sijui sheria na katiba ya zanzibar lakini nijuavyo mimi ni kuwa tume ya uchaguzi, zec, imesema imeona madudu kwenye uchaguzi uliopita na imetaka uchaguzi urudiwe.

Kwa sasa hivi pande zote zenye malalamiko ziko kwenye majadiliano ya usuluhishi. Hili la kuzungumzia majeshi ya kivamizi ya tanganyika ni upuuzi mtupu. Yaani wazanzibari mnajisikia mpo karibu zaidi na oman kuliko tanganyika? - eti raia wa oman walifurahi sana!
  • leo watu wanakwenda ikulu ya marekani kuandamana ili marekani iifanye nini tanzania?
  • je, mazungumzo ya usuluhishi yameshindikana kutatua hili tatizo?
  • marekani ni nani katika muundo na katiba ya serikali ya zanzibar?
  • ni kipi tusichoweza kukizungumza na kuelewana katika lugha yetu ya kiswahili mpaka tuwaite wamarekani?
  • kwa nini tusiwaite kenya, uganda, afrika kusini, ghana badala ya marekani na uingereza?
  • hiki kiherehere cha kukimbilia nchi za magharibi chanzo chake ni kipi?

nina maswali mengi najiuliza kwa hili na nakosa majibu. Matatizo tunayo - ndio, lakini hivi hatuwezi kukaa na kupata suluhu sisi wenyewe mpaka tukimbilie kwa "mabwana" zetu huko ulaya? This is pathetic.


swali ,


ni kwa nini nyerere alimkamata waziri mkuu wa zanzibar na mawaziri wengine na akawafunga kwenye jela za tanganyika kabla ya huo muungano 1964 ???

Ni kwa nini jwtz likazingira ofisi yz tume na kumkamata mwenyekiti na kumpeleka kutoa taarifa kupitia video kwenye tv ???

Ni kwa nini mpaka wakati huu mwenyekiti wa tume ameshikiliwa na vyombo vya usalama ???

Ni kwa nini vifaru na wanajeshi wanatembea mitaani zanzibar mpaka wakati huu ???
 
MOHAMMED SHAMTE WAZIRI MKUU WA KWANZA ZANZIBAR PAMOJA NA MAWAZIRI WENZAKE WAMEWEKWA NDANI NA NYERERE NCHINI TANGANYIKA KABLA YA HATA HUO UNAOUITA MUUNGANO HAUJAANZISHWA 1964

KAMA SIO UVAMIZI UTAITA NDIO MUUNGANO HUO ????

HILO JESHI LILILOMWAGWA ZNZ PAMOJA NA VIFARU VINAFANYA NINI ZAIDI YA KULINDA UVAMIZI ??


Tume imefuta uchaguzi baada ya jeshi la kivamizi la Tanganyika JWTZ kuzingira kituo cha matangazo na kuondoka na mwenyekiti wa tume ambaye record ya video ya kuufuta uchaguzi ilionyeshwa kwenye tv .

Mpaka wakati huu Mwenyekiti wa Tume yuko chini ya ulinzi wa WAVAMIZI kutoa Tanganyika

Jamani, kama watu wana uhakika kuwa ni nani mshindi, alieshinda, au atakaeshinda (na nitafurahi kama maalim akishinda) kwa nini CUF wanakataa kurudia huu uchaguzi? Ni vitu gani vilivyotokea/vilivyofanyika katika uchaguzi wa Octoba 25 ambavyo vitabalika kama huu uchaguzi ukirudiwa leo?

Kama madudu wanayoyasema ZEC kuwa yalitokea ni uzushi tu basi uchaguzi ukirudiwa matokeo yatakuwa yaleyale tu.

Hapa sio kama Dr. Shein anawekwa madarakani kwa mtutu wa JWTZ. Uchaguzi ukirudiwa wananchi hawatashikiwa mtutu kichwani wamchague Dr. Shein au Maalim. Kila mtu atapiga kura kama alivyopiga awali - tatizo liko wapi?

cc. Gavana
 
Last edited by a moderator:
Jamani, kama watu wana uhakika kuwa ni nani mshindi, alieshinda, au atakaeshinda (na nitafurahi kama maalim akishinda) kwa nini CUF wanakataa kurudia huu uchaguzi? Ni vitu gani vilivyotokea/vilivyofanyika katika uchaguzi wa Octoba 25 ambavyo vitabalika kama huu uchaguzi ukirudiwa leo?

