Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,772
- 27,175
Mdogo wangu malkia, karibu sana JF.Hello wakubwa zAngu.ninafuraha kujumuika katika jamii forum...letsay nikama mwenyeji maana nimeanza kufuatilia jf kwenye cm ndogo ya batani..
Naombeni muwe Nami jamani mgeni malikia.thanks for all
Ushauri kama mama na dada ni mmoja tu "OGOPA WANAUME WA HUMU KAMA UKOMA" wanapenda kutongoza tongoza sana na ni waongo.
Mie mara nyingi naandika kuhusu mapenzi na kufanya mapenzi; editor wangu ni mjomba wako uzuri_hatujuani , akili ikiwa imekaa sawa, naandika mada za kijamii kwenye JAMVI LA WANAWAKE - nenda kasearch huko uelimike.