Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,429
Kwa mfano kwa Uingereza wasemaji wa mambo yote ya club zao za soka ni Mameneja , hawa ndio wanaofanya mikutano yote na Waandishi wa Habari kuhusu timu zao , Masuala yote ya mechi ikiwemo Ufundi na mengine yote ya uwanjani na wachezaji .
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !
Sasa hawa akina Ally Kamwe na wengine kama Masau Bwire hawa wameletwa kufanya nini ? kwanza mpira wenyewe hawajui !