Freedom tommorrow
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 1,795
- 1,132
Wazanzibari waishio Marekani waliandamana mjini Washington mpaka White House ya MAREKANI, huku wakiwa na ujumbe kuwa kuwaomba Marekani na jumuiya zingine ziingilie kati kutangazwa kwa mshindi wa uchaguzi wa Zanzibar.
Licha ya hayo, pia katika nchi ya OMAN, raia walifurahi sana pale Maalim Seif alipoiomba Tume imtangaze mshindi wa Zanzibar.
Ikumbukwe Maalim Seif ameahidi kama atakuwa Rais wa Zanzibar basi baada ya siku 100 itageuka na kuwa Singapore.
Kama utakumbuka katika kipindi hiki cha miaka mitano akiwa kama MAKAMU WA RAIS aliweza kuinua zao la karafuu kutoka sh 300 hapo awali mpaka sasa ni sh 2500 kwa kilo.
Licha ya hayo, pia katika nchi ya OMAN, raia walifurahi sana pale Maalim Seif alipoiomba Tume imtangaze mshindi wa Zanzibar.
Ikumbukwe Maalim Seif ameahidi kama atakuwa Rais wa Zanzibar basi baada ya siku 100 itageuka na kuwa Singapore.
Kama utakumbuka katika kipindi hiki cha miaka mitano akiwa kama MAKAMU WA RAIS aliweza kuinua zao la karafuu kutoka sh 300 hapo awali mpaka sasa ni sh 2500 kwa kilo.