Kama madudu wanayoyasema ZEC kuwa yalitokea ni uzushi tu basi uchaguzi ukirudiwa matokeo yatakuwa yaleyale tu.

Hapa sio kama Dr. Shein anawekwa madarakani kwa mtutu wa JWTZ. Uchaguzi ukirudiwa wananchi hawatashikiwa mtutu kichwani wamchague Dr. Shein au Maalim. Kila mtu atapiga kura kama alivyopiga awali - tatizo liko wapi?

cc. Gavana


TATIZO UTARUDIWA VIPI NA KWA SHERIA GANI ZA UCHAGUZI ???

TAFADHALI MSIKILIZE HUYU ALIYEIANDIKA HII KATIBA , ANASEMA KITU GANI , YEYE NI CCM NA X- MWANASHERIA MKUU

NDIPO UTAJUA ZANZIBAR IMEVAMIWA NA NANI ???



 
Last edited by a moderator:
TATIZO UTARUDIWA VIPI NA KWA SHERIA GANI ZA UCHAGUZI ???

TAFADHALI MSIKILIZE HUYU ALIYEIANDIKA HII KATIBA , ANASEMA KITU GANI , YEYE NI CCM NA X- MWANASHERIA MKUU

NDIPO UTAJUA ZANZIBAR IMEVAMIWA NA NANI ???





Mkuu zec hakuna sheria wala katiba inayowaruhusu kufuta uchaguzi wote.kama walihisi kuna madudu walitakiwa kufuta matokeo kwenye kituo chenye matatizo sio uchaguzi wote.mbona hadi Leo CCM hawajaonesha fomu zao za malalamiko walizozijaza vituoni siku ya kupiga kura.

Ukiambiwa jiambie usikurupuke.
 
Last edited by a moderator:
TATIZO UTARUDIWA VIPI NA KWA SHERIA GANI ZA UCHAGUZI ???

TAFADHALI MSIKILIZE HUYU ALIYEIANDIKA HII KATIBA , ANASEMA KITU GANI , YEYE NI CCM NA X- MWANASHERIA MKUU

NDIPO UTAJUA ZANZIBAR IMEVAMIWA NA NANI ???






Nimemsikiliza huyu mwanasheria na nimemuelewa vizuri sana. Na watu waliobobea katika sheria na Katiba ya Zanzibar kama huyu bwana ndio walioko katika majadiliano ya kupata suluhisho la mgogoro huu. Mazungumzo haya bado yanaendelea na hatujaambiwa kuwa yameshindikana au kuna mfarakano kati yao.

Sasa hiki kitendo cha kuandamana kwenda ikulu ya Marekani faida yake ni nini?

Au wewe unaposema Zanzibar imevamiwa na JWTZ kama si uchochezi huu ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Marekani hawakuwa na mgogoro mkubwa sana kama unavyodai......ulikuwa ni mgogoro wa kawaida wa uchaguzi ila ungekuwa kwetu huku probably ungekuzwa na kuwa mkubwa na manyang'au kama maCCM !. Ilikuwa ni issues inayohusiana na technolojia katika kupiga na kuhesabu kura na ilikuwa kwenye jimbo moja tu (Florida) na hawakufuta uchaguzi wote kama ilivyotokea hapa kwetu....

Issue iliamuliwa na mahakama kwamba Bush ndio mshindi wa hilo jimbo (very peaceful)......sasa ulitaka maandamano ya nini wakati kuna taratibu zao nzuri na za kistaarabu ikiwa ni pamoja na kwenda mahakamani kudai haki zilifuatwa na maamuzi yakatoka ?

By the way hawakuishia hapo, pamoja na kwamba mahakama iliamua hivyo zile kura zilihesabiwa moja moja manually baadaye na baada ya miezi kadhaa wakatoa matokeo na kuthibithisha kwamba, indeed Bush alishinda ingawa hata kama Algore angekuwa ameshinda mambo yangeendelea kubaki kama yalivyoamuliwa na mahakama....lakini pamoja na hayo bado walitaka wajiridhishe !

