Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,840
Chunga sana vijana wanajiita majobless watakukula hafu wakuombe na hela Kiongozi wao huyu hapa Intelligent businessman ni matapeli mno hao.😂😂😂
Chunga sana vijana wanajiita majobless watakukula hafu wakuombe na hela Kiongozi wao huyu hapa Intelligent businessman ni matapeli mno hao.😂😂😂
Chunga sana vijana wanajiita majobless watakukula hafu wakuombe na hela Kiongozi wao huyu hapa Intelligent businessman ni matapeli mno hao.
anza kumfunda vyema. siku tukiachana niwe na pa kukimbiliaMdogo wangu malkia, karibu sana JF.
Ushauri kama mama na dada ni mmoja tu "OGOPA WANAUME WA HUMU KAMA UKOMA" wanapenda kutongoza tongoza sana na ni waongo.
Mie mara nyingi naandika kuhusu mapenzi na kufanya mapenzi; editor wangu ni mjomba wako uzuri_hatujuani , akili ikiwa imekaa sawa, naandika mada za kijamii kwenye JAMVI LA WANAWAKE - nenda kasearch huko uelimike.
Ellection-ElectionNo Reform no Ellection ,hapa hayuna porojo nyingi, unakaribishwa
UTani tu 😄😄KwAnini
Karibu dinner kama hutojali hapo baadae...Washington
Karibu Sana ....Jisikie upo nyumbaniHello wakubwa zangu
Ninafuraha kujumuika katika jamii forum...letsay nikama mwenyeji maana nimeanza kufuatilia JF kwenye simu ndogo ya batani..
Naombeni muwe Nami jamani mgeni malikia.thanks for all
naona mtoto ana kipini mpaka jichoni, hii inaitwaje kitaalamuKama hii ni picha yako kweli basi WEWE NI MALI! MBEGU YA DUBEI HII, View attachment 3352988
Hakuna mengi zaidi ya kumwambia
😅😅 Raisi wetu hayupo hivyoChunga sana vijana wanajiita majobless watakukula hafu wakuombe na hela Kiongozi wao huyu hapa Intelligent businessman ni matapeli mno hao.
Nashindwa kujibu pm yako mana kuna tatizo nashindwa kureply, em nitumie namba yako inbox ili nikupe muongozo kamili 😎Hello wakubwa zangu
Ninafuraha kujumuika katika jamii forum...letsay nikama mwenyeji maana nimeanza kufuatilia JF kwenye simu ndogo ya batani..
Naombeni muwe Nami jamani mgeni malikia.thanks for all
Mkuu dah kumbe nawe ni mwanachama huko duh niwie radhi😅😅😅 Raisi wetu hayupo hivyo
He means no malice to nobody
Sawa mkuuHakuna mengi zaidi ya kumwambia
Huna baya Tajiri 😃😃
No reform no ElectionEllection-Election
Hayuna-Hatuna