Daah๐๐๐hivi hatuna kweli la kusema zaidi ya kumpa maua tajiri๐๐๐ Tajiri Sina BAYAHakuna mengi zaidi ya kumwambia
Huna baya Tajiri ๐๐
Daah๐๐๐hivi hatuna kweli la kusema zaidi ya kumpa maua tajiri๐๐๐ Tajiri Sina BAYAHakuna mengi zaidi ya kumwambia
Huna baya Tajiri ๐๐
Usi seme wanaume wa humu, sisi wengine hatuna muda wa kusumbuana na mtu tusiye mjua.Mdogo wangu malkia, karibu sana JF.
Ushauri kama mama na dada ni mmoja tu "OGOPA WANAUME WA HUMU KAMA UKOMA" wanapenda kutongoza tongoza sana na ni waongo.
Mie mara nyingi naandika kuhusu mapenzi na kufanya mapenzi; editor wangu ni mjomba wako uzuri_hatujuani , akili ikiwa imekaa sawa, naandika mada za kijamii kwenye JAMVI LA WANAWAKE - nenda kasearch huko uelimike.
We mgense una tuoshea Sana kudadadeki ๐ ๐Chunga sana vijana wanajiita majobless watakukula hafu wakuombe na hela Kiongozi wao huyu hapa Intelligent businessman ni matapeli mno hao.
I mean no malice to nobody ๐Usi seme wanaume wa humu, sisi wengine hatuna muda wa kusumbuana na mtu tusiye mjua.
Ah upo united states of amrica.
๐๐๐Halina shida ila huyu mgeni tajiri akimkataa tunampatia rais wetusasa Tajiri Sina BAYA unaonaje ule mradi mpya pale dodoma umpatie mgeni wetu kama zawadi ya kujitambulisha vizuri au unasemaje Harmful ๐๐
๐ ๐ hakika, anahitaji first lady๐๐๐Halina shida ila huyu mgeni tajiri akimkataa tunampatia rais wetu
SI ndiyo sasa nitakuwa namtag kwenye kampeni za rais kama first lady๐ ๐ hakika, anahitaji first lady
๐๐๐Halina shida ila huyu mgeni tajiri akimkataa tunampatia rais wetu
Wangese sana nyie๐๐คฃ๐ ๐ hakika, anahitaji first lady
Tulia mkuu ๐๐๐sisi ni viunganishi hatuna shida na mademuWangese sana nyie๐๐คฃ
KaribuHello wakubwa zangu
Ninafuraha kujumuika katika jamii forum...letsay nikama mwenyeji maana nimeanza kufuatilia JF kwenye simu ndogo ya batani..
Naombeni muwe Nami jamani mgeni malikia.thanks for all
Fita ni fita mura.We mgense una tuoshea Sana kudadadeki ๐ ๐
๐๐๐ ni wazo zuri mkuu ngoja kwanza nione elimu yake.sasa Tajiri Sina BAYA unaonaje ule mradi mpya pale dodoma umpatie mgeni wetu kama zawadi ya kujitambulisha vizuri au unasemaje Harmful ๐๐
๐๐ Ashalewa gongo huyo kiongozi wenu, huoni anavyo tukana hovyo.Tulia mkuu ๐๐๐sisi ni viunganishi hatuna shida na mademu
Mtamuua njaa mrembo wa watu, vitabu vinatuambia tusitafute wenza hadi tuwe na nguvu (za kiume na ukwasi)๐๐๐Halina shida ila huyu mgeni tajiri akimkataa tunampatia rais wetu
Kweli we bwege nazi ๐คฃ๐๐๐ Ashalewa gongo huyo kiongozi wenu, huoni anavyo tukana hovyo.