Sasa unawezaje kulinganisha Tz na Marekani hapo ? Hapa Tz, matokeo hayaruhusiwi kuhojiwa mahakamani, watu hawaruhusiwi kuandamana......sasa wakiandamana kwenye nchi ambazo zinaruhusu maandamano wewe kinakuuma nini ?

Marekani walikuwa na mgogoro wao mkubwa sana wa kiuchaguzi (Al Gore vs. George W. Bush) mwaka 1999/2000.

Hivi waMarekani waishio Tanzania waliandamana mpaka Magogoni kwa Mkapa kushinikiza Al Gore apewe ushindi?

Mbona tunauendeleza huu utumwa jamani?

Mara tumekimbilia ikulu ya Marekani, mara ikulu ya Uingereza? Si afadhali haya maandamano yangekwenda Umoja wa Mataifa New York au Geneva ningeelewa? Tumekuwa kama watoto jamani. Ukisukumwa kidogo unakimbia kwa mama kulia na kulalamika.

Ya Rabbi, tutakuja jitawala lini sisi waMatumbi? Dooo!
 
Eti uhuru ! Uhuru wakati hela ya kuhudumia wananchi wako wanakupa wao ! Hata huo uchaguzi wenyewe walichangia hela....sasa unataka ulingane nao !

Tume ipi hiyo unayoiongelea wewe ? Tofautisha kati ya tume na mtu binafsi Jecha......Aliyefuta uchaguzi ni Jecha na sio ZEC !

Mawazo ya kitumwa wanayo serikali yako ya CCM ambayo kila uchwao wanaenda kutembeza bakuli huko nchi za magharibi.....

Unadhani Marekani wataifanya nini Tanzania kama imeamua kurudia uchaguzi wa Zanziabar? Yaani hujui maana ya nchi huru? Kila siku kulialia kwenye mataifa ya magharibi kwa vijitatizo vidogo vidogo?

Hapa sio kuwa Zanzibar imepinduliwa. Tume yao wenyewe (ZEC) imefuta uchaguzi na kutaka urudiwe. Marekani wanaambiwa hili ili wafanye nini?

Hivi haya mawazo ya kitumwa jamani bado wengine wanayo tu?
 
Marekani hawakuwa na mgogoro mkubwa sana kama unavyodai......ulikuwa ni mgogoro wa kawaida wa uchaguzi ila ungekuwa kwetu huku probably ungekuzwa na kuwa mkubwa na manyang'au kama maCCM !. Ilikuwa ni issues inayohusiana na technolojia katika kupiga na kuhesabu kura na ilikuwa kwenye jimbo moja tu (Florida) na hawakufuta uchaguzi wote kama ilivyotokea hapa kwetu....

Issue iliamuliwa na mahakama kwamba Bush ndio mshindi wa hilo jimbo (very peaceful)......sasa ulitaka maandamano ya nini wakati kuna taratibu zao nzuri na za kistaarabu ikiwa ni pamoja na kwenda mahakamani kudai haki zilifuatwa na maamuzi yakatoka ?

By the way hawakuishia hapo, pamoja na kwamba mahakama iliamua hivyo zile kura zilihesabiwa moja moja manually baadaye na baada ya miezi kadhaa wakatoa matokeo na kuthibithisha kwamba, indeed Bush alishinda ingawa hata kama Algore angekuwa ameshinda mambo yangeendelea kubaki kama yalivyoamuliwa na mahakama....lakini pamoja na hayo bado walitaka wajiridhishe !

Sasa unawezaje kulinganisha Tz na Marekani hapo ? Hapa Tz, matokeo hayaruhusiwi kuhojiwa mahakamani, watu hawaruhusiwi kuandamana......sasa wakiandamana kwenye nchi ambazo zinaruhusu maandamano wewe kinakuuma nini ?

Usidanganye watu wewe.

Mimi nimeishi hapa marekani miaka nenda miaka rudi na nilikuwepo kipindi kile cha mgogoro wa uchaguzi. In fact ulikuwa ni mgogoro mkubwa/mbaya sana na wa hatari kwa demokrasia ya Marekani kuliko huu wa Zanzibar.

Kwa mara ya kwanza katika chaguzi za rais za Marekani, Bush alipewa uraisi bila ya kuwa na wingi wa kura. (Alipata wingi wa electoral vote kwa ajili ya madudu yaliotokea Florida). Ilikuwa ni busara tu ya Al Gore kusema basi yaishe.

