Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.
Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.
Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.
Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?