Mahakama (supreme court) ya Marekani ilioamua (5-4 votes) ilijaa Republicans (chama cha Bush). Kwa Tanzania ni sawa na kuwaambia CCM watoe mahakimu ambao ni makada wao ili waamue kama Maalim ameshinda au la.

Tatizo la Zanzibar linatatulika.

Kuna wanasheria wazalendo waliobobea Zanzibar na wakitaka wanaweza kuleta wasuluhishi kutoka nchi nyingine za kiAfrika wakasaidia. Mazungumzo bado yanaendelea na hatujasikia kuwa yameshindikana. Kwa nini hatuna imani na wataalam wetu wenyewe wa kisheria, hasa waliopo Zanzibar kutatua matizo yetu? Marekani walitumia Supreme Court yao kutoa uamuzi. Mimi sikuridhika nao lakini ilibidi watu wakubali hata kama ni kwa shingo upande.

Lakini angalia sisi. Wanataaluma wetu wanaendelea kujadiliana sisi tunakimbilia kuandamana mpaka ikulu ya Marekani - ili Marekani wafanye nini?
 
Eti uhuru ! Uhuru wakati hela ya kuhudumia wananchi wako wanakupa wao ! Hata huo uchaguzi wenyewe walichangia hela....sasa unataka ulingane nao !

Tume ipi hiyo unayoiongelea wewe ? Tofautisha kati ya tume na mtu binafsi Jecha......Aliyefuta uchaguzi ni Jecha na sio ZEC !

Mawazo ya kitumwa wanayo serikali yako ya CCM ambayo kila uchwao wanaenda kutembeza bakuli huko nchi za magharibi.....

Daaah. Hii shida sana.

Labda Mfano Utasaidia:
Tuchukulie mfano kuwa wewe ni rafiki yangu na kila ninapokwama unanisaidia kifedha kujikimu mimi na familia yangu. Itokee mimi na mama watoto wangu tuna mfarakano wa kawaida nyumbani kwetu.

  • Hivi unategemea kuwa lazima tuje mlangoni kwako tukufahamishe kuwa tuna ugomvi?
  • Kama wazee wetu wakiwa wanaendelea kutusuluhisha, bado unadhani ni busara tupite kwa wahisani wetu wote tukilalamika kuwa tunagombana?

Kitendo hiki ndicho ninachokiona kinatudhalilisha sana sisi waTanzania lakini pia waAfrika wote kwa ujumla wetu. Hatujiamini kama tunaweza kutatua matatizo yetu sisi wenyewe. Kila likitokea tatizo tunakimbilia mataifa ya magharibi.

Kwa mwendo huu tusishangae wanapotudharau ingawaje sisi ni mataajiri wakubwa sana wa rasilmali.

Eee Mwenyezi Mungu tusaidie.
 
Tume imefuta uchaguzi baada ya jeshi la kivamizi la Tanganyika JWTZ kuzingira kituo cha matangazo na kuondoka na mwenyekiti wa tume ambaye record ya video ya kuufuta uchaguzi ilionyeshwa kwenye tv .

Mpaka wakati huu Mwenyekiti wa Tume yuko chini ya ulinzi wa WAVAMIZI kutoka Tanganyika

acha lugha ya kibedui. Dada yangu unakaanga mbuyu ili kina nani wau tafune
 
acha lugha ya kibedui. Dada yangu unakaanga mbuyu ili kina nani wau tafune


mama yangu mbona unajiita mzururaji au ndio unazikaranga mbuyu mitaani ???

Kwani hayo niliyoyaandika ni uongo ???
 
Nimemsikiliza huyu mwanasheria na nimemuelewa vizuri sana. Na watu waliobobea katika sheria na Katiba ya Zanzibar kama huyu bwana ndio walioko katika majadiliano ya kupata suluhisho la mgogoro huu. Mazungumzo haya bado yanaendelea na hatujaambiwa kuwa yameshindikana au kuna mfarakano kati yao.

Sasa hiki kitendo cha kuandamana kwenda ikulu ya Marekani faida yake ni nini?

Au wewe unaposema Zanzibar imevamiwa na JWTZ kama si uchochezi huu ni nini?


kWELI WEWE UNAISHI UGHAIBUNIIIII ??

HIVI HAYA MAMBO YANAYOTOKEA WEWE HATA HUYAELEWI ??? HIVI JWTZ IMEENDA KUFANYA NINI PALE KITUO CHA ZEC , BAADA YA KUZINGIRA ???


MCHOCHEZI NI MIMI AU HIVYO VIFARU NA MAJESHI YALIYOMWAGWA MITAANI ?? MBONA DAR ES SALAAM HAMNA ???


HIVI TUAMBIE HUYU MKUU WA TUME YUKO WAPI ???

KUANDAMANA KWENDA IKULU YA MAREKANI NI VIZURI KWANI UBAYA WENU UNAONEKANA DUNIA NZIMA



HAKUNA MAZUNGUMZO YOYOTE YANAYOFANYWA YANAYOHUSISHA WANASHERIA AU WEWE UNADANGANYWA NA PENGO ???
 
kWELI WEWE UNAISHI UGHAIBUNIIIII ??

HIVI HAYA MAMBO YANAYOTOKEA WEWE HATA HUYAELEWI ??? HIVI JWTZ IMEENDA KUFANYA NINI PALE KITUO CHA ZEC , BAADA YA KUZINGIRA ???


MCHOCHEZI NI MIMI AU HIVYO VIFARU NA MAJESHI YALIYOMWAGWA MITAANI ?? MBONA DAR ES SALAAM HAMNA ???


HIVI TUAMBIE HUYU MKUU WA TUME YUKO WAPI ???

KUANDAMANA KWENDA IKULU YA MAREKANI NI VIZURI KWANI UBAYA WENU UNAONEKANA DUNIA NZIMA



HAKUNA MAZUNGUMZO YOYOTE YANAYOFANYWA YANAYOHUSISHA WANASHERIA AU WEWE UNADANGANYWA NA PENGO ???

Kwanza ujue tu kuwa ingawaje nimempigia debe na kumchagua Magufuli lakini mimi sina chama (non-partisan). Kama UKAWA wasingemuweka Lowassa pengine ningempigia mgombea wa UKAWA. Hali hii inanipa uhuru kumchagua nimpendae kwa sera zake na sio chama chake.

Sasa tuje kwenye ulinzi.

Nakumbuka pale Maalim alipojitangaza kuwa ameshinda kulikuwa na waliosema wanataka Maalim aseme neno tu watu waingie mitaani - maana ya kufanya vurugu.

Maneno hayahaya yalitamkwa na vijana wa UKAWA upande wa bara wakimueleza Lowassa na Mbowe kuwa watoe amri tu vijana waingie mitaani.

Hali kama hii sio ya kupuuzia. Ukifanya mchezo watu wataanza kuchinjana sasa hivi. Na tabia moja ya hiki kitu AMANI ni kuwa ikivurugika tu kwa kiasi hicho itakuwa vigumu sana kuirejesha nchini. JWTZ ni jeshi la ulinzi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (bara na visiwani). Kuwepo kwake pale Zanzibar ni kwa ajili ya usalama wa raia na wala sio kuipindua serikali ya Zanzibar.

Kama maandamano kwenda kwenye balozi za mataifa makubwa yatasaidia kupunguza jazba yako basi haya - endeleeni kuyafanya. Isipokuwa mimi naona inatudhalilisha utu wetu sisi waAfrika na inasema lukuki kuhusu uwezo wetu wa kufikiria na kutatua matatizo yetu.

Ni imani yangu kuwa utapatikana usuluhisho muafaka.
 
Unachanganyikiwa kweli.....Hao jamaa hata bararaka ya karibu ya whitehouse hawawezi kukaribia wengi watakuwa waishi with false Identification....... ukitilia maanani ISIS wanavyoisumbua USA sasa hivi....Mr President hawezi kudili na taka taka hiyo....... waende huko oman kwa sultan!
mimi nakuona wewe ndio unachanganyikiwa ivi lini mmarekani hajawahi kuwa anapigana vita? Nanvita vyovyote vile ninavyo pigana duniani lazima mmarekani apeleke mkono wake mmarekani miaka yote anapiganaga vita na mambo yake yote yanaenda kama yalivyo pangwa.
 
Back
Top Bottom